Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,696
- 21,996
Mkuu wanaokwambia uvute pisi kali na ww wanakudanganya sana.
Utakua kama unashindana na hayo ni mambo ya kike kushindana ishu ka izo. Na atafurahi sana kuona kumbe kweli umeumia.
We mpuuzie kabisa mkuu tena kama ni jirani yako uwe unaenda hata kuomba chumvi siku moja moja, yaani onesha kama hilo swala wewe halijakuuma hata kidogo.
Matokeo yake ataanza kukuchukia bila sababu kua kwanini anakuumiza na huumiii
Utakua kama unashindana na hayo ni mambo ya kike kushindana ishu ka izo. Na atafurahi sana kuona kumbe kweli umeumia.
We mpuuzie kabisa mkuu tena kama ni jirani yako uwe unaenda hata kuomba chumvi siku moja moja, yaani onesha kama hilo swala wewe halijakuuma hata kidogo.
Matokeo yake ataanza kukuchukia bila sababu kua kwanini anakuumiza na huumiii