Mama Anna Tibaijuka - Wizara imeoza hiyo huwezi. Mpe Halima Mdee

MPadmire

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
3,928
3,224
Mimi naona hii wizara ya Ardhi kuna ufisadi sana, hasa katika ngazi ya Halmashauri.

Kwenye Halmashauri ndo kwenye ardhi

Mifano michache, juzi juzi tu tulisikia uchakachuaji katika ugawaji viwanja Arumeru eneo la Burka. Watu walilalamika, magazeti yakaandika lakini bado hakuna kilichobadilika. Watu wamechakachua viwanja, vigogo wamechukua viwanja na kuwauzia makaburu wakati watanzania wenyeji wa hapo wamekosa viwanja na hawana makazi.

Sasa angalia hii nyingine. Ardhi ni ya Watanzania, wanastahili wagawiwe katika ada ndogo tu kwa ajili ya upimaji. Lakini sasa wajanja wachache wameamua kuteka ardhi ya watanzania na kufanya dili la kujipatia fedha.

Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Tangazo la Kuuza Viwanja - Katika Mwananchi Paper page 17. Tarehe 20 Dec, 2011.

Arusha- TENGERU

Kabale Estates wanauza viwanja, je hawa kabale estate wametoa wapi hiyo ardhi? Nani amewauzia ardhi hao Kabale estates? Na huyo aliyewauzia kabale estate katoa wapi ardhi??

Kimsingi, hiyo ardhi ni mali ya watanzania wanaoishi maeneo hayo au wanaoishi na hawana makazi.

Sasa hawa viongozi wa Manispaa na afisa ardhi wanavyouza ardhi, je watanzania masikini wataweza, au mafisadi tu ndo watamiliki ardhi tanzania?

Hapa kuna harufu ya Rushwa sana...
 
Hii nchi bana, wawekezaji na vigogo wanapata ardhi lakini wananchi walio wengi wananyang'anywa.
 
then wewe utakuwa katibu wake!.mkale vizuri pesa za mradi wa kigamboni,mdee si mtoto wa town plus sheria basi kila kitu kinawezekana mkuu
 
well....

attachment.php
 
Mimi naona hii wizara ya Ardhi kuna ufisadi sana, hasa katika ngazi ya Halmashauri.

Kwenye Halmashauri ndo kwenye ardhi

Mifano michache, juzi juzi tu tulisikia uchakachuaji katika ugawaji viwanja Arumeru eneo la Burka. Watu walilalamika, magazeti yakaandika lakini bado hakuna kilichobadilika. Watu wamechakachua viwanja, vigogo wamechukua viwanja na kuwauzia makaburu wakati watanzania wenyeji wa hapo wamekosa viwanja na hawana makazi.

Sasa angalia hii nyingine. Ardhi ni ya Watanzania, wanastahili wagawiwe katika ada ndogo tu kwa ajili ya upimaji. Lakini sasa wajanja wachache wameamua kuteka ardhi ya watanzania na kufanya dili la kujipatia fedha.

Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Tangazo la Kuuza Viwanja - Katika Mwananchi Paper page 17. Tarehe 20 Dec, 2011.

Arusha- TENGERU

Kabale Estates wanauza viwanja, je hawa kabale estate wametoa wapi hiyo ardhi? Nani amewauzia ardhi hao Kabale estates? Na huyo aliyewauzia kabale estate katoa wapi ardhi??

Kimsingi, hiyo ardhi ni mali ya watanzania wanaoishi maeneo hayo au wanaoishi na hawana makazi.

Sasa hawa viongozi wa Manispaa na afisa ardhi wanavyouza ardhi, je watanzania masikini wataweza, au mafisadi tu ndo watamiliki ardhi tanzania?

Hapa kuna harufu ya Rushwa sana...

kamanda una hoja lakini ulivyoiweka mie nashindwa kufuatilia

hebu niambie iwapo kabale iliuzwa 2004 aliyenunua akaamua kuuza 2011 mwenye tatizo ni wizara, halmashauri, aliyeuza, aliyenunua au anayekuja kuuziwa sasa hivi??

Ukiniuliza mimi ntakwambia tatizo nambari wani ni halmashauri zinazogawa vocha za viwanja kihujuma , na kuishia kuja kulangua (kutoka 10,000 kufikia hata milioni mbili/tatu) huo ni wizi, pili ntasema wanaonunua wanachukua over 3 years kujenga which is again kosa... tatu ntasema kazi ya wizara/halmashauri sio kuuza viwanja... ni kusimami sera a matumizi mazuri ya ardhi kwahiyo mimi nadhani wangesimamia upangaji na matumizi ya ardhi

once waliweza hilo, land management itabadilika, developers watafanya kazi/biashara, na serikali itasimamia... mifano michache ni pale ambapo kila develoopers walipouza ardhi au nyumba miradi ilikwenda fasta (or at least at a reasonale pace and business sense) lakini kila serikali ilipoingilia kati, hali ilibadilika

ushauri wangu kwako... ili tujenge msingi mzuri wa ardhi na kuweza kupambana na ufisadi ardhi, basi tujue kwanza sheria zinazozunguka matumizi ya ardhi

inatisha sasa hivi sayeyaz na planners wanajifanya kama ardhi zote ni zao

Tujenge, tofali kwa tofali...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom