Wana JF ninaangalia taarifa ya habari ya ITV, na ana makinda anadai katika bunge analoliongoza atajali sana mambo ya wengi na si jambo la mtu mmoja, nahisi anaanza kupeleka message kwa mpiganaji mnyika kuhusu hoja yake binafsi ya katiba mpya. Maana ameongea kwa ujasiri wa aina yake.