Mama Anna Makinda, Jipime kama NHIF ikiwa chini yako imekidhi matarajio ya wengi?

Mnamlau Makinda BURE tu.

Chanzo cha tatizo ni Kibwengo Jiwe.

Magufuli kakata ruzuku yote kwenda NHIF, hawapewi hata mia na kulingana na gharama za matumizi mwaka jana NHIF wamepata HASARA.

Ili kuhakikisha mfuko HAUFI ndio hao NHIF wameamua kuleta package mpya ambazo zinaacha maumivu kwa mchangiaji.

Hata kima cha chini cha uchangiaji wamepandisha kutoka Tsh 18,000 mpaka Tsh 40,000

Nawaambieni Endeleeni Kumchekea Huyo Shetani, Na Bado.
Mbona hii ilikanushwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnamlau Makinda BURE tu.

Chanzo cha tatizo ni Kibwengo Jiwe.

Magufuli kakata ruzuku yote kwenda NHIF, hawapewi hata mia na kulingana na gharama za matumizi mwaka jana NHIF wamepata HASARA.

Ili kuhakikisha mfuko HAUFI ndio hao NHIF wameamua kuleta package mpya ambazo zinaacha maumivu kwa mchangiaji.

Hata kima cha chini cha uchangiaji wamepandisha kutoka Tsh 18,000 mpaka Tsh 40,000

Nawaambieni Endeleeni Kumchekea Huyo Shetani, Na Bado.
Nhif ni miongoni mwa mifuko yenye ukwasi mkubwa serikali haijawahi kutoa ruzuku bali imekuwa ikichota pesa na kufanya matumizi ya ovyo
 
Tunaoawaon wagonjwa kipindi hiki especially mwezi huu tumepata changamoto sana haswa kwa wagonjwa wenye magonjwa yasiyoambukizwa(NCDs) kwani dawa zimetolewa nyingi sana na kigezo kilichotumika ni kwamba haziko kwenye miongozo ya matibabu ya Taifa( STGs).Kusema watu watibu kulingana na miongozo hii ni kuturudisha nyuma sana kimatibabu kwani miongozo hii imeandikwa katika mazingira ya kuaccomodate hata zile hospitali za chini sana zenye mazingira duni ya utoaji afya( low set up health facilities). Update ya hii miongozo inachukua muda lakini wenzetu walioendelea kila siku wanafanya tafiti za magonjwa haya na kutoa madawa na vipimo vipya kila mara na hivyo kwa kuwasaidia madaktari wa nchi zetu nao wawe updated zaidi katika utoaji wa huduma hizi.

Wagonjwa wengi walikuwa wamefikia kwenye steady states ya magonjwa yap wengine wakiwa wameelekea kwenye cure kabisaa sasa kilichotokea ni kuwarudisha nyuma zaidi wagonjwa hawa.

Nadhani solution ni
1 Guidelines zetu ziendane na level ya hospitali husika kulingana na kadri ya hospitali inavyofanya tafiti zake na sio kutegemea ile ya Taifa tu.

2 In case tutategemea ya Taifa basi iwe updated on yearly basis lakini pia kuwe na updates zinazofanyika hata katikati ya mwaka ili kuendana na updates mpy kwa kadri ya dunia inavyoenda.

3 Wagonjwa waliokuwa kwenye matibabu ni vyema wakaendelea na dawa walizokuwa nazo then wale wapya ndio tungeanza upya huku tukiwa tunatafuta way forward

4 Private insurance companies pia ziruhusiwe kutoa huduma kwa public servants ili kuleta ushindani kwa NHIF ambayo itawafanya wawe wabunifu pia zaidi.


All in all NHIF was doing its best so far but nadhani haya mabadiriko mapya yataturudisha nyuma sana.
Umesema tote mkuu hebu fikiria mtu yupo Kwenye atacandplus ghafla unamrudisha Kwenye losartan H.Kisa tu hiyo dawa haipo Kwenye muongozo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama Kama board chairman Ana uzito mkubwa kwenye Hilo. Lakini Kama Hana taaluma ya Udaktari hasa aliye practice yeye anapewa ripoti tuu mfuko unaendelea vizuri hajui Kama waginjwa wanapunjwa stahiki yao.

