Mama Janet Magufuli akiwa na wake wa marais wa SADC

Hata huyu anaweza akajiongeza kwani atakatazwa? Shauri lake
Hapo ndipo tunakwama kwa kutukuza mambo ya wizi kwa kupitia kivuli cha ujanja.. Sasa kuibia wananchi na kujinufaisha kwa kupitia dhamana na vyeo ni ujanja au ni ujinga unaosababishwa na ubinafsi na kukosa uzalendo? Kwahiyo Nyerere na mkewe hawakuwa wajanja kwa mujibu wako ehh?
 
Mbona leo wakati marais wanapanda ndege kurudi sikuona wakiwa wanaingia kwenye ndege pamoja na waume zao? Au ki protocol imekaaje? Naomba kusaidiwa
 
Sio kwa mia mbaya, ila Kila mmoja kwenye picha anaona chake.

Macho yangu yameona hivi....

Mama J P M amechokaa, na huko kushikana mkono na nwenzie ni kama anashikiliwa asiyumbe au asidondoke aidha kwa maumivu ya ugonjwa au kudhoofu kunakosababishwa na sonono au msongo wa mawazo.

Uso haina nuru, wote wako kwenye jua pamoja na kuwa anavaa miwani ila sura ameikunja mno tofauti na wenzie walau wanatabasamu, labda ni kuwa wenzake wanashangaa vivutio wakati kwake ni marudio yaani anapajua.

Nguo aliyovaa sitaizungumzia, maadam amejisitiri. Ila viatu vya kariakoo aka vya kimachinga jamaniii looh hapana. Mie sio mtu wa fasheni sana ila kuna walakini kwenyemuonekano kimavazi.

Sisemi wazazi wetu wako vizuri zaidi yake Ila mama JPM ni public figure, si kuwa avae vitu vya gharama ila walau apendeze jamani. Mimi pia si mdau wa poda lipstic make ups kwa ujumla ila hata mavazi.... Nywele yebo kila leo, bora hata angeachia nywele zake akakata dizaini ya kimama awe anaosha na kuchana tuu kama mama JPK.

Najua aliyepiga hii picha alilenga watu waone taswira ya huyu mama, hana raha nawaza anatamani arudi kijijini kwao aishi kwa amani.

Am off, nimejikuta nawaza kwa sauti, no offense to anyone.

Kasinde.
 
Mke wa Mwenyekiti wa SADC Mama Janeth Magufuli akiongozana na mke wa Rais wa Namibia Mama Monica Geingos (Kushoto) Mke wa Rais wa Afrika Kusini Dkt. Tshepo Motsepe (wa pili kulia) na Mke wa Waziri Mkuu wa Eswatini Mama Dlamini (Kulia) wakati alipowatembeza Wake hao wa Viongozi Wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC 2019, Kujionea Nyumba za Kiasili kwenye Kijiji cha Makumbusho Kijitonyama jijini Dar es salaam Jana Jumamosi Agosti 17, 2019.

View attachment 1184374
Kumbe huyu mama mnazi wa yanga....
 
Sio kwa mia mbaya, ila Kila mmoja kwenye picha anaona chake.

Macho yangu yameona hivi....

Mama J P M amechokaa, na huko kushikana mkono na nwenzie ni kama anashikiliwa asiyumbe au asidondoke aidha kwa maumivu ya ugonjwa au kudhoofu kunakosababishwa na sonono au msongo wa mawazo.

Uso haina nuru, wote wako kwenye jua pamoja na kuwa anavaa miwani ila sura ameikunja mno tofauti na wenzie walau wanatabasamu, labda ni kuwa wenzake wanashangaa vivutio wakati kwake ni marudio yaani anapajua.

Nguo aliyovaa sitaizungumzia, maadam amejisitiri. Ila viatu vya kariakoo aka vya kimachinga jamaniii looh hapana. Mie sio mtu wa fasheni sana ila kuna walakini kwenyemuonekano kimavazi.

Sisemi wazazi wetu wako vizuri zaidi yake Ila mama JPM ni public figure, si kuwa avae vitu vya gharama ila walau apendeze jamani. Mimi pia si mdau wa poda lipstic make ups kwa ujumla ila hata mavazi.... Nywele yebo kila leo, bora hata angeachia nywele zake akakata dizaini ya kimama awe anaosha na kuchana tuu kama mama JPK.

Najua aliyepiga hii picha alilenga watu waone taswira ya huyu mama, hana raha nawaza anatamani arudi kijijini kwao aishi kwa amani.

Am off, nimejikuta nawaza kwa sauti, no offense to anyone.

Kasinde.

Kasie matata, but ulichoona na mimi nimeki notice, huyu mama its kinda off hana amani. Hatumsemei ila mwonekano wake unatia shaka mno. Mungu amtie nguvu kwa kweli
 
Hapo ndipo tunakwama kwa kutukuza mambo ya wizi kwa kupitia kivuli cha ujanja.. Sasa kuibia wananchi na kujinufaisha kwa kupitia dhamana na vyeo ni ujanja au ni ujinga unaosababishwa na ubinafsi na kukosa uzalendo? Kwahiyo Nyerere na mkewe hawakuwa wajanja kwa mujibu wako ehh?
Huu ndo upumbavu wetu. Tunalalamika rushwa huku tukiwapigia makofi wala rushwa na wezi wa rasilimali zetu. Mtu akikamatwa kwa tuhuma za rushwa au ubadhirifu tunapiga kelele anaonewa.Hatujui anayehujumu au kuibia serikali, anatutendea sisi tunaolipa hizo kodi za kuendesha serikali.

Kuna vishoka fulani wa ardhi wametajwa kwenye ile orodha ya Lukuvi ya waliosimamishwa kazi kwa tuhuma za uhujumu uchumi, wako mitandaoni wanaendelea na madili yao tena na mastaa wa nchi hii kana kwamba hakuna kilichotokea. Hakuna aibu ya kuanikwa kwamba wewe umehujumu nchi yako. Nchi za wenzetu ni aibu ya funga mwaka kuonikwa hadharani kwa namna hiyo na watu wenye akili timamu wanakuwa na aibu kuonekana wanamahusiano na mtu wa namna hiyo.

Kwa watanzania, tunaona kawaida tu na si ajabu wamenewa, japo ukweli tunaujua. Zamani ambapo ilikuwa ngumu kuona kodi yet inatufaidishaje, ilikuwa rahisi kuelewa watu wanaowachukulia powa hawa wezi. Lakini sasa hivi angalau tunaona jitihada za kutumia hizo kodi kutuletea maendeleo kwenye sekta zinazotugusa moja kwa moja kama elimu na afya. Lakini akili zetu zimebaki mgando. Watanzania tuna kichwa cha mwendawazimu kwa kweli. Hatujui what´s good for us.
 
Back
Top Bottom