Ingekuwa hivyo, basi hayo yasingekuwepo ili mtu uje upate mapacha wengiDah mwanaume aliyempa mimba lazima alikuwa hajawahi kufanya mapenzi au kupiga punyeto.
Kwa nyeto hapo nakukatalia...mwanaume ambaye hajawahi kupiga nyeto either atakuwa hanith or atakuwa zezeta..Dah mwanaume aliyempa mimba lazima alikuwa hajawahi kufanya mapenzi au kupiga punyeto.
Njoo pm hata mimi sijawahiDah mwanaume aliyempa mimba lazima alikuwa hajawahi kufanya mapenzi au kupiga punyeto.
Dah mwanaume aliyempa mimba lazima alikuwa hajawahi kufanya mapenzi au kupiga punyeto.
Hakika Dada na kama huku kwetu Tz wanasema watoto kuanzia watatu sijui wanne inatakiwa Serikali isaidie katika malezi.Hapa ni lazima mate msaada wa Ustashi wa Jamii, fikiria break fast, lunch na dinner ya watu 18 ni karibu kilo 5 za unga kwa uji wa asubuhi.
hilo linaweza lisiwe zito sana.. gumu zaidi pale wote wanapoingia chuo kikuu halafu hakuna hata mmoja aliepata mkopo.Hapa ni lazima mpate msaada wa Ustashi wa Jamii, fikiria break fast, lunch na dinner ya watu 18 ni karibu kilo 5 za unga kwa uji wa asubuhi.
Kuna familia nilikutana nayo, wana watoto 16. Si mapacha lakini mama anazaa kila baada ya mwaka mmoja.Hakika Dada na kama huku kwetu Tz wanasema watoto kuanzia watatu sijui wanne inatakiwa Serikali isaidie katika malezi.