Kuna masuala so vibaya tukienda kujifunza kwa wenzetu Health insurance inalipa Dawa zipi maana hapa Pana changamoto kubwa kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaoawaon wagonjwa kipindi hiki especially mwezi huu tumepata changamoto sana haswa kwa wagonjwa wenye magonjwa yasiyoambukizwa(NCDs) kwani dawa zimetolewa nyingi sana na kigezo kilichotumika ni kwamba haziko kwenye miongozo ya matibabu ya Taifa( STGs).Kusema watu watibu kulingana na miongozo hii ni kuturudisha nyuma sana kimatibabu kwani miongozo hii imeandikwa katika mazingira ya kuaccomodate hata zile hospitali za chini sana zenye mazingira duni ya utoaji afya( low set up health facilities). Update ya hii miongozo inachukua muda lakini wenzetu walioendelea kila siku wanafanya tafiti za magonjwa haya na kutoa madawa na vipimo vipya kila mara na hivyo kwa kuwasaidia madaktari wa nchi zetu nao wawe updated zaidi katika utoaji wa huduma hizi.

Wagonjwa wengi walikuwa wamefikia kwenye steady states ya magonjwa yap wengine wakiwa wameelekea kwenye cure kabisaa sasa kilichotokea ni kuwarudisha nyuma zaidi wagonjwa hawa.

Nadhani solution ni
1 Guidelines zetu ziendane na level ya hospitali husika kulingana na kadri ya hospitali inavyofanya tafiti zake na sio kutegemea ile ya Taifa tu.

2 In case tutategemea ya Taifa basi iwe updated on yearly basis lakini pia kuwe na updates zinazofanyika hata katikati ya mwaka ili kuendana na updates mpy kwa kadri ya dunia inavyoenda.

3 Wagonjwa waliokuwa kwenye matibabu ni vyema wakaendelea na dawa walizokuwa nazo then wale wapya ndio tungeanza upya huku tukiwa tunatafuta way forward

4 Private insurance companies pia ziruhusiwe kutoa huduma kwa public servants ili kuleta ushindani kwa NHIF ambayo itawafanya wawe wabunifu pia zaidi.


All in all NHIF was doing its best so far but nadhani haya mabadiriko mapya yataturudisha nyuma sana.


Umeeleza vyema Sana.

Hiyo STG utopololo Tu. Nafikiri ilikuwa ni Kwa ajili ya clinical officers na assistant clinical officers.

Siasa pia zinachangia, their ambitions kuwa na asilimia kubwa ya watu wenye bima ( Kwa mujibu WA ilani) imewafanya waje na packages ambazo kimsingi ni mzigo kwao. WA kuhudumia wengi na packages ziko chini.

Ukiritimba WA wao kuwa mfuko pekee Kwa public servants nao unawafanya wawe untouchable.

Bei elekezi wanapanga wao, mapitio ya malipo wanafanya wao, terms wanatoa wao. Hakuna WA kuwaregurate. Wababe Tu.

Mashirika ya Umma awali yalijiunga na bima private Kwa utashi wao, SASA nao huko then huduma mbovu Tu.

Pamoja na yote, nafikiri DG WA NHIF ndio shida. Atakuwa incompetent , hence anapokea Tu ushauri na maagizo ya kibwege bwege Tu.
 
Kwa nini leo STG ndio inakuwa ngao ya NHIF?. Kisingizio Tu.
Why list Yao ya awali ya packages zao ilikuwa na products ambazo haziko kwenye STG?, STG haikuwapo?.
Why MSD Wana products ambazo haziko kwenye STG, kama wao wanaona STG ndio Kila kitu.
Why TMDA wanAprove products ambazo haziko kwenye STG ziingie nchini... Zitumike na Nani SASA kama mwongozo WA wizara mama unashauri tofauti.
Kimsingi STG sio msaafu, NHIF isiitumie kama ngao ya kunyima watu huduma bora. Vitu ni ever changing, na hiyo STG ina mapungufu kibao.
Labda huenda mmenyanganyana rushwa kutoka hizo drug companies, SASA mnakomoana, Ila mwelewe wanaoumia ni wagonjwa.
 
