- Thread starter
- #21
Orait, umesomeka.
Eeka Mangi anakutafuta umtoe stress za uvuvuzela!
Mwambie mama kubwa yupo kwa kazi hiyo na amespeshalaiz
Orait, umesomeka.
Eeka Mangi anakutafuta umtoe stress za uvuvuzela!
Nimeomba na matarumbeta na escort hizi siku tatu nilizomkosa nahisi nimepungua mwili yale mahanjam
Eka Mangi anakutafuta
hahahaha!
mi nadhan huyo digidigi ndo angeulizwa!....
inaonekana ana data zote
hahha na ivi ulivyokuwa bonge jaman ukipungua tena zaid ya hapo sijui itakuwaje?
Acha kututishia mama Big jamani!
Nashangaa mbona keshaambiwa jinsi ya kunipata amuone the finest
teamo upo baba?hahahaha!
mi nadhan huyo digidigi ndo angeulizwa!....
inaonekana ana data zote
Yetu yetu finest katokapi hapa bana. Haki nakutafuta mzaha acha basi!Nashangaa mbona keshaambiwa jinsi ya kunipata amuone the finest
nasoma katikati ya herufiMAMA BIGY is REBUKING THE DEVIL'S WORK!..........:smile:
MAMA BIGY is REBUKING THE DEVIL'S WORK!..........:smile:
Haaaaaaaa lol! Ha sense harufu huyo. Kwa hilo nimekombokaHuyu akimkamata B wako lazima amnusishe kufuli yake na ananusa kama beberu
hahahaha!teamo upo baba?
dig dig wanatishia usalama wa pori sijui simba mna mkakat gan wa kulinusuru.....bg kashndwa naona si punde dg dig finest atajitangazia ufalme wa pori!!!!!
Yeyetu finest katokapi hapa bana. Haki nakutafuta mzaha acha basi!
Mama Big wa kwangu humuwezi....
Naona unaendeleza kampeni mbuzi kwa mbuzi sasa.teamo upo baba?
dig dig wanatishia usalama wa pori sijui simba mna mkakat gan wa kulinusuru.....bg kashndwa naona si punde dg dig finest atajitangazia ufalme wa pori!!!!!
Moyo wangu una ganzi ya kudumuMzarau mwiba....usiandareti maumivu...
teamo upo baba?
dig dig wanatishia usalama wa pori sijui simba mna mkakat gan wa kulinusuru.....bg kashndwa naona si punde dg dig finest atajitangazia ufalme wa pori!!!!!