Malkia(s) wa nguvu - March 2017

Money Penny

JF-Expert Member
Jun 20, 2016
15,689
14,595
MALKIA WA NGUVU~PART1

SIA:
Birthday yangu inakaribia, Oh My Gaaaaash! Hata sijui nitafanya kitu gani, muda umeenda na nimechelewa mpaka inakaribia valentine sijaplan uuuwi nafwaaaa!

Sijui niende nyumbani kuwasalimia, sijui nikale kwa watoto yatima, sijui nifunge na kuomba tu siku nzima kwa masaa 24, sijui niende Paris, sijui niende Dubai au SA au Singapore au Malaysia au nifanye party Zanzibar na marafiki 5 tu, ah! Dear God help me Abeg! hapa nimechanganyikiwa

Nina vitu vingi vya kufanya alafu ukuangalia nimezaliwa sikukuu ya wanawake, damn! What more can i ask God for!
Nahitaji kupasua anga na ardhi ikija kwenye swala la sikukuu yangu ya kuzaliwa!

Kwanza ngoja niandike my to do list:
Ok nahitaji
1. Cake,
mmmh Cake nadhani ntachukua kwa Monica Msasani, ana taste nzuri yule dada, ni noumer, hata sijui anawekaga nini ndani, kiruuu! ila this time ntachukua Vanilla na Chocolate sio ya vile vi-rasberry, nataka taste tofauti kidogo

Kama nitaenda nje ya Tz nitanunua nyingine hii ya Monica italiwa hapa ndani
Okay!, so i have a Cake done done!

2. Photoshoot:
Ngoja niangalie nani atanipiga photoshoot nzuri, akachukua simu aangalie akakumbuka, ah nimekumbuka Osseee! Osee nomaaa! Ngoja nimpigie kwanza

Simu ikaita:
kukudai nakudai na simu yako napokea basi
Kukudai nakudai na simu yako napokea
Simu ikapokelewa:
Osse Studio: hellow
Sia: Hi Ose!
Osse: Hi how r u?!
Sia: am great, well, i need a photoshoot on 5th of March for my birthday which is on 8th March
Osse: ok!, so unataka theme gani

Sia: nataka
Daylight(street theme) nakuwa nimepiga na ma baloons,
nyingine kwa hotel eating dinner, nyingine nakata keki,
nyingine nipo na my mom,
nyingine na watoto wangu 2 na mume,
nyingine kwenye balcony nimeweka miguu inaning'inia,
nyingine porini ~ nimevaa casual nimechafukaaaa like a wild strong woman,
nyingine nipo sokoni naenda kununua bidhaa
mwisho nimekaa kanisani
Oh yah na ya saloon pia
Osee: okay dear, hamnanshida yote yanawezekana, so now nakutumia prices zangu kwa email yako then tuonane kesho saa 7 mchana Coral Reef Hotel, tuongee kwa zaidi. Pia uje na picha za idea na places unazotaka twende kupigia, okay! Just ideas uje nazo

Sia: poa Osse asante sana
Osse: karibu tena, ila keep time ukichelewa hautanikuta
Sia: ok dear. Simu ikakatwa
Okay photo shoot done!

3. DRESSESS:
Sasa nahitaji dress, akaanza kupekua pekua ma wewe, fashionista on a serious business akapanga pangua na wewe akapata nguo

4. Travel Agent:
Simu ikapigwa:
Phone: hellow this is Kearsley Travel and Tour, how can i help you!
Sia: hi, how are you
Agency: am fine dear karibu
Sia: Asante, nataka kuweka booking kwenda Dubai or SA! Tar 7 March, pia kama kutakuwepo na ile Package ya hotels, tourism, na flight nitashukuru sana
Agency: Sawa Mami, unahitaji 1st class, Business class au Economy?!
Sia: 1st class dia
Agency: kwa watu wangapi?!
Sia: watu 3 mpaka 5
Agency: ok, naweza pata email yako niku email the prices then uje tuongee ofisini kesho au kama utaweza hata leo
Sia: oh! Hapana leo sitaweza labda kesho, akataja email yake
Agency: will get back to you, karibu sana
Sia: asante mami
Simu ikakatwa

5. INVITATIONS
Okay sasa imebakia invitations
Ngoja niandike watu wa kusafiri nao, Kuna
1. Darling
2. Cutey
3. Sexy
4. Gorgeous
5. Bombshell
6. Foxy

Sasa ngoja niwapandie hewani niwaskilize hawa warembk wa mwendokasi
Simu ikapigwa
Ringtone: malkia mwenzangu wa nguvuu, jasiriii, mchapakazi mtulivuu, jasiriii
Darling: nambie mama la mama
Sia: nipo shouger za kujificha au niseme umefichwaaa?!
Darling: hunni wapii! Icho tuweke kiporo nipe ramani mwana
Sia: unajua birthday yangu inakuja right
Darling: oh yah! Kweli nimekuwa nawaza valentines tuuu nakusahau, enhe sa hivi wapi unafanya?!
Sia: Dubai au SA inategemea na budget yangu
Darling: awkay, march 8 right?! Ngoja niangalie calender, well wiki nzima am free sina event yoyote afu nadhani kwaresma itakuwa imeanza, so am in, how much natakiwa kulipia? Ili nianze kuomba na likizo kazini
Sia: dola 1000 tu
Darling: kha! Ila poa hiyo ndo zawadi yako ya kuzaliwa! Usinidai tena, huku anacheka
Sia: Darling bwana haya asante so nabook na ticket yako sawa?! Hela utanipa tukionana. Iyo passport yako iko sawa kwa ajili ya visa au?!
Darling: ndio ma! Wewe tu!
Sia: haya bdae kipenz wasalimie wote kwako
Darling: karibu
Simu ikakatwa

Phone Ringed: yote mliosema mliotenda nasahau , nasonga mbele mangapi iii yamesemwa mangapi nimeonaaa, mmmmh mlioseema aaaa, nasonga mbele mangapi, iii yamesemwa mangapi nimeonaaaa!
Sexy: hey~lo!
Sia: nakuna Mama Jideee! Hii ringtone noma maana nilianza kucheza kabisaaa
Sexy: akacheka nambie mama sia mama Chinderline!
Sia: asee ninaandaa birthday nje ya Tz
Sexy: enhe wapi tenaa
Sia: kati ya Dubai au SA bado nasubiri quotation kwa agent!
Sexy: awkay how much!
Sia: kwako dola 2000 tu
Sexy: poa count me in
Sia: thanks dear! Kissess! Ntakucheki kesho kwa ajili ya visa
Sexy: mwah!
Simu ikakatwa

Okay bado 4, ngoja niendelee

Phone ringed: zunguka zungukaaa zungukaa zungukaaa eee, huo wema wa Mungu umenizungukaaa, zungukaaa, zungukaaa, zungukaaa, zungukaaa eeee
Shetani na mama mkwe wake wanaliaaa aaa
Shetani na mama mkwe wake wamekalia misumariii
Simu ikapokelewa
Bombshell: nambie mama sita
Sia: ah hii rington noumer!
Bombshell: ipi tenaa?!
Sia: si ya injili zunguka zungukaa ee
Bombshell: eh me sina habari labda mtoto alikuwa na simu si unajua hawa watoto wa 4G sheedah watoto wadogo wanakaa na simu kila saa, pole mwaya nambie
Sia: na plan birthday love, utakuja
Bombshell: wapi?
Sia: kati ya Dubai au Bondeni kwa Mandela
Bombshell: makubwaa, haya twatoa ngapi
Sia: dola 1000
Bombshell: kiruuuu ndoroooboooe, we Sia me hela natoa wapi wakati unajua mume hana hela
Sia: we mchaga wewe acha ubahili tembea mamaa unakaa ndani kama picha ya Yesu umekuwa nguzo ya nyumba au?!
Bombshell: kwani siku gani
Sia: tunaondoka 7th March, yangu ni 8th march
Bombshell: oh yah we ndo umezaliwaga sikukuuu ya wanawake duniani or something, mh! Sasa hawa watoto nawaachia nani
Sia: watakuja kukaa kwangu kama mume hayupo, watalelewa na dada yangu
Bombshell: we mwana we na Birthdays utadhani umechanjiwa, kila mwaka lazima uweke chata

Sia: we only live once na kukumbuka siku ya kuzaliwa ni raha sana
Bombshell: bwana me sina hela bwana
Sia: mami plz, kwani budget yako ngapi
Bombshell: dola 200 tu
Sia: we unazingua ujue, me siendi kukaa hotel mbuzi
Bombshell: basi nenda bila mimi kiruuu, kwani nimekulazimisha?!