Katika taasisi za kinyonyaji kwa watanzania hasa watumishi wa umma hapa nchini ni NHIF na HESLB. Vitu hivi vinamnyonya sana mtumishi kwa sasa na hao wanaojidai eti wapo kwa maslahi ya wanyonge Utadhani hawasikii haya malalamiko.
Hiki kitendo cha kuyaondoa baadhi ya magonjwa eti kwamba nhif haihudumii ni kudhulumu haki ya mchangiaji. Mtu unachangia laki tatu plus kwa mwaka halafu bado hupati huduma stahiki. Pia hili la kulimiti wachangiaji eti lazima awe mke, mtoto na wazazi tu nalo ni unyonyaji. Kwanini wasiangalie limiti ya idadi tu? Wapo wale ambao mke na Mme wote ni wafanyakazi na wanakatwa kisasi kwamba wanaweza kuchangia zaidi ya laki sita au saba kwa mwaka lakini bado unalimiti kwa watoto na wazazi tu. Wengine mpaka wamekosa watu wa kuwaweka maana mtoto akishafika miaka 18 anaondolewa lakini makato yanabaki pale pale. Kwa kweli hili suala linaumiza sana.
 
Tumelipia Bima ya mtoto Desemba tukaambiwa turudi baada ya miezi mitatu, tumekwenda baada ya miezi tukapewa Kadi na kuambia itaanza kutumia mwezi June, huyu mwenyekiti kachoka, umri umeenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna hadi restrictions za hospitali ya kumtibia mgonjwa ,unalazimika umtibie mwananyamala,Amana,temeke etc (za mikoa) ukitaka kwenda specialized hospitals kama Jakaya,MOI,CCBRT etc restrictions kibao...

Mbaya zaidi ndio bima inaongoza kuwa na premium kubwa ila unahitaji ku top up bei ya vipimo ,dawa
Shida ni jamaa aliyezizima kampuni nyingine za bima.

Hawa NHIF walikuja vizuri baada ya kupewa changamoto na bima nyingine kama strategies,jubilee,ARR, na zile cover za kampuni kama TANESCO,BOT.

Baada ya kupewa mbeleko wamekuwa wahuni kabisa..hawana maana pamoja na kujaza madaktari wasomi,wanafanya maamuzi kama sio watu wenye taaluma ya tiba.

Kifupi wakirudisha ushindani na makampuni mengine,hawa NHIF wanarudi walipotoka.

Sent using iphone pro max
 
Tujifukize tu watanzania wenzangu, huku tukiomba Mungu...
Inaonekana huu mfuko una tundu. Wanatafuta njia za kujazia hilo tundu lizibe!

Everyday is Saturday................... :cool:
 
Mipango mibovu ipelekee dawa kukatwa ghafla?.....alafu pia wangekua na utaratibu wakutoa taarifa kwa wanachama pale wanapo punguza idadi ya huduma na sababu zake
Mm yamenikuta nilienda hospital moja na binti yangu kwa ajili ya kuonana na specialist wa masikio nikaambiwa umri wa mwanangu kuhudumiwa na bima ushaisha so natakiwa nikamkatie bima upya na sh 50400 nilichoka mwili na roho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeeleza vyema Sana.

Hiyo STG utopololo Tu. Nafikiri ilikuwa ni Kwa ajili ya clinical officers na assistant clinical officers.

Siasa pia zinachangia, their ambitions kuwa na asilimia kubwa ya watu wenye bima ( Kwa mujibu WA ilani) imewafanya waje na packages ambazo kimsingi ni mzigo kwao. WA kuhudumia wengi na packages ziko chini.

Ukiritimba WA wao kuwa mfuko pekee Kwa public servants nao unawafanya wawe untouchable.

Bei elekezi wanapanga wao, mapitio ya malipo wanafanya wao, terms wanatoa wao. Hakuna WA kuwaregurate. Wababe Tu.

Mashirika ya Umma awali yalijiunga na bima private Kwa utashi wao, SASA nao huko then huduma mbovu Tu.

Pamoja na yote, nafikiri DG WA NHIF ndio shida. Atakuwa incompetent , hence anapokea Tu ushauri na maagizo ya kibwege bwege Tu.
Huwezi kuamini ile STG eti walikaa watu na mashule na peridem karibu za miezi
Mitatu ndo wakaja na huo uchafu unaoitwa Stg kituko sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom