Malori ya mizigo kurudi Dar tupu kutoka Mikoani ni hatari sana.

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,704
6,499
Ukisafiri kutokea Dar kwenda mikoan utakutana sana na Magari tupu ya mizigo yakirudi Dar, haya yalipeleka mizigo kutokea Bandarini na sasa unakuta yanarudi tupu.

Hii maana yake ni kwamba hakuna mizigo ya kubeba kutoka mikoani kupeleka Dar na hatimaye ioande meli? Kwa hio sisi ni wapokeaji wa mizigo tu ila hatuna cha kuuza nje?

Hii ni hatari sana ingawa hakuna kiongozi anaye shituka kwa hili, nchi kuwa ni waagizaji tu ba hawana cha kuuza nje.

Je, sisi Wazawa tunazalisha nini cha kuuza nje ya nchi? Ni kana kwamba hakuna kitu.

Hatari sana hiii kwa ustawi wa nchi, Hio SGR nazani wawekeze sana ibebe abilia la sivyo hayao madeni yatatuumiza sana kuyalipa
 
Hata vile viroba sasa vinagombaniwa na Malori ya Nchi jirani,

Mwendazake aliwaambia waingize Malori yao.
 
Mi nimekosa mzigo naona bora nibebe mchanga niufunge na Belt.
Screenshot_20220923-155310.jpg
 
Ukisafiri kutokea Dar kwenda mikoan utakutana sana na Magari tupu ya mizigo yakirudi Dar, haya yalipeleka mizigo kutokea Bandarini na sasa unakuta yanarudi tupu.

Hii maana yake ni kwamba hakuna mizigo ya kubeba kutoka mikoani kupeleka Dar na hatimaye ioande meli? Kwa hio sisi ni wapokeaji wa mizigo tu ila hatuna cha kuuza nje?

Hii ni hatari sana ingawa hakuna kiongozi anaye shituka kwa hili, nchi kuwa ni waagizaji tu ba hawana cha kuuza nje.

Je sisi Wazawa tunazalisha nini cha kuuza nje ya nchi? Ni kana kwamba hakuna kitu.

Hatari sana hiii kwa ustawi wa nchi, Hio SGR nazani wawekeze sana ibebe abilia la sivyo hayao madeni yatatuumiza sana kuyalipa

Kwani malori yote yanayotoka bandarini yanapeleka mizigo mikoani au ni nje ya Tanzania?
 
Ukisafiri kutokea Dar kwenda mikoan utakutana sana na Magari tupu ya mizigo yakirudi Dar, haya yalipeleka mizigo kutokea Bandarini na sasa unakuta yanarudi tupu.

Hii maana yake ni kwamba hakuna mizigo ya kubeba kutoka mikoani kupeleka Dar na hatimaye ioande meli? Kwa hio sisi ni wapokeaji wa mizigo tu ila hatuna cha kuuza nje?

Hii ni hatari sana ingawa hakuna kiongozi anaye shituka kwa hili, nchi kuwa ni waagizaji tu ba hawana cha kuuza nje.

Je sisi Wazawa tunazalisha nini cha kuuza nje ya nchi? Ni kana kwamba hakuna kitu.

Hatari sana hiii kwa ustawi wa nchi, Hio SGR nazani wawekeze sana ibebe abilia la sivyo hayao madeni yatatuumiza sana kuyalipa
Nenda kakae pale bandarini angalia foleni ya malori yanayopeleka mizigo ya kubebwa na meli. Ingawa ni kweli tunachotoa ni kidogo kuliko tunachoingiza.
 
Ukisafiri kutokea Dar kwenda mikoan utakutana sana na Magari tupu ya mizigo yakirudi Dar, haya yalipeleka mizigo kutokea Bandarini na sasa unakuta yanarudi tupu.

Hii maana yake ni kwamba hakuna mizigo ya kubeba kutoka mikoani kupeleka Dar na hatimaye ioande meli? Kwa hio sisi ni wapokeaji wa mizigo tu ila hatuna cha kuuza nje?

Hii ni hatari sana ingawa hakuna kiongozi anaye shituka kwa hili, nchi kuwa ni waagizaji tu ba hawana cha kuuza nje.

Je sisi Wazawa tunazalisha nini cha kuuza nje ya nchi? Ni kana kwamba hakuna kitu.

Hatari sana hiii kwa ustawi wa nchi, Hio SGR nazani wawekeze sana ibebe abilia la sivyo hayao madeni yatatuumiza sana kuyalipa
... ni aibu nchi ya viwanda haina cha ku-export! Ukikutana na lori lenye mzigo wa maana kuelekea Dar sana sana ni la kutoka nje like Zambia (shaba). Otherwise, kama ni mzigo wa ndani ya nchi ni perishables - matunda, viazi, ndizi, mbuzi, ng'ombe, na nafaka za kupeleka Tandale not for export.
 
... ni aibu nchi ya viwanda haina cha ku-export! Ukikutana na lori lenye mzigo wa maana kuelekea Dar sana sana ni la kutoka nje like Zambia (shaba). Otherwise, kama ni mzigo wa ndani ya nchi ni perishables - matunda, viazi, ndizi, mbuzi, ng'ombe, na nafaka za kupeleka Tandale not for export.
Kabisa, ila wajinga humu wanapinga, yaani wanaona kusomba viazi na nyanya kupeleka Dar ndio mizigo yenyewe
 
Nenda kakae pale bandarini angalia foleni ya malori yanayopeleka mizigo ya kubebwa na meli. Ingawa ni kweli tunachotoa ni kidogo kuliko tunachoingiza.
Mizigo ya Zambia? Shaba, sema ni mizigo ganu mfano inabebwa kutoka Kanda ya ziwa kupelekwa Bandaranini, na ipi inabebwa kutoka kaskazini, au mizigo nayo ni siri?
 
Ukisafiri kutokea Dar kwenda mikoan utakutana sana na Magari tupu ya mizigo yakirudi Dar, haya yalipeleka mizigo kutokea Bandarini na sasa unakuta yanarudi tupu.

Hii maana yake ni kwamba hakuna mizigo ya kubeba kutoka mikoani kupeleka Dar na hatimaye ioande meli? Kwa hio sisi ni wapokeaji wa mizigo tu ila hatuna cha kuuza nje?

Hii ni hatari sana ingawa hakuna kiongozi anaye shituka kwa hili, nchi kuwa ni waagizaji tu ba hawana cha kuuza nje.

Je sisi Wazawa tunazalisha nini cha kuuza nje ya nchi? Ni kana kwamba hakuna kitu.

Hatari sana hiii kwa ustawi wa nchi, Hio SGR nazani wawekeze sana ibebe abilia la sivyo hayao madeni yatatuumiza sana kuyalipa
Endeleeni kukataa tozo na kuwa na sera za kutetea umaskini na maskini mnaoita wanyonge..

Ili Nchi isogee inahitaji Matajiri na wawekezaji
 
... ni aibu nchi ya viwanda haina cha ku-export! Ukikutana na lori lenye mzigo wa maana kuelekea Dar sana sana ni la kutoka nje like Zambia (shaba). Otherwise, kama ni mzigo wa ndani ya nchi ni perishables - matunda, viazi, ndizi, mbuzi, ng'ombe, na nafaka za kupeleka Tandale not for export.
Umeaongea ukweli mchungu, hatuna mizigo ya Ku export huo ndio ukweli na hakuna ukweli mwingine
 
Ukisafiri kutokea Dar kwenda mikoan utakutana sana na Magari tupu ya mizigo yakirudi Dar, haya yalipeleka mizigo kutokea Bandarini na sasa unakuta yanarudi tupu.

Hii maana yake ni kwamba hakuna mizigo ya kubeba kutoka mikoani kupeleka Dar na hatimaye ioande meli? Kwa hio sisi ni wapokeaji wa mizigo tu ila hatuna cha kuuza nje?

Hii ni hatari sana ingawa hakuna kiongozi anaye shituka kwa hili, nchi kuwa ni waagizaji tu ba hawana cha kuuza nje.

Je sisi Wazawa tunazalisha nini cha kuuza nje ya nchi? Ni kana kwamba hakuna kitu.

Hatari sana hiii kwa ustawi wa nchi, Hio SGR nazani wawekeze sana ibebe abilia la sivyo hayao madeni yatatuumiza sana kuyalipa
Mimi sijakuelewa kabisa hayo Magali ya mizigo unayokutana nayo wewe yanatoka (Dar)bandarini kwenda mkoa gani?(mikoa ipi?

Maana asilimia98% ya mizigo ya duka huku mikoani inanunuliwa K Koo/Kitumbini na sio nje ya Nchi
 
Back
Top Bottom