"Malkia wa Ubembe" ni miongoni mwa dini za kiafrika kabla ya ukoloni na hadi leo, nahitaji kuifahamu dini hii kiundani zaidi

x - mas

JF-Expert Member
Oct 5, 2012
915
598
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Inasemekana "Malkia Wa Ubembe" ni moja ya dini zetu za asili za kiafrica hata kabla ya ujio wa dini za kisasa za wazungu na waarabu. Dini hii wafuasi wake ni watu kutoka kigoma Tanzania na watu wa mashariki mwa congo.

Ningependa kujuzwa mambo yafuatayo kuhusu dini hii:
  • Kwanini wakoloni walishindwa kuifuta dini hii kama walivyofanya kwa dini zingine za kiafrica kabla ya kuanzisha dini zao?
  • Nawezaje kumpata muhumini wa dini hii ili nijue utaratibi wa kuabudu?
  • Je, nimakabila gani yenye waumini wengi wa dini hii?
  • Kwanini dini hii imeitwa malkia wa ubembe
Nawasilisha
 
naona hii kitu bado aifahamiki, wengi tumetekwa na dini za kisasa
 
Umbembe ni kabila lenye asili ya congo huko Baraka,sasa hiyo dini yako ndio kwanza naisikia....hakuna dini hiyo mkuu mimi niko kigoma sasa hivi naandika na ni mzawa wa ujiji,ambapo huwezi kuwakosa wabembe,labda unaongelea dini flani ambayo walikuwa wanamuabudu mtu aliyejiita mungu....kwa sasa ameshafariki,jamaa alikuwa ana miujiza ya kutisha,alikuwa na uwezo wa kupaa juu kama wale mashaulin wa kichina...yaani ukiwasha redio yeye anauwezo wa kuizima bila kuigusa,jamaa alishafariki wafuasi wake walikuwepo kijiji cha karago huko kigoma kusini wilaya ya uvinza.
 
Umbembe ni kabila lenye asili ya congo huko Baraka,sasa hiyo dini yako ndio kwanza naisikia....hakuna dini hiyo mkuu mimi niko kigoma sasa hivi naandika na ni mzawa wa ujiji,ambapo huwezi kuwakosa wabembe,labda unaongelea dini flani ambayo walikuwa wanamuabudu mtu aliyejiita mungu....kwa sasa ameshafariki,jamaa alikuwa ana miujiza ya kutisha,alikuwa na uwezo wa kupaa juu kama wale mashaulin wa kichina...yaani ukiwasha redio yeye anauwezo wa kuizima bila kuigusa,jamaa alishafariki wafuasi wake walikuwepo kijiji cha karago huko kigoma kusini wilaya ya uvinza.
Weka picha yake akipaa
 
Umbembe ni kabila lenye asili ya congo huko Baraka,sasa hiyo dini yako ndio kwanza naisikia....hakuna dini hiyo mkuu mimi niko kigoma sasa hivi naandika na ni mzawa wa ujiji,ambapo huwezi kuwakosa wabembe,labda unaongelea dini flani ambayo walikuwa wanamuabudu mtu aliyejiita mungu....kwa sasa ameshafariki,jamaa alikuwa ana miujiza ya kutisha,alikuwa na uwezo wa kupaa juu kama wale mashaulin wa kichina...yaani ukiwasha redio yeye anauwezo wa kuizima bila kuigusa,jamaa alishafariki wafuasi wake walikuwepo kijiji cha karago huko kigoma kusini wilaya ya uvinza.
Weka picha yake akipaa
 
Back
Top Bottom