Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani Mungu alikua mjinga aliposema tuishi na ninyi kwa akili?Very sad, mimi kinachonishangaza ni kwa nini alinyamaza siku zote, hakumwambia mzazi mwenzie kama mtoto si wake?
Very sad, unaweza ukapewa vyote ukanyimwa amani, au ni wivu na hasira kuona mzazi mwenzie anafaidika na hakuhangaika na malezi ya mwanae? But still Why Now? Mimi nadhani kulikua na motive kwa hili ila anayejua ni yeye mwenyewe bi. SandraUnadhani Mungu alikua mjinga aliposema tuishi na ninyi kwa akili?
Think about kwa kutumia akili.
Shamte ndo nanii?Habari za mujini ni kuwa Shamte ameujengea mchepuko nyumba. Akiwa anakula bata na warembo wa mujini anamuita mama Dangote “Bi Cheka”.
Yule mwanamke ni bahati nzuri hakumuua huyo mzee , lakini kiukweli si binadamuVery sad, mimi kinachonishangaza ni kwa nini alinyamaza siku zote, hakumwambia mzazi mwenzie kama mtoto si wake?
imuweke pabaya mara ngapi ?Diamond aache kuiingiza Mambo ya kifamilia kwenye kazi zakee hii itamuweka pabaya
Hiii kamati ya roho mbayaEti ndio uyo watu Wana roho mbaya Yan wamemtafuta mpaka baba fake anae fanana na Mond picha io kwalit yake sio ya chin ya mwaka 2000View attachment 1678120
Mpaka sasa bado anakitembeza, katoka kunitongoza muda si mrefu nimemwambia mpaka nimkubalie basi anipangie nyumba Tandale kwa Mtogole na aninunulie bajaji, sina gharama sana.Basi inaonekana bi sandra "kakitembeza" sana enzi za ujana wake....hii familia bana mama malaya, baba malaya, watoto malaya
Kama mzee Abdul ni mzazi kweli afu wanamkataa kwa hila, yy akae kimya tu. KARMA haijawahi kuacha mpuuzi yeyote salamaSema mzee Abdul wanafanana na huyu Naseeb. Hadi kuongea