ndegemzungu
Member
- Mar 10, 2019
- 92
- 240
Naomba kujulishwa power aliyonayo Malkia wa Uingereza dhidi ya Waziri Mkuu.
Kwa sababu shughuli zote za serikali anafanya Waziri Mkuu na hata kuwajibika anawajibika yeye.
Kwa sababu shughuli zote za serikali anafanya Waziri Mkuu na hata kuwajibika anawajibika yeye.