Sia: haya mama naona kwako imeshindikana ngoja nikutoe kwenye list
Bombshell: kuna list kumbe?! Makubwaaa, aki Sia una shughuli! Haya nani yupo kwa list?!
Sia: walio comfirm wataenda so far ni Darling na Sexy, bado sijampigia Foxy, Cutey na Georgeous
Bombshell: tobaaa hata Foxy atakuwepo?! Ahahahahaha, ntacheeeeka njia nzimaaa kudadeki sio kwa fujo alizonazo
Ila cutey jaman unajua how i feel abt her, tena usitake nirudie, kajilengesha kwa mume kapata mimba, Mungu akaona haki sio haki akamchukua mtoto, unataka nikapigane nae au?!
Ila ngoja kwanza kama anakuja nina plans zangu kwa ajili yake so naenda na dola 1000 nalipia cash sio cheque sio kwa Card

Sia: Bombshell jamani embu acha by gones be by gones, Mungu alisha settle case zenu samehe mama acha wazimu
Bombshell: kusamehe nimesamehe ila nataka kujua ana m-screw nani this time maana haya nilioskia ofisini God knows lazima alie mtu kwenye hio sherehe. So naja najaaaaaaa nakuja yani hio birthday lazima kuwe na smack down ya nguvu nami nitakuwa na camera kabisaaa kupiga swaga photooo, kaaachaaa, ekotiteeeee, so am going darling, let the game begin
Sia: haya love asante sana ila tunaenda kufurahi sio kupigana banaaa plz do it for me Abeg!
Bombshell: poa love no problem.
Sia: by dia, Simu ikakatwa


Sia: eh kazi ipo kudadeki Mungu nisimamie mieee maana nawajua hawa wawili ni sheedah!

Haya watatu washakubali. Ngoja nimpigie Gorgeous alafu nije kwa Foxy au ngoja nianze na Foxy maana naona anapeeeendwaaa

Phone Ringed:
Who run the world? Girls!
Who run the world? Girls!
Who run the world? Girls!
Who run the world? Girls!
Who run the world? Girls!
Who run this motha? Girls!
Who run this motha? Girls!
Who run this motha? Girls!
Who run this motha? Girls!

Foxy: heeeeeeeloooooooooooooowww Sia sia sia nambiiiiiiiiiieeeeeeeeee!
Sia: ikabidi acheke tu maana sio kwa fujo zile, we Foxy haukui tu, mautundu mavituko, kha!
Foxy: ahahahahaa sema we mshamba tuuu we nyoko tuuu hela yenyewe hauna we kumanyokooo tuuu!
Sia: dah! Kazi ipo
Foxy: nambie mngese
Sia: sasa hapo unavuka mipaka
Foxy: ongea basi au nikate simu, Sia: Heeee, we Foxy mbona naskia Kwichi kwichi upo na watoto wa jirani wanacheza au ndo yule mbwa wako kaingia mpaka chumbani maana naskia makelele ya kitanda mpaka kwa simu,
Foxy: akacheka, yatakushinda bibie we fanya yako
Sia: au unapigwa dudu apo?! Na unapata wapi ujasiri wa kupigwa dyu dyu na kuongea na simu, Yeeesu na Maria unafanya Anal Sex! Kiru Foxy ni dhaaaaambiiiii!
Foxy: akacheeeeka kweli Sia we utasubiri miaka 10000, embu niacheeee nipo na
mjeda m1 alinifanyia favor flani amazing, ndio narudisha shukrani, ongea kabla sijanogewa

Sia: Kweli we foxy ni foxy hauna mpinzani
Haya nina birthday tar 8 tunaondoka Tz tar 7, karibu, utalipia dola 1000 tu!
Foxy: dubai dola 1000, me skai economy we nyau!
Sia: nyingine ntaongezea hiyo ni ya room
Foxy: skai kariakoo streets pia so call me ukiwa na budget kamili but am in love. Bdae naona utamu kunoga bye.
Sia: Makubwa bye bwana kwanza naskia harufu ya maupwiru yenu shindrwaaaa, Simu ikakatwa.
Sia: tobaaaa Mungu wa Milele hii ni balaa!
Haya foxy kakubali bado
Gorgeous. akapiga simu

Ring tone: Umenifanya ning'are! Umenifanya ning'areeee, umenifanya ning'areee Yesuuuu!
Halooooo
Sia: nambie Christina Shusho!
Georgeous: ahahahaha, ring tone right, kila mtu ananiitaga ivo
Sia: mama ninaandaa birthday
Gorgeous: eh! Muda ushafika mara hii i thot valentine ndio inaanza then unakuja wewe?!
Sia: yah sa hivi nafanya nje ya Tz
Gorgeous: okay how much this time?!
Sia: dola 1000
Gorgeous: are u sure?! Tunaenda wapi?!
Sia: kati ya Dubai au SA
Gorgeous: mmh! Siku ngapi labda mbona naona hela ndogo?!
Sia: nyingine nita chip in mimi
Gorgeous: honey call me ukiwa na uhakika na budget otherwise me nitaku join, tunakaa siku ngap?!
Sia: 1 weeek?!
Gorgeous: week nzima tunakuangalia unakata keki ama?! Eh mbona kazi ipo?!
Sia: hapana bwanaaa si tunakuwa tuna tour!
Gorgeous: wewe ndio event planner nakuaminia usituangushe mwaka jana haukutuangusha asee, me naenda ila hesabu yako hapana au unatuweka economy?! Tutakosa mabwana wa ukweli weweeee tuweke 1st class plz

Sia: poa Christina Shusho
Gorgeous: eh na hili jina jaman, ngoja ni change ring tone, later love
Sia: bye. Simu ikakatwa

Haya amebakia Cutey! Dear God nisaidie maana huyu ni mwishoo!
Simu ikapigwa:
What is Love, Baby don't hurt me, don't hurt me, no more!
What is love, baby dont hurt me, dont hurt me, no more
Wooooouwoooo uwooo uwoooo
Woooow woooow, uuuuu uuuu
What is love
Simu ikapokelewa
Cutey: Birthday season umefika, kama nakuona vile, haya this time wapi shogeri
Sia: Kati ya Dubai au Sa
Cutey: pesa ngapi, nianze kuiba waume za watu
Sia: dola 2000
Cutey: mh! Uchi wenyewe ushazeeka huu nani atanipa dola 2000 labda?!
Sia: kazini umekaa miaka mingapi
Mpaka kuwa managing director sasa utake uchi ukusaidie?! Mungu anakuona ivooo!
Cutey: bibi weee niacheeeeeeee! Kama uchi wangu, makalio yangu, sura yangu, mwili wangu, we taja hela me nijipange
Sia: nimekuacha mamaa, tafuta dola 5000 kwa wewe kwangu utanipa dola 2000
Cutey: poa poa bdae naingia kwa kikao, count me in
Sia: asante sana friend kesho ntakutafutaaa
Cutey: anytime and by the way, nani anaenda
Sia: kila mtu
Cutey: kila mtu nani?! taja majina plz
Sia: Darling, wewe, Sexy, Foxy, Gorgeous, Mimi na Bombshell!

Cutey: unajua sijamwona Bombshell muda mrefu, naskia FOXY ni kilaza balaa, ngoja nilipie nije nimnyoooshe! So naenda mama hata kwa dola 10,000 naenda nikamchambe vizuri huyo nyau.
Sia: asante sana Cutey will call you soon!
Cutey: poa! Simu ikakatwa!

Phew! Eh majanga, sijui safari itakuwaje maana sio kwa kupaniana huku! Kiruuu!

Okay Invitation tayari, photoshoot tayari, Dressess for photoshoot tayari, goja niende saloon, then kwa Monica then hotelini nika book for Photoshoot!

