Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Uganda. Kwa Museveni.
Dah!
Maza anaitwa Faridah.
Mumewe yuko selo. Omar Awadh Omar
Ishu ya mabomu ya kombe la dunia.
Mumewe ni 'mwanaharakati'
Mwanaharakati wa al-Qaeda.
Maza alikwenda kumsabahi baba. Gerezani.
Katika zawadi alizokuwa akimpelekea.
Moja wapo ni nanasi.
Kumbe ndani ya nanasi kachomekea kisu. kwa ustadi mkbwa.
'Vipira' wakastukia.
Maza yuko selo.
Source?
Majira ya Jana.
Mai Teki:
Kuna wanaharakati wa aina mbili: Wanaharakati safi kama mimi ninayefanya harakati za kudai katiba mpya, na wanaharakati wa mitandao ya kigaidi.
Swali?
Kwa nini?
Why? Watu wote wanafanya mambo za kigaidi ni majina ya Kiarabu? Ah sorry...majina za kiislamu?
Source ni majira. ya jana. sitarajii kuitwa mdini kwa sababu mimi siyo source.
Dah!
Maza anaitwa Faridah.
Mumewe yuko selo. Omar Awadh Omar
Ishu ya mabomu ya kombe la dunia.
Mumewe ni 'mwanaharakati'
Mwanaharakati wa al-Qaeda.
Maza alikwenda kumsabahi baba. Gerezani.
Katika zawadi alizokuwa akimpelekea.
Moja wapo ni nanasi.
Kumbe ndani ya nanasi kachomekea kisu. kwa ustadi mkbwa.
'Vipira' wakastukia.
Maza yuko selo.
Source?
Majira ya Jana.
Mai Teki:
Kuna wanaharakati wa aina mbili: Wanaharakati safi kama mimi ninayefanya harakati za kudai katiba mpya, na wanaharakati wa mitandao ya kigaidi.
Swali?
Kwa nini?
Why? Watu wote wanafanya mambo za kigaidi ni majina ya Kiarabu? Ah sorry...majina za kiislamu?
Source ni majira. ya jana. sitarajii kuitwa mdini kwa sababu mimi siyo source.