Mama Ampelekea Mumewe Nanasi Yenye Kisu Gerezani

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Uganda. Kwa Museveni.

Dah!

Maza anaitwa Faridah.

Mumewe yuko selo. Omar Awadh Omar

Ishu ya mabomu ya kombe la dunia.

Mumewe ni 'mwanaharakati'

Mwanaharakati wa al-Qaeda.

Maza alikwenda kumsabahi baba. Gerezani.

Katika zawadi alizokuwa akimpelekea.

Moja wapo ni nanasi.

Kumbe ndani ya nanasi kachomekea kisu. kwa ustadi mkbwa.

'Vipira' wakastukia.

Maza yuko selo.

Source?

Majira ya Jana.

Mai Teki:
Kuna wanaharakati wa aina mbili: Wanaharakati safi kama mimi ninayefanya harakati za kudai katiba mpya, na wanaharakati wa mitandao ya kigaidi.

Swali?

Kwa nini?

Why? Watu wote wanafanya mambo za kigaidi ni majina ya Kiarabu? Ah sorry...majina za kiislamu?

Source ni majira. ya jana. sitarajii kuitwa mdini kwa sababu mimi siyo source.
 
Uganda. Kwa Museveni.

Dah!

Maza anaitwa Faridah.

Mumewe yuko selo.

Ishu ya mabomu ya kombe la dunia.

Mumewe ni 'mwanaharakati'

Mwanaharakati wa al-Qaeda.

Maza alikwenda kumsabahi baba. Gerezani.

Katika zawadi alizokuwa akimpelekea.

Moja wapo ni nanasi.

Kumbe ndani ya nanasi kachomekea kisu. kwa ustadi mkbwa.

'Vipira' wakastukia.

Maza yuko selo.

Source?

Majira ya Jana.

Mai Teki:
Kuna wanaharakati wa aina mbili: Wanaharakati safi kama mimi ninayefanya harakati za kudai katiba mpya, na wanaharakati wa mitandao ya kigaidi.

Swali?

Kwa nini?

Why? Watu wote wanafanya mambo za kigaidi ni majina ya Kiarabu? Ah sorry...majina za kiislamu?

Source ni majira. ya jana. sitarajii kuitwa mdini kwa sababu mimi siyo source.


Ni bahati mbaya sana kuwa watu wengi wamesikia neno ugaidi hivi karibuni. Lakin ukweli ni kwamba Magaidi wengi wa zamani hawakuwa Waislam kama ilivyo leo. Tafsiri ya ugaidi imepotoswa mara kadhaa hasa na serikali za magharibi. Mara nyingi ugaidi umekuwa ni matokeo ya dhuluma japo kwa sasa wapo wanaotumia vibaya dini ya kiislam kuhalalisha vitendo vya kigaidi. Ukweli unabaki pale pale kwamba UISLAM hauruhusu mauaji ya mtu asiye na hatia!

Mifano ya magaidi wasio waislam ni IRA-Uingereza, Basque ETA-Spain, Wanazi enzi za Hilter, Islaer n.k na ikumbukwe kuwa huu ugaidi wao haukuhusishwa na dini zao!

Pongezi kwa Mandata walioweza kugundua hicho kisu kabla huyo gaidi hajafanya kweli.
 
Ni bahati mbaya sana kuwa watu wengi wamesikia neno ugaidi hivi karibuni. Lakin ukweli ni kwamba Magaidi wengi wa zamani hawakuwa Waislam kama ilivyo leo. Tafsiri ya ugaidi imepotoswa mara kadhaa hasa na serikali za magharibi. Mara nyingi ugaidi umekuwa ni matokeo ya dhuluma japo kwa sasa wapo wanaotumia vibaya dini ya kiislam kuhalalisha vitendo vya kigaidi. Ukweli unabaki pale pale kwamba UISLAM hauruhusu mauaji ya mtu asiye na hatia!