Sia akaondoka kufika njiani akapigiwa simu na mumewe,
Mume: Nambie mrembo wangu, mambo?!
Sia: poa za kwako?
Mume: nzuri, wote salama?!
Sia: salama, hamjambo Italy?!
Mume: nipo Singapore, tumekuja jana,
Sia: eh makubwa, mbona haujaniambia?!
Mume: ndio nakwambia sasa hivi, sasa mpenzi kazi zimezidi huku naona kurudi mpaka Tar 10 March, nisamehe sana, nimejitahidi kukwepa ili niwahi kurudi for your birthday lakini nimeshindwaaa, kazi nyingiii!
Sia: mmm! Pole sana, hamna neno pole na kazi,
Mume: asante sana mke wangu,
Sia: Nami pia naona sitakuwepo Tz naenda Dubai for my Birthday, siwezi kukaa mwenyewe ndani na watoto wapo shule boarding
Mume: du! Unaenda na nani?!
Sia: marafkizangu wooote unaowajua!
Mume: eh! Hayamama, hamna neno, ntakutumia hela kesho kwa western union, nisamehe sana mpenz wangu, nakupenda sana, ntakupigia kesho!
Sia: poa! Akaskia sauti ya mbwa inabweka, akaamua aulize, huyo mbwa nae yupo singapore?!
Mume: yah nimekuja kwenye nyumba ya mwenyeji wangu hapa sasa mbwa hawajamfunga!
Sia: muda wa kazi unatembea kwa mwenyeji?!
Mume: leo hatujaenda ofisini ni kesho
Sia: aisee; haya wasalimie
Mume: poa. Simu ikakatwa

Sia: yani huyu bado hajaacha tu ushenzi wake, Singapore my foot! Nauhakika kabisa huyu yupo hapa hapa Tz ila nitamnyooosha mpaka aisome namba

Mume: eh! Na wewe mbwa wako bado hawajafungwaa mpaka sasa unataka nikamatweee?!

Foxy: ah huyu kijana sijui kaenda wapi! Usikute jana hajaja kazini ngoja nimwangalie pole sana mpenzi
Mume: doh! bado kidogo nikamatweee
Foxy: pole mpenz huku anamchumu chumu! Ngoja nikaangalie mbwa
Mume: poa love, me nipo hapa nakubashia
Foxy: hahahahaha huku anaondoka
Mume: anajiambia kimoyomoyo, hapa Sia akijua lazima anitundike

Foxy: akarudi, mkeo anataka kufanya Birthday Dubai, mna hela ee
Mume: me sina hata 100 hata sijui anaifanyaje
Foxy: mtajiju me nataka dola 5000 nimemuahidi namsindikiza
Mume: wewe tena nimpe nani zaidi yako!
Foxy: thank you babe, nakupenda kuliko kitu chochote, huku anamchumu chum, kweli foxy ni foxy! Mijeda ikazama kwenye mahaba





"I DON'T FAIL, I LEARN AND GROW"

MALKIA WA NGUVU - PART 2


Kwa Monica kukaendeka Cake ya design ya Chanel,
Saloon kukaendeka
Hotel bookings za photoshoot zikabukiwa
Watoto boarning wakatembelewa siku hiyo hiyo
Kurudi nyumbani quotations zimeshatumwa akazikalia piga mahesabu mahesabu na wewe akajua kweli kila mtu hatakiwi kulipa dola 1000 ni dola 2000 sasa sijui atawaambiaje, akajisemea liwalo na liwe haina neno, Birthday ya siku 7, mmh! Sia akafikiria na ule ugomvi wa Bombshell na Cutey akaona hapa siku 7 parefu apunguze kuwa siku 5. Akapiga hesabu akaona itapungua mpaka dola 1500 kwa kila.mtu akamaliza akalala


Kesho yake saa 7 yupo Coral Beach wanadiscuss na Osee wakamaliza na idead zikabadilika kabisaaa maana mume na watoto hawatakuwepo. Mama mzazi tu ndio atatokea

Wamemaliza akaamua kubaki amekaa hotelini anapumua, anajiongelesha anajijibu mwenyewe

Sia:
Ivi mume wangu atakuwa kwa danga gani labda sasa hivi! Mimo nina uhakika hata Mungu akishuka anichape mume hayupo singapote yupo Dar! Mxiiiiiiuuuu. Ndio ni mmoja wa Executive director wa kampuni anayoifanyia kazi pia ana share holding kwenye kampuni 10 Tz apart from shares alizonunua lakini Singapore hapana!
Akachukua simu akapiga
Simu ikaitaaa weee haipokelewi
Ikakata. Akaacha kuipiga


Baada ya dk 10 akapigiwa na simu ile ile alioipiga
Mtu: Halow mrembo mambo?!
Sia: poa boss
Mtu: hapana bwana usiniite boss abeg si unajua nilikuchagulia jina gani la kuniita?!
Sia: najua ila wakati haujafika
Mtu: nambie mpenz
Sia: nina husband drama, nakosa hata usingizi, nikifikiria kuhusu mume papuchi yote inalala
Mtu: ah aaaa! Mrembo kama wewe ulitakiwa uwe unatembea na papuchi kichwani sio miguuni
Sia: akacheeeeka kwa nguvu
Mtu: si unaona! Nimekwambia achana na huyo boya,
Sia: si mmempeleka Singapore sijui Italy
Mtu: singapore?! Hamna kitu cha namna hiyo! Kusafiri mpaka June au July na Dec mwezi wa 2 bado
Sia: kijasho chembamba kinamtoka! Sasa unataka kuniua na presha
Mtu: njoo ofisini sasa hivi tuma kikao cha ma director ndani ya lisaa limoja sema umekuja kuniona mimi reception afu me nakuficha uone kama mumeo hautamwona
Sia: nakuja ole wako unidanganye
Mtu: na ukikuta kweli?! Utanipa nini?!
Sia: ntakufikiria
Mtu: kwani me mtoto wa chekechea, me nataka nyama
Sia: nenda buchani
Mtu: kama umeanza dharau mama usije, mtu una njaa alafu unaleta za ulanzi udanzi
Sia: we tulia upo kama polisi unapeeenda amrish watu skia naja hapo sa hivi afu hii kesi ikiisha me nakutafuta valentine yote me na wewe
Mtu: poa njoo ila staki drama na mumeo!
Sia: poa
Akaondoka huyoooo mpaka ofisi ya mumewe akafanya kama alivyoambiwa akajificha ofisini kwa mtu, mumewe akaja akaingia akafichwa kwenye kabati,
Mume: asee twende kwenye kikao tumalize me nina appointment jioni
MTU: Sawa hamna neno
MUME: akatoka
alipotoka akaambiwa na MTU umeona? Nilikuambia
Sia hakuamini akasema nataka kuona tena. Akamwambia roho inaniuma sana MTU, we nenda me nabakia hapa hapa ofsini kwako niangalie video yamazungumzo yenu
Mtu: nakuomba kama unataka tusigombane usije kwenye meeting room
Sia: poa hamna siji kweli nakaa hapa hapa na mlango naloki
Mtu: nikija nakupigia ufungue. Akaondoka huyooo kwenye meeting Sia anawacheki tu kwa video. Akachukua simu yake akaanza kupiga picha na tarehe ya kikao, machozi yanamtoka! Hana hali
Kikao kikaisha Mtu akarudi akafanya kama walivyokubaliana, akaingia zake ofisini! Mara anaanza kumshika shika Sia, Sia anajichomoaa basi vurugu Sia akashinda!
Akawa anataka kutoka, MTU akamzuia, we mama unataka kuniua na presha tulia kwanza aondoke umfuate kwa nyuma.
Mume akaondoka na gari Sia alikuja na Taxi akaifuata gari ya mumewe kwa bajaj, akamfuata, Undercover Sia! Gari ikafika mpaka mlangoni kwa Foxy mara Foxy akamfungulia yupo na Hot Pants na Bra! Gari ikapaki mabusu kibaooo, Sia huku keshalegeaaaa, hana hali! Bajaj anamwuliza mama vepe?!
Sia: yule pale mume wangu na yule pale rafkiangu wa nguvu! Nguvu zimeniisha sijui nikalete vurugu,
Bajaj: ushawapiga picha wakiwa wanapoakeana?!
Sia: ndio huki analia! Naomba nirudishe hotelini coral beach
Bajaj: oysterbay?!
Sia: ndio kwani vepee?!
Bajaj: itakuwa elfu 20 kutokea huku ilala
Sia: sawa twende, wakaondoka njia nzima analia bajaj anajaribu kumbembeleza weee lakini wapi, kufika akapewa chake, akaondoka anamhurumia sia


