Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,967
- 10,460
🤣 🤣 🤣 🤣 noma sanakuna kuna picha mtandaoni huyo mama kapost ana kimimba,ameandika alikuwa club ya mbowe😅😅😅.
sasa swali linakuja,mtu una mimba unaendaje club!!!
🤣 🤣 🤣 🤣 noma sanakuna kuna picha mtandaoni huyo mama kapost ana kimimba,ameandika alikuwa club ya mbowe😅😅😅.
sasa swali linakuja,mtu una mimba unaendaje club!!!
Sky Eclat huyu mzee Abdul ni wa hovyo sana. Angekua baba mwenye upendo kwa damu yake asingeongea haya maujinga yake....
Yupo shehe kalisemea ila yeye amegusa kuwa kama hakuna ndoa ila akaungaunga kuhusu haki ya baba mama na mtoto katika dini akijaribu kubanisha banisha ,na mwenngine kajivalisha na kutoa darasa kuhusiana na huyo mwaname mwanamke na mtoto.Kuna masheikh ambayo tayari wamejiingiza kwenye hili sakata!!??
Sheikh njaa huyoYupo shehe kalisemea ila yeye amegusa kuwa kama hakuna ndoa ila akaungaunga kuhusu haki ya baba mama na mtoto katika dini akijaribu kubanisha banisha ,na mwenngine kajivalisha na kutoa darasa kuhusiana na huyo mwaname mwanamke na mtoto....
Hivi wakiitwa waislam.. Mama Dangote atatoka?
Hili sakata halipo kidini ya kislam. Hamna sheikh yoyote wa Dini ya Kiislam atakaeweza kuwatetea hawa ma "Saanluq" wa kibongo. Kwanza hukumu na miongozo ya dini ya kislam ipo wazi. Mtoto aliezaliwa nje ya ndoa ni mtoto wa mama na anatakiwa kurithi kwa mama sio kwa baba. . Kwa mitizamo yangu binafsi hili sakata limetokea wakati pande zote mbili za famillia hizi hazina maarifa ya udini (wislam na ukristo) Famillia hizi mbili zinapigana kwa ajli ya utajiri uliofika "ghafla".Ndugu zangu Waislamu na wale wasiokuwa waislamu au na hata wale vingunge.
Kuna hili jambo linaloendelea katika mitandao kuhusiana na kijana aliejulikana kama Naseeb Abduli ai Diamond Platinum ,whatever ! Hili fukuto linanasibishwa na Uislamu na baadhi ya ndugu zetu wajiitao Mashehe wameingia au kuvutwa katika kutolea hoja jambo hilo...
Tafuta pesa tukuteteeNdio ua wanajikanyaga Sana kwenye hii familia kisa tu Ina hela.
Dini inasemaje kuhusu Anko? Yeye atarithi mali ya Nani?Hili sakata halipo kidini ya kislam. Hamna sheikh yoyote wa Dini ya Kiislam atakaeweza kuwatetea hawa ma "Saanluq" wa kibongo. Kwanza hukumu na miongozo ya dini ya kislam ipo wazi. Mtoto aliezaliwa nje ya ndoa ni mtoto wa mama na anatakiwa kurithi kwa mama sio kwa baba. . Kwa mitizamo yangu binafsi hili sakata limetokea wakati pande zote mbili za famillia hizi hazina maarifa ya udini (wislam na ukristo) Famillia hizi mbili zinapigana kwa ajli ya utajiri uliofika "ghafla".
Famillia hizi mbili zimejaaliwa kupata mtoto aliezaliwa nje ya ndoa "Mwanakharamu". Mtoto amekua na bado hizi famillia mbili hazijaweza kurekebisha makosa yao ya nyuma. Wameendelea kuenshi na ulevi wa "Dunia". Je leo sote tupo mashahidi ule Mtoto Mwanakharamu anaendelea kuzaa watoto wanagharamu... Laana ni kitu kibaya na tayari kimeshakumba familli hizi mbili sio rahisi kujinasua kienyeji kwa kua Famillia hizi mbili na mtoto wao yote hawapo ktk dini inaotambulika na hawapo ktk miila na desturi tunazofwata. Wapo ktk makundi ya "hayawani".
ngekua familli hizi mbili na mtoto wao maarufu wangejua umuhimu wa "hekima" au thamani ya "utu"na "heshima" wange jifungia ndani na kuyamaliza bila kujivua nguo hadharani. Jeuri ya Pexa zao haziwezi kurudisha "heshima" waliopoteza mbele ya jamii na ulimwengu... Kwa sisi wengine tujiepushe kuiga ujinga kama huu... "Dunia tunapita... Tunatakiwa kujishucha ili kuenshi vyema na jamii inaotuzunguka..... Jeuri ya pexa isitudaganye na kuona wengine ni vifaranga vya siku.... "
Yaaan mama dangote anavofanya utadhan sio mwanamke, tena aliyezaa kwa uchungu lol.Watu wana moyo mgumu mm siwezi
Huyu alikuwa balaaHuyo mama ni wale wasichana wahuni wa mbowe club zamani.
Juzi ametupia picha akiwa na mimba ya miezi 9 lakini yupo mbowe club..anaruka majoka.
Yaani ni ajabu na kweli.
Huyo Mzee Abdul alionekana katelekeza family,
Kumbe alikimbia kibomu cha machozi.
Hyo mama hakuwa mwanamke wa kuishi na mwanaume yeyote yule, ndy maana hata hyo Asma baba yake pia hajulikani.
View attachment 1680893
Muacheni Mama afurahie uumbaji na pesa. Mbona we umeishi Decent life na bado maisha yanakupiga?Huyu alikuwa balaa
Kaishi thug life sana ndomana
Sahv kupata hela amekuwa akiishi kwa malipizo
Pesa imekosea njia
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hata km una makosa utatetewa tuTafuta pesa tukutetee
Hakika kabisaHuyu alikuwa balaa
Kaishi thug life sana ndomana
Sahv kupata hela amekuwa akiishi kwa malipizo
Pesa imekosea njia
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app