Mkuu nipo karibu na tv naangalia cnn huku siipati tbc labda kama utanipa web address yao, nilimaniisha sioni kwa maana ya orodha ya uliyotoa sikuona mwakilishi wa chetu; utagombea wapi chaguzi zijazo?
Chama
Gongo la mboto DSM
Walivyomkatisha Dovutwa imebidi nicheke sana...
Naona wameweka matangazo wapate suluhu kwanza wakirudi watakuwa wamweka hoja yake kapuni!
Wanasheria wa ccm wameamua kuwakilisha kile ambacho wamekisambaza nchi nzima kama mwongozo kwa wanachama wao.
Hawataki madaraka ya raisi yaguswe.
Chama mbona unatia aibu. Kipindi cha malumbano ya hoja huwa hakirushwi kupitia hicho kituo ulichopkitaja. Lakini pia, kumbe wewe ni mmoja wa wale wachache mliobaki kuhalalisha matumizi na ubadhirifu mkubwa wa mali ya umma kupitia hicho kituo cha tv ulichokitaja, asalaaaaaaale, kweli huko uliko asubuhi mnazi ni bora ya chai?
Mkuu nipo karibu na tv naangalia cnn huku siipati tbc labda kama utanipa web address yao, nilimaniisha sioni kwa maana ya orodha ya uliyotoa sikuona mwakilishi wa chetu; utagombea wapi chaguzi zijazo?
Chama
Gongo la mboto DSM