Nzuri Asante sana mkuu sky eclat
Halafu Hilo kabila la Sakalava enzi Hizo ndio walikua wanakula nyama za watu a.k.a maccanibal
Hao jamaa waliwahi vamia wenyeji wa mafia na kusababisha vita kubwa iliyisambalatisha Dola la hapo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.