Sia akaomba chumba kwanza akaingia akaliaaaaaa liaaaa liaaaa na weweeee, machozi yalipoisha akachukua simu ampigie maza wake analia
Mama: nini tenaaa
Sia: hawezi ongea
Mama: uko wapi?!
Sia: analia
Mama: bwana wee piga basi ukinyamaza mama
Sia: nipo hotelini Coral beach
Mama: unafanya nini labda?!
Sia: nimechanganyikiwa
Mama: chumba no?!
Sia: akamtajia
Mama: nipe nusu saa nipo hapo
Baada ya Nusu saa maza mzaa chema akadondoka o'bey mpaka chumbani akafunguliwa Sia akamhug mamake!
Mama akamweka sawa haya ongea maana ulikuwa na nusu saa ya kulia
Sia akafunguka weee mama anamwangalia anashindwa hata la kumfanya!
Mama: umemaliza?! Pole. Pole sana!
Sasa una mpango gani labda?!
Sia: nataka talaka
Mama: ukishaipata?!
Sia: ana hama yeye me nabakia na watoto
Mama: doh! Kazi ipo
Ivi nikikuuliza sia, me ushawahi kuona nahama nyumbani?!
Sia: hapana
Mama: unadhani baba yako hakutembea na wasichana nje mpaka na dadangu wa kuzaliwa?!
Sia: macho kodooooo, hadi mama mkubwaaaa
Mama: si unaona hata wewe na miaka yako hii 35 haukujua mpaka leo na wala usingejua kama usingenipigia nikusaidie
Sia: sasa mama unanichanganya niganyaje labda?!
Mama: unataka ushauri wangu au?!
Sia: ndio mama sina pa kwenda
Mama: haya kanawe uso uje tuongee lete diary uandike
Sia akafanya kama alivyoambiwaaa akarudi akakaa ameegemea kitanda mama yake akamwambia kaa mezani me nikalie kitanda na usikilize kwa makini!
Sia: akatulia kama maji ya mtungini
Mama: wanaume labda Yesu na Malaika zake ndio hawapo hivi plus Mungu Baba. Wanaume wote kwenye ndoa ni watoto wa baba mmoja. Sasa kama Baba yao ni shetani we babako lazima awe Mungu
Sia: macho kodooo
Mama: sasa hapa wewe fanya kama haujaona kitu ila una kila kitu
1. Wahamishe watoto shuleee, wanasoma wapi?!
Sia:Tunsiime
Mama: kha! Wapeleke Feza school au Ist. Mumeo si anazo hela?!
Sia: ndio,
Mama: wapeleke IST.
Sia: ila mama IST ghali
Mama: na Foxy nae ni ghali! Skia mwanangu mwanaume sio mtu wa kumhurumia utaishia kuumia wewe nakwambia
Sia: macho kodoo
Mama: biashara yako wapi tena?!
Sia: kariakoo!
Mama: we kweli mshenzi, mlimani city akakae nani sasa?!
Sia: kimyaaa
Mama: hamia airtel mlimani city kaweke duka!
Sia: sawa mama
Mama: gari unayoendesha
Sia: rav 4
Mama: mh! Na discovery 4 au Range anaendesha nani?!
Sia: mama tunasomesha
Mama: na foxy anavuta taratiiibu ada ya university kwa mumeo. Badilisha ghari birthday hiii uhakikishe vyote umefanya
Sia: sawa mama
Mama: nani anashkilia bank card za familia
Sia: mume
Mama: wewe ndio mama, mama mwenye nyumba, iba bank card za mumeo na password kaa nazo wewe zile zenye akaunt nono, anaweka wapi?!
Sia: kwenye safe!
Mama: unajua password?!
Sia: ndio
Mama: kachukua ukae nazo zoooote, yeye kama mwanaume kweli akafungue bank akaunt yake ya kula na hawara zake
Hautaki kusoma?!
Sia: masters inanitosha
Mama: una uhakika, phd vepee?!
Sia: ndio, hapana sitaki sifa
Mama: your ward robe?!
Sia: inanitosha
Mama: me nikikuangakia nakuona ume settle san, update your self plz, biashara fungua hata 3, sio unakaa na biashara moja miaka 5
Sia: na build the system ya biashara
Mama: yani kama miaka 5 haujakua basi funga tu biashara
Sia: sawa mama
Mama: jikoni mnakula nini
Sia: ugali, wali, maharage, matembele, nyama kwa wiki mara 2, pilau mara 1 kwa wiki
Mama: kwetu ulikuwa unakula hivyo
Sia: tunajenga
Mama: na babako alikuwa anajenga nyumba Tano mjini kuna siku ulikosa kula vizuri
Sia: hapana
Mama: jibu unalo. Huyu mwanaume amekuloga au?! Mtu wa wapi?!
Sia: kigoma
Mama: mh! Ivi kwanini ulikubaaaali kujipeleka kwa huyu mwanaume hata ndoa ukakataa tukufanyie am sure amekuloga sio kwa lifestyle hii mwanangu umeporomoka kwahiyo kama anajenga ndio?! Wajukuu wapo Tunsiime Nursery?! Noooo watoe kesho nakupitia tukawatoe watotoo! Haya sio maisha yako na mie nilikuambia achana na huyu bwana haukuniskia, umeona sasa sisi wamama tunaona mbaaali tunajuaaaa!
Sia: basi mama yaishe
Mama: kuhusu Party nataka umnyoooshe huyo Foxy, kaifanye Paris, me nakulipia nauli na visa wewe tu! Hao marafiki zake watajiju!
Nenda kapumzike
Sia: asante mama
Mama: la mwisho, katika dunia hii hauna mwanaume yeyote anaekupeeenda au mlipendaanaaaa kabla hajaja huyu mumeo?
Sia: mmmh bwana hata sikumbuki
Mama: kumbuka, kwasababu mimi nakusaidia kifikra, huyo mliekuwa mnapendana anakusaidia kimwili utoe huo uchungu!
Wakati baba yako alikuwa anatembea na kila mtu mjini hata mimi nilikuwa na affairs zangu vile vile upendo kwa baba yako uliisha alipotembea na dada yangu sikufichi, ila condom ilikuwa kinga yangu na Mungu namwomba mpaka leo nina miama 66 sina miwaya wala kamba nina nawiri nina hela, nakuhadithia mengine utajaza mwenyewe na uzuri nyiie mmechukuana tu hamjaoana, una nafasi ya kuondoka mapema kuliko mie nilikuwa mjinga enuf kukaaa ndoa ilinizuia. Ukimpata mtu anakupenda sepa, evidence si unazo?! Ilimradi ajue kukutunza kama ulivyokuwa unatunzwa kwenu
Sia: macho yakamtoka, hamwelewi mamake anaona anamchanganya tu
Mama: me naondoka zangu maneno nayokwambia hakuna atakaekaa kukweleza hapa duniani hakunaaa!
Alafu mwenzangu, wewe haujaolewa, ukienda kisheria huyu mwanaume tunamweka kwenye nafasi yake, me nimekuwa lawyer miaka 40, kama umemfumania unaweza kumshitaki, atatakiwa kulipia fidia kama child support na all the damages amekusababishia hata ukitaka wife damages zipo
Mimi nulimsue babako akatakiwa anilipe hela nyingi ambayo ingempelekea afilisike akaona ajitulize kwangu aachane na hao wanawake ingawa najua aliendelea ila haikuninyima furaha yangu ya ndani kabisaa!
Jua thamani yako basi binti yangu, hapo ulipofikia kumfumania mume na evidence ni step 1 bado kabisa, jiongezee, hamkusoma UK hivi hivi ningekuwa wa kulia lia kama wewe mngesoma IFM au UDSM au Mzumbe, nilitakuwa ku fight and fight and fight me hela yangu ikatulia kwenye akaunt yake inatumika akaskia uchungu, yani ile pinch pich ya ukweliii! Nilioisiki mimi nilipowafumania na dadangu! Na baadae akajua natembea na boss wake hata hakuongea maana hakuwa na prove kama mie niliokuwa nayo


Sia: naona shetani yule yule anakuja mpaka kwangu, wewe umetembea na boss wa baba me boss wa mume ananitaka nilale nae
Mama: hayo nakuachia wewe na Mungu, use a condom that's all i can say! Condom love!
Si raise a prostitute na raise malkia wa nguvu
Mama akaondoka zake me naenda kwa mume usiku huu kwanza alishangaa nimeondoka naenda wapi?! Nikamwambia umeniita sasa atauliza maswali sana ngoja niwahi, akaondoka zake huyooo!


