JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Huo ni ufala ambao sisi wanaume hatutakiwi kuuendekeza kisa chupi.Mkuu acha unaa... Mke umemuacha sasa hasira nini? Utakuja ufie Jela...
Hapo ukimgusa au kumuuliza chochote bwana ake anaweza kukupaka mafuta coz huyo sio tena mkeo...
Chunga sana,,, Jutia kimya kimya huku ukiendelea na maisha yako
Unajua kabisa pale mwanaume mwenzangu x wa mwanamke wangu anakaa na wana watoto ila unaamua kukaa jirani yake ili watoto wake nao wapate tabu au? UPUMBAFU NA ULOFA.