Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,318
- 6,846
Duh pole ingekua bongo kwa Atcl police ya mambosasa ndoingempokea kwa kwa kua na mipango ya hujumu Atcl shirika la Taifa unashitakiwa kosa la ujumu uchumi .......haki za bina adamu ni kitu muhimu sana
hahahaaaakua na mipango ya hujumu Atcl
Taarifa zilisema kwamba ndege hiyo ya Saudia SV832 ilirudi baada ya abiria huyo kuwaambia wahudumu wa ndege kuwa amesahau mtoto wake sehemu ya mapumziko ya uwanja wa ndege na kwamba hayupo tayari kuendelea na safari hiyo.
Wewe utakuwa mrudiDuh pole ingekua bongo kwa Atcl police ya mambosasa ndoingempokea kwa kwa kua na mipango ya hujumu Atcl shirika la Taifa unashitakiwa kosa la ujumu uchumi .......haki za bina adamu ni kitu muhimu sana
Sent using Jamii Forums mobile app