Sia anashangaa tu anaona yake madogo ya mama yake yalikuwa mapanaa! Akajiona mjiiinga sana kulia, akaanza kutunga sheria! Sheria sheria na wewe saa 6 usiku akalala


Cutey:
Hapa sijui nafanye kudadeki, maana nimefuliaaaaa, mabwana wamenitokaaaa sijui ndo laaana hata sielewi!
Huku anakunywa shots bar huko kempinski
Mawazo mawazoni, Mungu nisaidie nisaidie, kodi yangu inaishaaa,kazi yenyewe ndo hii ya bambuchaaa! Kumsi kumsaaa wana kwetu wanasema, sijui ntaenda wapi na kazi mshahara laki 3, nimekopaaaaa michezo nimechezaaaaa, jamani Mungu nikumbuke basi hata kama nina dhambi kama neti ya mbu! Eeh Mungu unajua umeniumba umenileta kwa makusudi, sasa usitake nikakufuata tuishi wote me nina uhakika, ninauhakikaaaaa, huku ana bwia shot ingine, kuwa nipo huku chini kwa sababu fulani na hiyo sababu haijatimiaaaa kudadeki so we fanya kuniangalia angalia tu maana hamna choice.
Sina mume, sina bwana, kazi mwezi huu sina mshahara, unaenda kwenye madeni kazini, ni miezi 6 sasa sijapata hata mtu ananiambia binti mambo, hujambo?! Hapa skudanganyi Mungu nina Upwiru balaaa, ukunipasua najaza hoteli yote hii ya Kempinski itabidi waite fire Marshal!
Mawazo mawazo, Mungu sjui alimsikia au shetani alitangulia mara akatoka libaba limepandaaa likawa linamcheki wkenye angel ya bar, akaamua kumsogelea
Cutey kavaa bonge la umini, maziwa yameamka kama milima ya usambara, kha! Kweli huyu ndo mpare sio kwa shepu hii!
Mbaba kalogwa sijui na yale maziwa akamsogelea, mkono wake kwenye paja la Cutey, Cutey wa watu amezama kwenye ibada yake na Mungu na Shots, hajaskia kitu!
Kugeuka anashangaa mtu anamwekea business card kwenye maziwa, anaanza kumshangaa
Cutey: mzee vepee umepotea njia?!
Mzee: jipo mahali sahihi, nimenogewa na jinsi ulivyo
Cutey: nashukuru mzee, una miaka mingapi?!
Mzee: nina miaka Bilion 2, ndio jina la bank akaunt yangu
Cutey: akadhani ndio wale wale wazee wa bambucha, maneno bila vitendo wanakuchoooshaaa wanakutumiiaaa hata 100 hawakupi, akaamua kumpotezea
Mzee: akamsogelea, chum chum na wewe, shingo nzima ya Cutey imekuwa ya moto,
Cutey: mzee mbona tunavunjiana heshima, wengine tuna heshima zetu embu sogea huko
Mzee: akamnong'oneza, nifuate!
Cutey ananwangalia kama mtu aliechanganyikiwa
Mzee: nifuate! We niamini sitakufanya vitu vibaya huyu bar men anaitwa Johnson ananijua sana tu nikikufanya vbaya njoo na polisi mkamate huyu
Cutey: ya kweli hayo kaka
Johnson: ndio hana shida mzee wetu huyu kesho ana kikao na mkuu!
Cutey : naomba nisaidie condom 5 pale reception,
Johnson: akavuta draw lake akatoa condom 10 hizi hapa mama enjoy
Cutey: anashangaa, asante, akaondoka na lile zee roho inamwuumaje sasa hajui anaenda kupigwa mbele katikati au nyuma, moyoni anajisemea mpare leo nimepatikanaaaa

Mijeda ikatua chumbani, mzee noma, kumbeba juu kwa juu Cutey, anamwandaa dk 45 Cutey nyang'a nyang'aa, hajawahi kufanyiwa kitu kama kile, mpaka mzee kuja kumvaa, Cutey keshakojozwa mara 5
Usiku wa manane mzee kaamsha popo anataka kuendesha farasi, Cutey kachoookaa, hajawahi kukitana na zile dozi, alishazoea kulambwa lambwa kama mifupa anapigwa anaondoka, ila hii ilikuwa zaidi ya honeymoon,
Horse riding usiku wa manane, alfajiri mechi ya kibishi, saa 1 asbh Cutey akaamka akawa anajisongesha songesha aondokee, mzee akamkamata mkono, wapi mrembo wangu?! Unataka kunikimbia tena?! Ngoja tufahamiane basi
Cutey: kanunaje hapo, zee hili vipiii limenitumia usiku mzima sa hivi linataka kuweka hema la maongezi kha!
Mzee: binti, naomba kama nitakuwa sijakukosea nipate no yako, nitakutafuta mwenyewe, sina shifa hata kama una bwana waki hamna neno, we endelea na hao vijana wakutumieee ila me kukulea wewe nawezaaa, usipoteze uzuri wako woote huu kwa vijaanaaa wakati wazee tupooo, embu ngoja kwanza
Akachukua suruali yake akatoa hela, laki 5, na business card yake akampa, akachukua siku ya Cutey akasave no yake akajipigia akasave kwenye simu yake no ya cutey!
Sasa mpenz me nimekupenda kweli kweli, hata kupima ukimwi tutaenda, me nataka nizame kwako mazima mazimaa, yani kwako 365 kwa 365 plz niskilize!
Me ni mjane, mke wangu alikufa mwaka juzi, watoto ni wa kubwa waki ulaya huko, nioo mpweke tu nahitaji mtu wa kuishi nae
Cutey: ntakufikiria! Ngoj niende kwanza tutaongea
Mzee: me nipo hapa hapa mpaka jumamosi naenda Morocco, ukitoka job uje
Cutey: sawa baba
Mzee: usiniite baba niite bebi
Cutey: awkay babe ngoja niwahi hospital
Mzee: eh unaumwa?!
Cutey: hapana me ni nurse
Mzee: nurse gani mzuri hivi?! Kha! Itabidi nifungue hospital tu nikuweke Nurse inchage
Cutey: asante, akawa anacheka tu, ngoja niende shift inaanza baada ya lisaa li 1
Mzee: karibu sana

