Hua sio utamaduni
Sasa Mama Janeth wewe kila mkutano unakwenda kunangwa na kutukanwa kisa kufiwa? Kwani ulipenda kufiwa?
Uwe unatulia nyumbani huku ukisali rozari yako na kuombea marehemu waliotangulia.
Unajitahidi sana kuonesha umoja lakini wenzako ndio kwanza wanakunanga hadharani.
Kifo cha mume wako inaonekana kuna watu ni furaha hadi leo, yaani wewe unalia wenzako wanacheka.
Jitahidi uwe hauhudhurii mialiko yao kama hakuna ulazima na ushaambiwa wao wataishi milele bado umo tu.
Sasa Mama Janeth wewe kila mkutano unakwenda kunangwa na kutukanwa kisa kufiwa? Kwani ulipenda kufiwa?
Uwe unatulia nyumbani huku ukisali rozari yako na kuombea marehemu waliotangulia.
Unajitahidi sana kuonesha umoja lakini wenzako ndio kwanza wanakunanga hadharani.
Kifo cha mume wako inaonekana kuna watu ni furaha hadi leo, yaani wewe unalia wenzako wanacheka.
Jitahidi uwe hauhudhurii mialiko yao kama hakuna ulazima na ushaambiwa wao wataishi milele bado umo tu.