Niezzle
Member
- Jan 26, 2011
- 19
- 1
mama mwenye mimba anapohukumiwa kifungo na kisha akajifungulia jela , hapo inabidi atumikie kifungo yeye pamoja na mtoto wake mchanga ili aweze kumpa mahitaji yake muhimu.. je hapa si sawa na kumfunga mtoto ambaye hajafanya kosa? kama kuna mdau ana ufumbuzi au anajua sheria juu la hili tafadhali nisaidieni maana nimekuwa najiuliza sana juu ya hil