Cutey akaondoka hakuamini, laki 5?! Che!
Kufika kazini ameshabadilisha nguo ameanza na kazi lunch time akarudi kucheki simu anaona tigo pesa Tsh mil 1. Akajisemea tobaaa kuangalia namba ya yule mzee!
Akaguna mmmh! Mbona makubwa sasa haya au ndio maombi ya bar
Jioni akarudi pale bar, kwa Johnson, akaanza kumshukuru kwa kumsaidia kwa condom,
Johnson: kama yule bwana amekupenda nenda nae ni mtu poa sana hana shida, sawa?!me namfahamu ila usianze maneno magomvi we mleee tu wazee hawana shida
Cutey: akacheka aya kaka asante sana kuniokoa, sasa sijui huyu bwana yupo?!
Johnson: yupo kapanda mida hii na wewe unatokea
Cutey: akapanda mpaka chumbani
Mzee: ah mrembo umekujaaa! Pole sana huku anamchum!
Cutey: asante, akajisogeza kwejye kiti akakaa huku anapumua kama ng'ombe,
Mzee: vipi za kazi?!
Cutey: poa, nimekuja kukushukuru kwa zawadi ya Tigo pesa, Mungu Akubariki
Mzee: wala usijali binti
Cutey:haya me naondoka nataka kwenda kulipia kodi ya nyumba kabla sijatimuliwa
Mzee: unaishi wapi kwani
Cutey: hapo kariakoo
Mzee: kariakoo binti mzuri kama wewe hao vijana si wanakuchafua chafua sana, eh embu angalia ndio maana ngozi yako ya maziwa haifanani na ya uso! Mmmh! Me naomba uhame tu huko, nakutafuria nyumba NHC upanga, we hama hapo utaishi Upanga,
Cutey: acha basi masihara me nipo serious
Mzee: nani amekwambia me nina utani na mpare?! Kwani me mchaga?! Hata mimi nipo serious, afu embu ngoja kwanza, akapiga simu akaongea weee akaambiwa njoo upanga ndani ya nusu saa. Wakaondoka na Cutey mpaka Upanga,
Mhusika: mzee hii nyumba nimeku fightia, sio kidogo, rent laki 6 kwa mwezi
Cutey: ah me... hata kabla hajamaliza kuongea
Mzee: sssh! Ngoja wanaume tuongee kwanza
Mkataba wa muda gani maana nasafiri miezi 3 narudi
Mhusika: miezi 6 mpaka mwaka
Mzee: so ni mil 7.2 ok nalipiaje?!
Muhusika: kama utaweza twende ofisini sasa hivi saa 8 bado tupo wazi ukasaini mkataba ulipie bank upewe funguo mhamie
Mzee akafanya kama alivyoambiwa, kila kitu tayari, Cutey anaangalia kama movie flan au ndoto, kha! Haya maombi nimeomba baa najibiwa upanga?! Jesoooos huyu baba nimelala nae usiku 1 keshawehuka?! Au ana ukimwi nini?! Dah mbona naskia kichwa kinauma ghafla?!
Mambo yakakamilika saa 11 jioni hapo cutey kachoooka anamwambia mzee ngoja nikalale kwanza nitahamia weekend
Mzee akakomaaa wahamie leo leo, Cutey akasema basi ngoja nihakie kesho leo nifunge funge ili iwe rahisi
Mzee akakomaa, basi nalala kwako leo tupange pange woteee
Cutey akakubalii, wakaenda kwake kariakoo, dadeki kubayaaa, hehe kweli ni sheedah! Mzee anakohoaaaa, hewa nzitoooo, bwana me siwezi kaa huku twende kwangu, beba nguo tunaenda kwangu
Cutey: sawa baby, hamna neno akakusanya kisanduku mpaka kwa mzee, mikocheni mojaaa kuzuriiii nyumba ya ghorofaaa! Upepo mzuuuurii nyumba nzima yupo na kijana wa kazi basi, pazuuuuriiijeeee
Akakaribishwa mwenyewe anasifiiiaaa, Mzee anachekaa, embu ingia hapo jikoni nipikie tule tukalale
Cutey akazama kwa kitchen, akakorofisha weeee mpaka mwishooo, kurudi anamkuta mzee ana fight for his life hawezi pumuaaa, heee anamwangalia macho yashapanda juuu, anaonyesha kidole kwenye draw, akakimbia kwenye draw anakuta inhaler akampelekeaaa akaanza kuvutaaa ndio akakaa sawa, Cutey akamlaza akaanza kumcheki afya, presha juuu, akamvua shati, fungua dirishaaa, Cutey akafanya yake ya u nesi, mzee akakaa sawa, baadae akamletea chakula akala,
Cutey anashangaa kha! Mungu umeniletea mgonjwa mbona kasheshe
Walipotulia mzee anamwambia me ninaumwa sana, nina high blood pressure, nina pumu, kansa ya damu, sass mke wangu alikuwa ananiangalia na sasa hayupo, watoto wangu wote wa kiume wapo 2 wanaishi nje na familia zao, mchana anakujaga nurse wa zamu ila halali, nadhani wewe umekuwa my answered prayer, uliposema nurse nikakupenda zaidi, huku anakohoaaa, Cutey akambembeleza pale akampa na maji akatulia
Mzee: kaa na mimi binti, nitakuangalua mpaka mwisho, haikuwa na sababu kwenda kupangisha upanga, uje tuishi wote hapa hamna neno, kesho nawapigia watu wa NHC warudishe hela au nipangishe mtu mwengine kwa hela juu kidogo kwa mwaka mzima we uchukue kodi!
Cutey anashangaa tu anatoa macho, akaitikia kwa sauti ya chini sawa baby hamna neno, nitahamia, akapanda kitandani wakalala
Hakuna mechi iliopigwa mzee anaumwa jamaaa




MALKIA WA NGUVU-PART 3

"CLOSURE"

FOXY:
Kuwa Receptionist sio kitu kidogo kabisaa, watu wanadhani ni mchezo mchezo ile ni kazi na heshima zake, hauwezi kukaa reception mchafu chafu lazima uwe smart toka kichwani mpaka miguuni, clean, smart, elegant, smiley, ukiwa mzuri kama cutey na wewe sexy inakuwa chery ontop of the cake, ila ukiwa mbaya kama mie lazima ujiongeze mara 1000 nikufikie! La sivyo utaonekana kama housegirl wa kule kwetu Urangini!
Sexy: akacheka ila foxy bwana hauishi vitukooo!
Foxy: me nakwambia ivoo, dah hapa kiuno chaumaaa, sijui kama kesho ntawahi ofisini na hivi naamkia saa 11 ili saa 12 niwe pale ndio balaa!
Sexy: sasa mama hili ghetto lako umeli furnish vepee labda?! Mbona pazuri sana ivo ni kazi ya receptionist tuu?! Au kuna mengine?!
Foxy: akawa anataka kumjibu simu ikaita akapokea
Hellow
Simu: nambie mrembo
Foxy: poa babe za kwako?!
Simu: mbaya, si unajua bila wewe sipumui
Foxy: eh naelewa ndugu yangu naelewa
Simu: uko wapi?!
Foxy: ah leo nipo kwa dada na baby seat, yeye kasafiri mpaka ijumaaa huku anamng'ong'a kwa mdomo
Simu: ah jamaan unanitenga namna hii sawa bwana
Foxy: uskonde we wangu haina noma ntakucheki naona mtoto kajimwagia soda, we nanii mwache mwenzio, akamfinya sexy akashtuka aaah
Simu: eh mtoto gani huyo analia kama ng'ombe au umefichwaaa embu nipe niongee na mtoto mmoja hapo?
Foxy: haloooo, haloooo halooo baby, unakatika katikaaa sikuskiii, halooo halooo
Simu: halooo, we foxy acha usanii me mbona nakuskia vzuri
Foxy: haloo baby haloo darling, bebushka, eh hapa nakuskia, haloo unakata kata ngoja kwanza ntakupigia akakata simu
Sexy: mmh! Mapenzi yameingiliwa sio kwa utapeli huo
Foxy: we nawe badala ya kuniokoa unanizamisha sa kushtuka kama kobe ndo nini ungejiliza nyau wee
Sexy: ah bwana wee hayo mambo yenu mtajiju!
So nambie gheto vepee unalimilikije
Foxy: unataka ukweli au unataka nikudanganye au unataka nikuchanganyie ukweli na uongo?!
Sexy: ukweli
Foxy: mimi bwana nina stori ndefu ila ndo uwe mpole, ngoja nijinyooshe wakati najinyoosha niletee Amarula yangu iko hapo kwa fridge na grass juu ya kabati niletee ngoja nijipange nikuhadithie
Sexy akafanya yake akarudi haya bibi foxy shusha engene!
Foxy: akachekaaa naona ukikaa na mimi wiki 3 ushakuwa pacha wangu
Basi me kwetu si unajua ni kondoa, mrangi kama unavyoniona, mtoto mweupe slim hatuhitaji mavi saaana chura tupa kulee, me najipenda hivi nilivyo sijawahi ku envy shape za mavi mavi hayo yenu
Nimetoka kijijini mwenyewe kuja kuisaka chapaa, kufika guest magomeni nina tsh laki 3 nimelima mazao weee nikasave hela nikaondoka kwa wazazi nimeacha barua naenda daslam nitawatafuta nakuja kutafuta hela nikizipata narudi kuwashukuru niombeeni
Sina simu sina ndugu dar es salaam nikadondoka guest migo migo (magomeni mojaaa) nikakaa siku ya 1 nikaona hamba kitu siku ya pili nikalipa huku natafuta nyumba ya kupanga nikazunguka na mwenyeji wangu moaka kinondoni nikaipataaa
Nikalipa miezi 6 laki 1.5, nikahama guest nikahamia chumba halina kitanda sina, nina begi tu, nikauliza uliza bahati mpangaji mwenzangu akawa anaenda kkoo nikadondoka nae, nikadaka godoro na vikombe na majagi ya maji nikarudi migo migo
Nikalala siku ya 1, siku 2 nikamwita yule dada naulizia wapi napata ajiraaa, akacheka ajira daslam ngumuu, hapo nina laki 1 mfukoni ndio kila kitu kwangu, akaniambia kama daslam hujui mtu mama kupata ajira utaisoma namba, tupo arena ya God father sasa, Daslam ndio Tz, ila ngoja akachukua simu akaampigia mtu akamwambia aje
Nikaondoka moja mpaka kwenye bar nikatambuliwa bar ipo sinza, me sijui cha sinza wala nini, nikapokelewa uzuri yule jirani akaniambia mama ukiwa unarudi panda daladala mpaka mwenge mwenge chukua la kwenda buguruni ushuke magomeni Mapipa, hapo si utakumbuka njia?! Me nikajibu ndiooo, akaniambia ukupotea nipigie nitakufuata nikamshukuru yule dada mpaka leo namshukur anaitwa Monica alikuwa mlokole, usiku ukifika anasalii weee hatulali ila me hakuwa ananisumbua ila wengine wanalalamika analia lia kama kuna msiba, kwa kweli hata mir nilijua kuna mtu kafiwa siku ya 1 kutoka naambiwa ah mlokole anaombaaa nikachokaaa
Basi nikaanza zangu kazi pale, napiga mzigo smartness tukafundishwa na meneja me sina hili wala lile

