Mama amsahau mtoto airport, ndege yageuza angani kumfuata

Taarifa zilisema kwamba ndege hiyo ya Saudia SV832 ilirudi baada ya abiria huyo kuwaambia wahudumu wa ndege kuwa amesahau mtoto wake sehemu ya mapumziko ya uwanja wa ndege na kwamba hayupo tayari kuendelea na safari hiyo.

hivi inatokeaje hadi anasahau!!!
 
Back
Top Bottom