Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,720
- 19,862
Awe basi rais wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mama ni mkimya, muungwana na mkarimu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mama ni mkimya, muungwana na mkarimu sana
hatufanyi vitu kwa kucompare na wengine kiukweli mama yetu huyu anatakiwa afanye kitu kwa jamii maan ndiye mama mkuu kwa sasa na hadhi yk ni kubwa mno akifanya kitu kwa jamii msukumo wake unakuwa na nguvu tofauti na wewe mwenzangu na mimi hakuna mwenye habari na wewe...Kabla ya kumtaka Mama Janet Magufuli afanye hivyo unavyotaka Wewe je, huyo Mtangulizi wake Mama Salma Kikwete na wake wa Marais wengine waliopita Wao walifanya hivyo? au labda Kipindi chao Mlima Kilimanjaro haukuwepo na umeanza Kujitokeza wakati huu Mumewe Janet kuwa Rais wa Tanzania? Hivi dhamana ya kuwa Balozi wa Vivutio vya Kiutalii vya Tanzania ipo tu kwa Viongozi wa Tanzania na Wake zao pekee au ni Jukumu letu sote Watanzania wote bila kujali Hadhi yako, Elimu yako na mahala ulipo Kijiografia?
Acha kashfaMeko hawezi kumruhusu huyo mama afanye jambo hilo. Kuonekana kwake public ni nadra sana maana mara nyingi huwa anajiuguza kwasababu ya vipigo vya Meko.
Usinifatilie fata nambo yako sihitaji mke dada nishaoa tayari.
Mkuuu nimependa Mada zako nyingi unekuwa na Maono yenye lengo la kukuza Utaliii wa Nchi yetu, inapendeza na kufurahisha kwa mtizamo wako. Endelea na maono hayo hayo wadau wanafanyiakazi sana mawazo mengi yanayolewa hapa Jamvini, achana na comments za kebehi na kukatisha tamaaa songambele tuuu.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier (last born) nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu;
Mama Janeth Magufuli anaweza akawashawishi wake za mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania aende nao kupanda Mlima Kilimanjaro au kutembelea Serengeti National Park?
Kama Naibu Spika Dr. Tulia ameweza kuwa Balozi mzuri katika kuitangaza vema Tanzania, mama yetu pia anaweza.
View attachment 1357305
View attachment 1357282
View attachment 1357283
Mama Salma Kikwete aliwaalika wake za mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa Tanzania katika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya Ikulu jijini Dar. Hafla hiyo pia ilihudhuriwa na mama Mwanamwema Shein na Mama Tunu Pinda. Hapa wakiwa wamepiga picha ya ukumbusho.
View attachment 1357287
OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TAFADHALI TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier (last born) nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu;
Mama Janeth Magufuli anaweza akawashawishi wake za mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania aende nao kupanda Mlima Kilimanjaro au kutembelea Serengeti National Park?
Kama Naibu Spika Dr. Tulia ameweza kuwa Balozi mzuri katika kuitangaza vema Tanzania, mama yetu pia anaweza.
View attachment 1357305
View attachment 1357282
View attachment 1357283
Mama Salma Kikwete aliwaalika wake za mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa Tanzania katika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya Ikulu jijini Dar. Hafla hiyo pia ilihudhuriwa na mama Mwanamwema Shein na Mama Tunu Pinda. Hapa wakiwa wamepiga picha ya ukumbusho.
View attachment 1357287
OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TAFADHALI TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mnataka first ladies wafanane?Mwl.Salma alikuwa anakagua miradi ya maendeleo na kufokafoka. Siioni WAMA labda Kama ilikuwa na mkataba na awamu ya 4 tu au haikuwa na sustainability plan.
Asisahau kukualika na wewe piaShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier (last born) nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu;
Mama Janeth Magufuli anaweza akawashawishi wake za mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania aende nao kupanda Mlima Kilimanjaro au kutembelea Serengeti National Park?
Kama Naibu Spika Dr. Tulia ameweza kuwa Balozi mzuri katika kuitangaza vema Tanzania, mama yetu pia anaweza.
View attachment 1357305
View attachment 1357282
View attachment 1357283
Mama Salma Kikwete aliwaalika wake za mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa Tanzania katika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya Ikulu jijini Dar. Hafla hiyo pia ilihudhuriwa na mama Mwanamwema Shein na Mama Tunu Pinda. Hapa wakiwa wamepiga picha ya ukumbusho.
View attachment 1357287
OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TAFADHALI TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kwa hyo unataman kuchukua nafasi yake ili ufurahie?Huyo mama sidhani kama anajivunia na kufurahia kuwa FIRST LADY.Nani anabisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ofisi inashughulika na nini haswa? Hadi kumfanya awe busy..Tusubiri ajaye ndugu zangu, kama ile ofisi tu ya pale pembeni ya kumfanya awe busy ilishafungwa unadhani kuna cha ziada hapo?
Hizi pesa Salma Kikwete alizofuja kwenye shughuli kama hizi zimetunfaishaje sie wananchi? Zimeleta watalii wangapi? Nadhani wakati akifanya hizi sherehe waziri husika alikuwa akitorosha twiga wetu, kama nakmbuka vizuri.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier (last born) nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu;
Mama Janeth Magufuli anaweza akawashawishi wake za mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania aende nao kupanda Mlima Kilimanjaro au kutembelea Serengeti National Park?
Kama Naibu Spika Dr. Tulia ameweza kuwa Balozi mzuri katika kuitangaza vema Tanzania, mama yetu pia anaweza.
View attachment 1357305
View attachment 1357282
View attachment 1357283
Mama Salma Kikwete aliwaalika wake za mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa Tanzania katika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya Ikulu jijini Dar. Hafla hiyo pia ilihudhuriwa na mama Mwanamwema Shein na Mama Tunu Pinda. Hapa wakiwa wamepiga picha ya ukumbusho.
View attachment 1357287
OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TAFADHALI TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
WatafuteHiyo ofisi inashughulika na nini haswa? Hadi kumfanya awe busy..
Chiz kweli wwwatafute WAMA wakwambie.
Watafute
Ametoa kama wazo tu! sema mama mwenyewe sio waku-take advantage ya nafasi ya mumewe kama hao watangulizi! Anyway wewe kuchukua kundi lolote impact yake huenda ikawa nchini mwako tu. Ila kwa first lady kuchukua hilo kundi impact ni kubwa kifedha na hata kitaarifa.Kabla ya kumtaka Mama Janet Magufuli afanye hivyo unavyotaka Wewe je, huyo Mtangulizi wake Mama Salma Kikwete na wake wa Marais wengine waliopita Wao walifanya hivyo? au labda Kipindi chao Mlima Kilimanjaro haukuwepo na umeanza Kujitokeza wakati huu Mumewe Janet kuwa Rais wa Tanzania? Hivi dhamana ya kuwa Balozi wa Vivutio vya Kiutalii vya Tanzania ipo tu kwa Viongozi wa Tanzania na Wake zao pekee au ni Jukumu letu sote Watanzania wote bila kujali Hadhi yako, Elimu yako na mahala ulipo Kijiografia?
Nafasi za ubalozi ni kwa watu wa jinsia zote ila wanaume hupewa zaidi kuliko wanawakeHivi nafasi ya ubalozi ni kwa wanaume tu? Mfume dume umetuathiri sana.