Mama Irene Uwoya aangua kilio kikali kwa kufiwa na 'mkwe wake kipenzi' Ndikumana

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Mama wa Irene Uwoya ameangua kilio kwa kufiwa na Ndikumana Hamadi Katauti na amesema ni mkwe wake kipenzi na alikuwa kama mwanawe na bado walikuwa wakiwasiliana na juzi alikuwa anawasiliana nae na kumwambia awe na subira na kuwa atavumilia yote ya dunia lakini atakuwa mwane mwanzo mwisho mapaka anaingia kaburini na kusisitiza alikuwa akimpenda sana




vlcsnap-2017-11-15-15h28m40s990.png
 
Mama wa Irene Uwoya ameangua kilio kwa kufiwa na Ndikumana Hamadi Katauti na amesema ni mkwe wake kipenzi na alikuwa kama mwanawe na bado walikuwa wakiwasiliana na juzi alikuwa anawasiliana nae na kumwambia awe na subira na kuwa atavumilia yote ya dunia lakini atakuwa mwane mwanzo mwisho mapaka anaingia kaburini na kusisitiza alikuwa akimpenda sana




View attachment 631273


Hivi kati ya Mama Mkwe na Mwenye Mume nani anapashwa Kulia na Kusikitika sana? Anyways R.I.P Ndikumana na poleni nyote mlioguswa na Msiba huu mzito kabisa.
 
Mama anaona mbali, anahisi mwanae anaweza patwa na majanga, hasa kama alikufa kama hawapo in good terms. Au labda analia mjukuu atatunzwa na nani?

Hivi kati ya Mama Mkwe na Mwenye Mume nani anapashwa Kulia na Kusikitika sana? Anyways R.I.P Ndikumana na poleni nyote mlioguswa na Msiba huu mzito kabisa.
 
Back
Top Bottom