Mifano ya magaidi wasio waislam ni IRA-Uingereza, Basque ETA-Spain, Wanazi enzi za Hilter, Islaer n.k na ikumbukwe kuwa huu ugaidi wao haukuhusishwa na dini zao!

Pongezi kwa Mandata walioweza kugundua hicho kisu kabla huyo gaidi hajafanya kweli.

Asante sana mkuu umejitahidi kumjibu maana hii thread imekaaa kiuchokozi zaidi
 
Thread haiko vizuri.
Why say mama wa kiislam na sio Mke wa gaidi.
Majina si kitambulisho cha dini ya mtu na Islam sio ugaidi ingawa wapo magaidi waislam. Hata kina Mandela waliwahi kuitwa magaidi ingawa leo tunawacelebrate kuwa heroes wetu, kumbe mahali pengine integemea nani anatoa tafasiri ya ugaidi.
Maelezo ya Kayumba yanatosha sana.
 
Uganda. Kwa Museveni.

Dah!

Maza anaitwa Faridah.

Mumewe yuko selo. Omar Awadh Omar

Ishu ya mabomu ya kombe la dunia.

Mumewe ni 'mwanaharakati'

Mwanaharakati wa al-Qaeda.

Maza alikwenda kumsabahi baba. Gerezani.

Katika zawadi alizokuwa akimpelekea.

Moja wapo ni nanasi.

Kumbe ndani ya nanasi kachomekea kisu. kwa ustadi mkbwa.

'Vipira' wakastukia.

Maza yuko selo.

Source?

Majira ya Jana.

Mai Teki:
Kuna wanaharakati wa aina mbili: Wanaharakati safi kama mimi ninayefanya harakati za kudai katiba mpya, na wanaharakati wa mitandao ya kigaidi.

Swali?

Kwa nini?

Why? Watu wote wanafanya mambo za kigaidi ni majina ya Kiarabu? Ah sorry...majina za kiislamu?

Source ni majira. ya jana. sitarajii kuitwa mdini kwa sababu mimi siyo source.


Wewe nimekuwa nafuatilia post zako zote ni za kichonganishi wa kidini, halafu ill-researched.
Mimi nilisikia neno ugaidi (terrorism) kwa mara ya kwanza baada ya OKLAHOMA city bombing 1995. Terrorist mwenyewe alikuwa anaitwa
Timothy McVeigh, hili jina kwako ni la kiislamu au kiarabu? Vipi kuhusu IRA magaidi waliosumbua Ireland na Uingereza muda mrefu? Kwa taarifa yako walikuwa wakatoliki! Na huko huko Uganda magaidi namba moja ni LRA wa Joseph Konyi hawa nao wana majina ya kiarabu? Grow up man!
 
Sioni kosa la huyo Mama, mumewe angekulaje nanasi bila kisu:hungry:. Pengine kisu kilikuwa maalum kwa kumenyea nanasi na si vinginevyo.....
 
Mke wa mwizi nae ni mwizi anakula vya wizi hivyo huyo maza alikuwa anatetea ugaidi wa mumewe wakalipue mabomu,angeachiwa angerudi kavaa mabomu na kulipua gereza.
 
Wewe nimekuwa nafuatilia post zako zote ni za kichonganishi wa kidini, halafu ill-researched.
Mimi nilisikia neno ugaidi (terrorism) kwa mara ya kwanza baada ya OKLAHOMA city bombing 1995. Terrorist mwenyewe alikuwa anaitwa
Timothy McVeigh, hili jina kwako ni la kiislamu au kiarabu? Vipi kuhusu IRA magaidi waliosumbua Ireland na Uingereza muda mrefu? Kwa taarifa yako walikuwa wakatoliki! Na huko huko Uganda magaidi namba moja ni LRA wa Joseph Konyi hawa nao wana majina ya kiarabu? Grow up man!

Hata Mzee Mandela aliitwa gaidi wakati anapigania uhuru....kwa hiyo inategemea nani ana-define.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom