dickchiller
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,843
- 3,141
Hata mzee mkuchika alisema matokeo yake akirudi tena
Kwani akina Anna Abdala, Paul Kimiti na Crisant Mzindakaya ni yeye kawapumzisha? Si maamuzi yao?Ni vizuri JPM amewafanya watambue hilo.
APUMZIKE KWA KWELI. Akichelewa atamaliza vibaya maana kutoka UN HABITAT hadi ubunge! Alitakuwa kuwa Balozi sehemu amepumzika. Tatizo akaendelea na siasa za EscrowBora!
Kwani hata jimboni alipita kwa mbinde,zile pesa alizogawa kwa mgombea wa CHADEMA mpaka akauachia ubunge nadhani zitakuwa zinamuuma sasa!
Nadhani ile migomba na mihogo aliyofyekewa na kung'olewa na makamanda shambani mwa mgombea baada ya kuuza jimbo itakuwa imemchoma kumoyo.
Huyu mama apumzike,wana Muleba wapumue!
Lubeleje(muwaha) hadi meno Yanakongoroka bado anang'ang'ania ubunge pale mpwapwa. 2020 imekula kwake[HASHTAG]#Lubeleje[/HASHTAG]
Hivi yeye yale mabilioni ya mgao toka kwa Ruge yeye hajayarudisha?Kweli msumeno wa siasa unakataga tu upande mmoja!Mbunge wa Muleba Kusini, Prof. Anna Tibaijuka akihojiwa wakati wa ziara ya Rais Magufuli kiwanda cha sukari Kagera, amesema hii itakuwa awamu yake ya mwisho kugombea ubunge na anang'atuka Kama msemo wa Mwalimu Nyerere.
Amesema ataendelea kuwepo kwenye jamii lakini ni wakati wa kuwaachia vijana.