Piga mzigo wiki ya 3 akaja mteja, anaanza kunioa fursa za gnld, mara sijui tianshi mara sijui nini ah nikampotezea, akaja tena skunyingine oh sister umefikiria nikamwambia bro, me hayo madude yako wala usiniambie, me staki hata kuskia kwanza mshahara wangu hapa elfu 15 naishi kwa tips kwaiyo niache
Akaniangaliaaa akanihurumia sijui akaondoka
Baada ya mwezi na wiki 2 akarudi, sister ujue me nimekufkiria sana inawezekanaje we unalipwa elfu 15 kwa mwezi sio kabisa, basi sawa we chukua hii laki 3, kesho nakuja kukuchukua nakuhamisha nakupeleka sehemu
Nikamwangaliaaa nikamkatalia akaniambia dada me staki uchi waki we pokea hii mrembo kama wewe haufai kukaa hapa. Nikapokea nikaanza kuziombea sasa shindwa pepo wa hela na matambiko ya free mason shindwaaaa yule jamaa anacheka haya kwaheri sista kesho
Kesho akaja bwana, mapemaa hata bar haijafunguliwa akaniambia twende sasa beba pochi me nakusubiri mtaa wa 3, nikabeba pochi nikaaga naenda hospital nina UTI, hamna cha UTI wala nini, nikadondoka kwa yule bwana hapo sina cha simu wala nini
Kufika pale naona gari zuuuri pajero, akaendeshaa mpaka kijitonyama, akashuka akaniambia subiri nikasubiri dk 30 akarudi anasema ah hamna kitu hapa twende kwengine tukaendaaa mpaka posta, kufika akaenda yeye nikasubiri dk 20 akaja wamesema twende branch kariakoo tukaangukia kkoo nikaambiwa shuka nikaingizwa hotelini nashangaa mwenyewe pazuuuuri kweli kweli napaangalia tu
Baada ya nusu saa yule bwana akatoka na meneja, nikatambulishwa pale karibu uanze kazi, nikaashukuru,
Meneja: utawekwa kwenye majaribio kwa muda wa miezi 6 mshahara Tsh laki 2, ukifanya vizuri unaongezwa mshahara mpaka laki 5 me macho yananitokaaa. Unajua laki 5 kwangu ningelima mwaka mzima mimi mwenyewe nijipangie heka zangu nikauzie mazao mbali maana wali madalali wakija kununua kwako wanakulalia so tunauziaga mbali sana ndio upate hio hela udundulize maana hata ukipata laki 5 nyumbani mahitaji mengi so lazima ufiche hela ndio uipate inaweza chukua hata mwaka. Meneja akaniambia tunakupeleka english kozi we umeishia darasa gani, nikamjibu lasaba akaniambia sawa sawa. Uje kesho uanze kazi
Yule bwana akamwambia hata leo yupo tayari kuanza
Meneja akakataa kesho bwana sa hivi saa 8 mchana kesho saa 1 uwe hapa nikasema sawa
Njiani yule bwana skanipa no yake nikamwambia me sina simuu, akashangaa daslam hauna simu nikamwambia ndio akanijibu embu ngoja akaingia tena kariakoo akaninunulia tochi, akanunua line me nimekaa kwenye gari kama pambo akaja na simu, haya mami namba yako uii hapa uitunzee, simu yako hii hapa. Akachukua simu yangu akaisave no yake na ya meneja akaanza kunifundisha kuitumia nikaanza ku practice hapo hapo kwenye gari, akaniambia sasa ushajua embu fanya unanipigia nikajaribu nikashindwa nikarudia tena na tena nikawezaaa akanipigia makofi me nacheka huku nashangaa hapa vepee?!
Akaniambia kule bar usiende me nikamkatalia ngoja nirudi nikaage vizuri maana hata hapo bar nimetafutiws na mtu ivoo sasa staki kuharibu
Nikashushwa mtaa wa 2 nikarudi bar, hamna mtu anajua, usiku nikamwaga meneja mama anaumwa nimeambiwa nirufi kijijini, so me naona nisimame kwa muda nikirudi nitaendelea. Meneja akakubali akanilipa elfu 50 yangu ya nusu mwezi nikaondoka. Kufika home saa 5 usiku namkuta Monica anaombaaa analiaaa nikashindwa kuongea nae nimshukuruu nikaingia kulala, asbh nikashtuliwa na watu wanafukuza mwizi, kuangalia saa saa 11 nanusu nikakimbia kuoga, saa 1 nipo kariakoo nikapewa uniform nikavaaa, nikaanza kuelekezwa kazi saaa 4 anakuja mwl wa english kozi anatupiga pindi mpaka saa 6 tunarudi mzigoni kumbe tulikuwa wa 5 tunapigwa pindi wa 2 begginners wengine washazoea
Nikapiga kazi wee saa 12 natoka nje nakutana na yule bwana, nimekuja kukuchukua nikaguna mmh kazi ipo
Nikamshukuru kwa kazi nikamwambia utakuwa unakuja kunichukua mpaka lini natakiwa nipande daladala nirudi mwenyewe nizoee, akacheka tukaondoka haooo ananiuliza unaishi wapi nikamwambia magomeni mapipaa, akachokaa, unaonaje nikikuhamisha huko uliko nikupeleke kwengine
Me nikamwambia baba nimelipa kodi miezi 6
Akauliza bei gan
Nikamjibu laki 150
Akacheeeka nitakurudishia usikonde we hama,
Foxy: sasa nahama naenda wapi me sijui dar ni mgeni nina miezi 2 tu
Danga: embu ngoja kwanza, akapanda hewan asee mzee nanii ile nyumba bado ipo?!
Wakaongea weee nikaskia haipo ila ipo moja hapo ilala njoo uiangalie, nikaona gari linageuzwaaa haoo mpaka Ilala, kuangalia nyumba kuubwa ya vyumba vitatu! Nikashangaaa lile danga likalipa bwanaa kodi ya miezi 6 mh nikaona hapa naolewa bila kupendaa, ila sikufichii lile Danga lilikuwa na hela alafu lilinifukuziaaaa tangu naanza kazi wiki ya 2 nikawa namwona anakuja anakula anaenda hanisemeshi kaja kunisemesha wiki ya 3 nikamkata kauli
Nikaona wana saini pale na hela akaenda kutoa kwenye gari nikalipiwe kodi miezi 6, ujue ilala yangu na kariakoo sio mbali sana, napanda daladala 1 tu nafika, ilala yangu ni ya huku veta sio kule buguruni hapana!
Nikaambiwa mama funguo huu hapa utakaa hapa me nashangaa kwani malaika gani katumwa ajr anisaidie au ni ile baruaaaa wazazi wameniombea?!
Nikakubali sina jinsi, lile danga likaniambia niachie funguo, kesho nakuja kujaza nyumba maana najua kwako kwa haraka haraka na mahesabu utakuwa hata kitanda hauna, kitu anbacho ni kweliii! Nalalia godorooooo, na kikombe cha chai cha plastiki ndo cha maji ndo cha mswaki, basi si unajua me mtoto wa shambani najua ku balance life
Akanishusha Magomeni kituoni huyooo nikaondoka huku nachungulia chungulia kama atakuja au la nikadondoka home saa 1 nakutana na Monica anapikaaa, nikamsalimia nikaingia ndani nikatokaa, ananiambia naskia umeacha kazi ya Bar, nikaaanza kumuomba msamaha akaniambia wala usijali, ile baa ya mume wa cousin yangu nilikuhurumia sana umetoka kijijini, nikaona ukae angalau pale, kazi za u house girl usingeweza.
Maana wewe mzuri sana na yule shemeji yangu mlafi hatari, bora ukaage tu bar wakuone ila nimekuombea sana kila siku nakuombea
Nikamkatisha, asee kumbe ni wewe basi nimepata kazi hotel moja kkoo, dah asante sana boss
Monica: hongera sana akawa anashangilia pale kilokole nini,
Foxy: sasa mami jumamosi me nahama hapa natala kodi yangu iliobaki ya miezi 4.5 uchukue wewe iingie kwako
Monica: akafurahi jaman asante sana unahamia wapi
Foxy: nimepata nyumba ilala, nitakuwa naishi huko
Monica: eh jamani Mungu atukuzwe, jamaan hongera sana,
Foxy: asante sana Mungu Akubariki kwa kunitunza na ahidi kukusaidia mpaka utakapo kaa sawa. Nikamwuliza kwani we unafanya kazi wapi
Monica: kanisani me nasafisha vyoo, bafu, nadeki kanisa, nafagia nasafisha mabenchi, nafua nguo za wachungaji, natumwa tumwa huku na kule kupeleka barua ndio hivyo mpendwa wangu
Foxy: nikamhurumia sana sana, huyu dada amenisaidia bila yeye nisingempata Danga lazima nimkumbuke kwenye ufalme wangu. Nikamwambia dada embu andika namba yako ya simu, akatoa simu tochi nokia akaandika akasave akajipigia kwake akasave yangu. Nikamshukuru nikaingia ndani kulala
Asbh kama kawa mzigoni, weekend ikafika Danga likanipigia, mama leo kazini watoka saa ngap. Nikamjibu saa 8 akaniambia ukitoka nibipu nakuja
Saa 8 akaja tukaenda ilala, gheto limenounaaa! Sio kwa standard hii lakini sio kwa standard hii unayoiona Sexy!
Me kufika nashangaa shangaa makochi mazuri kachukua hapo keko, ah kiroho safi, friji nini, tv ya mgongo wa chura, deki, dvd kibao, maua nini, dining table kha! Nikasema haya maombi ya wazazi na monica ni noumer!
Me nikawa speachless! Najiuliza Mh! Sasa huyu bwana me ntamlipa nini?!
Akaniambia twende tukabebe chako tuongee na mwenye nyumba waki tuhame pale
Tukafika migomigo tukaongea na baba mwenye nyumba, Danga anashangaaa kweli kweli palivyo uswazi kwanza gari kalipaki serikali za mtaa akatembea mpaka kwangu.
wamemaliza kuongea nikamwambia mwenye nyumba naomba kodi yangu ihamie kwa Monica amenisaidia sana mpaka hapa nafika Danga ni huyu dada. Monica bwana kumbe kodi yake ilikuwa inaisha kesho yake, akafurahi anashukuru baraka kibao, Danga anashangaa tu, kuingia ndani kiru ni begi, vyombo na godoro dadeki, Danga alitoa machozi, akaniambia hili godoro tunampa monicaaaa na vyombo vyotee beba begi tuondokeee, nikamwita monica akajibebea muujiza wake akiwa anatoka Danga akatoa laki 2 akampa, asante sana kwa kunitunzia mke wangu me kuskia mke macho yananitokaaa nikajua leooo naliwaaaaaaa!
Nikamkumbatia monica nalia machozi Monica wangu asante sana we ni zaidi ya ndugu yangu sitakuachaaaaa! Monica nae analiaaaaa, tukalia pale dk 20 tukaondoka na Danga hapo saa 12 jioni ilala mojaaaa, kufika naanza kuchagua chumba akaniambia we lala hapa master bedroom nikaanza na kujua master bedroom, chezeiya! Nikaweka matambara yangu kwenye kabati nguo 4 tu na chupi 2 anashangaa kweli kijijini kumetea malkia wa nguvu
Nikaingia kuoga mara naona Danga anaingia bafuni, nikamtoa akatoka anacheka nikaoga haraka haraka najua nabakwa kweli nilikuwa na akili ya kiduanzi, kutoka namkuta uchi wa mnyama uuuuwiii, niliskia kunyong'onyea, dyu dyu reeefu kama nguzo ya tanesco nikijiangalia na mie kipotable nachokaaa akanishika akanibeba juu juu danga mwenyewe kapaaandaaa! Nene nene flani amaizing!
Nikabwagwaaa kitandani, nikahudumiwa weeeeee nusu saaa naandaliwaaa, mh nguvu zimeniishia mwilini, nikapigwa puli, dah inaumaaaaaa, inaumaaa jamaaaaa, niacheeeeee, danga kakazanaaaa kitu kikachomoookaaa me naliaaaaaa, danga linacheeka tuuu namwita majina yote mabayaaa shenzi pumbavu nyokooo maviii kumanyookooo maninaaa mngeseee pumbaavuuu faalaaa mpaka namaliza matusi mtu keshamaliza muudua nikalala.
Kuashtuka saa 3 usiku mwili upo pale pale Danga hayupo nikawa najisonga songa nikaogeee, nikaoga kutoka nikawa nimekaa kitandani mara naskia mlango unafunguliwaaaa, ah kumbe Danga kaleta msosi!
Nikasusa akaniambia kula maana lazima nikurudieee, mh nikamwambia naomba niueeee usinirudieeee akacheeeeeka akaniambia siku moja utanikumbuka
Yani mechi napigwa kav kav bwana nilinunaaaaaa, nikarudiwaaaaa, kuja kuibuka saa 7 usiku kile chakula nikalaaa mwenyewe bila kupenda ye amelala
Alfajiri akanirudiaaaa nikawa nishazoea kuwa naamkia kazini akaniambia leo j2 hauendi job nikashukuru! Kwichi kwichi kwa sana, kushtuka saa 2 asbh nikaenda jikoni sijui kutumia jiko la umeme, basi kazi nikarudi ye kalala nikaenda kuoga kurudi namkuta amekaa ananiangalia, nikajua narudiwaaa, nikawa najifuta anjificha fiiiiichaaa anacheka, embu kuwa huru na wewe mpaka sasa si tumeshazoeana?!
Me nauoga wangu wa kingese naendelea kujifichaaa, nikavaa nikamwambia naskia njaa njoo jifundishe kuwasha jiko nikaenda kufundishwaaaa, nikachemsha chai hamna vitafunwaaa akaniambia nakuja akaenda kununua maandazi na chapati akaja nayo, me naandaa chai yeye anaoga alipotoka ananiambia tukimaliza chai tunaondokaaa, kwensa shopping hauna nguo
Shopping ikafanyika sinza, mama wee nanunuliwa chupi sjui thong sijui nini, hata sielewi vikaptura vifupi nguo za kazini nguo za casual

