interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,396
Vigezo vya Mke Mwema(tabia njema) havidhihiriki kupitia mwonekano wa nnje.Kiafrika sio tabia nzuri kuchambua muonekano wa mama.
Vigezo vya Mke Mwema(tabia njema) havidhihiriki kupitia mwonekano wa nnje.Kiafrika sio tabia nzuri kuchambua muonekano wa mama.
Na mtoto yupi wa Magufuli ni Andrew Nyerere Jr ?Janet Magufuli ni Mama Maria Jr
Navyopenda vigauni sasa...yaan mm matenge ningevaa vile vya mbele tu..masuala ya kuvaa had kichwan matenge mm hapanaaaaπππ! gauni mwisho gotiniπ nakofia traaam na mkoba brand!kiatu sasaπ€!Kama.nakuona ungejua wewe,,high heels na kigauni matataππ
Hahhahahaa....hahahahaa hahahahNa mtoto yupi wa Magufuli ni Andrew Nyerere Jr ?
Teh muangalie huyo mke wa waziri mkuu sijui wa kwa Mswati wa mwisho kulia,kuna hidden features zimejificha sio kila mtu anapenda shape na sura ,Wengine tunapenda maji ndio maana magodoro yetu yana nailonWake wa marais wako very simple na siyo wazuri wa sura na shape kihivyo..
Wabongo mmenishinda tabia khaaah...!Daa we jamaa umenikumbusha kweli yule mama mwanzo alikuwa na shingo ndefu yenye mistali, baadaye shingo ikajaa mistari ikapotea kabisa na akaanza kujifunika ushungi.
Teh muangalie huyo mke wa waziri mkuu sijui wa kwa Mswati wa mwisho kulia,kuna hidden features zimejificha sio kila mtu anapenda shape na sura ,Wengine tunapenda maji ndio maana magodoro yetu yana nailon
I just knew this comment must come from you brohJiwe is a very short dude!
He married a very tall woman to compensate his physical limitations!
Heβs an insecure poor dude!
Nasoma hii comment huku nachora picha kichwaniNavyopenda vigauni sasa...yaan mm matenge ningevaa vile vya mbele tu..masuala ya kuvaa had kichwan matenge mm hapanaaaa! gauni mwisho gotini nakofia traaam na mkoba brand!kiatu sasa!
Nasoma hii comment huku nachora picha kichwani
WoteYeye ni mke wa nani?
Mke wa Mwenyekiti wa SADC Mama Janeth Magufuli akiongozana na mke wa Rais wa Namibia Mama Monica Geingos (Kushoto) Mke wa Rais wa Afrika Kusini Dkt. Tshepo Motsepe (wa pili kulia) na Mke wa Waziri Mkuu wa Eswatini Mama Dlamini (Kulia) wakati alipowatembeza Wake hao wa Viongozi Wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC 2019, Kujionea Nyumba za Kiasili kwenye Kijiji cha Makumbusho Kijitonyama jijini Dar es salaam Jana Jumamosi Agosti 17, 2019.
View attachment 1184374
πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈWabongo mmenishinda tabia khaaah...!
Mke wa mswati hapo ndio yupi?,maana jamaa ni bingwa wa kufyatua mabint wakali
Helaaa... .anajua kuukataa uzee na matawi yake yote!Aah mama Salma mbona mkali
Hivi anaongea nao lugha gani maana nadhani yeye ni form 4 graduand ndio akaenda ualimu.... div 4... most likely ukichukulia na lugha ya malkia ilivyo shida kwa watanzania wengi including me! Labda na wenyewe ndio hao hao!Mke wa Mwenyekiti wa SADC Mama Janeth Magufuli akiongozana na mke wa Rais wa Namibia Mama Monica Geingos (Kushoto) Mke wa Rais wa Afrika Kusini Dkt. Tshepo Motsepe (wa pili kulia) na Mke wa Waziri Mkuu wa Eswatini Mama Dlamini (Kulia) wakati alipowatembeza Wake hao wa Viongozi Wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC 2019, Kujionea Nyumba za Kiasili kwenye Kijiji cha Makumbusho Kijitonyama jijini Dar es salaam Jana Jumamosi Agosti 17, 2019.
View attachment 1184374