Mama Anna Mghwira kuukataa uteuzi wa Rais?

BEHOLD

JF-Expert Member
Nov 17, 2013
5,057
10,715
Kwa vyovyote vile na kwa kiongozi mahiri, muaminifu, shupavu, asiyeyumbishwa, anayestahili kuaminiwa na akaaminika, Mwenyekiti wa chama cha ACT-WAZALENDO Mama Anna Mghwira ambaye ni mteule wa Raisi kwa nafasi ya ukuu wa mkoa, yuko kwenye "big dillema".!


Ama akikache Chama chake na awakache wanaACT na kuwageuka, kwa kuwa kwa sasa atakuwa mjumbe wa kamati ya siasa ya CCM na kada wa CCM mkoa wa Kilimanjaro,
Au
Amwambie Mheshimiwa Rais, asante kwa uteuzi lakini naomba radhi niache niendelee kusimamia na kupigania kile ninachoamini ni sahihi ambacho kwako (CCM)hakipo?

Unless, na inawezekana sana, walishateta na Mkulu kabla ya uteuzi huo na kukubali "liwalo na liwe"! Kwa vyovyote vile hii ni nafasi kwa Mwenyekiti huyu wa ACT
ku-prove ushupavu, msimamo na kuaminika kwake kisiasa na kijamii!.

Nasikia yuko nje ya nchi ngoja tusubiri arudi.
 
Kwa vyovyote vile na kwa kiongozi mahiri, muaminifu, shupavu, asiyeyumbishwa, anayestahili kuaminiwa na akaaminika, Mwenyekiti wa chama cha ACT-WAZALENDO Mama Anna Mghwira ambaye ni mteule wa Raisi kwa nafasi ya ukuu wa mkoa, yuko kwenye "big dillema".!


Ama akikache Chama chake na awakache wanaACT na kuwageuka, kwa kuwa kwa sasa atakuwa mjumbe wa kamati ya siasa ya CCM na kada wa CCM mkoa wa Kilimanjaro,
Au
Amwambie Mheshimiwa Rais, asante kwa uteuzi lakini naomba radhi niache niendelee kusimamia na kupigania kile ninachoamini ni sahihi ambacho kwako (CCM)hakipo?

Unless, na inawezekana sana, walishateta na Mkulu kabla ya uteuzi huo na kukubali "liwalo na liwe"! Kwa vyovyote vile hii ni nafasi kwa Mwenyekiti huyu wa ACT
ku-prove ushupavu, msimamo na kuaminika kwake kisiasa na kijamii!.

Nasikia yuko nje ya nchi ngoja tusubiri arudi.
NEVER ON EARTH, NEVER, NEVER. UNADHANI AMEMTEUA BILA ADVANCE NOTIFICATION
 
Acha porojo za kitoto.

Ukiona tu, hiyo barua ya taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ikulu, tambua kuwa tayari "Mbuzi kafia Kwa muuza supu!!"

Na ajira zilivyo kabwa pamoja na vyeti feki mara incomplete certificates oooh Oooooh porojo za wafanyakazi hewa,,, Unafikili yule Mama achomoe hilo dodo chini ya mmea wa mbigiri!?

Never , say never ever!!
 
Kwa vyovyote vile na kwa kiongozi mahiri, muaminifu, shupavu, asiyeyumbishwa, anayestahili kuaminiwa na akaaminika, Mwenyekiti wa chama cha ACT-WAZALENDO Mama Anna Mghwira ambaye ni mteule wa Raisi kwa nafasi ya ukuu wa mkoa, yuko kwenye "big dillema".!


Ama akikache Chama chake na awakache wanaACT na kuwageuka, kwa kuwa kwa sasa atakuwa mjumbe wa kamati ya siasa ya CCM na kada wa CCM mkoa wa Kilimanjaro,
Au
Amwambie Mheshimiwa Rais, asante kwa uteuzi lakini naomba radhi niache niendelee kusimamia na kupigania kile ninachoamini ni sahihi ambacho kwako (CCM)hakipo?

Unless, na inawezekana sana, walishateta na Mkulu kabla ya uteuzi huo na kukubali "liwalo na liwe"! Kwa vyovyote vile hii ni nafasi kwa Mwenyekiti huyu wa ACT
ku-prove ushupavu, msimamo na kuaminika kwake kisiasa na kijamii!.

Nasikia yuko nje ya nchi ngoja tusubiri arudi.

MNAFANYWA KAMA WATOTO AMJUI KABLAYABUTEUZI HUWA WANAONGEA NA WAHUSIMA MNAFIKIRI WANAKURUPUKA TU KUTEUA MTAMSUBIRI SANA ANAPOKELEWA NA VX MOJA KWA MOJA IKULU ASBHShuhudia uAPISHWAJI MWACHENI AFANYE KAZI
 
HIVIBWALE VIONGOZI WAUPINZANI WALIOTEULIWA NA NKURUNZINZA NA KULE KENYA WANAFANYAJE KAZI WHY NOT ACT..KAMA N KATIBA INABADILISHWA SIKUMOJA TU KIPENGELE CHA MKUJ WA MKOA KUWA MWANACHAMA WA CCM WANAKITOA EASY
 
Acha porojo za kitoto.

Ukiona tu, hiyo barua ya taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ikulu, tambua kuwa tayari "Mbuzi kafia Kwa muuza supu!!"


Waelezeeee awajuiii kila mteuliwaaa wanamalizana kwanza mnahisi wanateua mtu yuko bar kazi ishaisha hiooo hizo siasa zimebaki kuwadanganya wasiojua
 
Waelezeeee awajuiii kila mteuliwaaa wanamalizana kwanza mnahisi wanateua mtu yuko bar kazi ishaisha hiooo hizo siasa zimebaki kuwadanganya wasiojua

Ndiyo hivyo.

Sema watu wengine uvyama umeshinda utaifa
 
HIVIBWALE VIONGOZI WAUPINZANI WALIOTEULIWA NA NKURUNZINZA NA KULE KENYA WANAFANYAJE KAZI WHY NOT ACT..KAMA N KATIBA INABADILISHWA SIKUMOJA TU KIPENGELE CHA MKUJ WA MKOA KUWA MWANACHAMA WA CCM WANAKITOA EASY
we jamaa bhana
 
Huyu mama mimi huwa namkubali sana kama ninavyomkubali mama Samia. Hongera zake.
 
Washaongea kabla nanyi msiwe mabwege. Haiwezekani mpaka appointment itangazwe kwenye media kabla ya kuconsult mteuliwa....
 
Ni vigumu sana mtu mwenye busara kutumikia mabwana wawili.Nafasi ya mwenyekiti wa chama ni nafasi ya juu ya chama ambayo husimamia na kutekeleza sera na itikadi ya chama.

Mwenyekiti wa chama cha upinzani anapoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa automatically anakuwa mwanachama wa CCM kwasababu mkuu wa mkoa ni mjumbe wa kamati ya siasa ya mkoa.

Katiba na sheria zetu haziruhusu mtu kuwa mwanachama wa vyama zaidi ya kimoja kwa wakati moja.

Kitendo cha kukubali kuwa mkuu wa Mkoa, automatically nafasi ya Mwenyekiti wa ACT iko wazi.Na mwenyekiti wake amehama chama.
 
Kwahio hadithi yako inatufundisha nini?

Maana aliyeteuliwa anajua hatma yake na alifahamu hayo yote akalinganisha na kuona akubali uteuzi huo...
 
Back
Top Bottom