Nguo za kanisani, nguo za sherehe, nguo za mahaba, madera ya msibani, kha matakataka kibaooo!
Akaniambia vaa hii leo nikavaa jeans na top ya picha ya JLo!
Tukaenda kutembea coco beach bwana, tukala miogo mara anipeleke sijui kunduchi mara mwenge mara mbezi beach mara beach comber sijui komba, hata sijui me nashangaa tu

Tukaendeleza mechi nikazoeaaa, nikamzoeeeaaaa, nikawa nomaaaaa, yule bwana anafunguo yake me na yangu, nikawa noma kitandaniii,
Siku moja tumekaa ndani weekend, na chupi na top yangu, simu ikaingia kuangalia imeseviwa wife
Nikanunaaaa! Akapokea mke anauliza usharudi safari?!
Danga: ndio nimetua airport mama vepee
Mke: ah nauliza tu haya karibu me nipo na watoto nashindwa kuja kukupokea.
Danga: usijali mama watoto wangu nakujaaa. Simu ikakatwaaa
Foxy:kumbe una mke Danga mbona haukuniambia?! Alafu umemdanganya umesafiri kwanini lakini?!
Nikaanza kumfokea namgombezaa naliaaa basi drama drama tuuu!
Akaja akanishika akaniweka kwenye mapaja yake ananiambia niangalie, me sasa naogopaaa mbona nagombezwaaaa
Danga: wewe ni mke wangu pia na yule ni mke wangu pia zoeaaaaa, kwani kitu gani haupatiii?!
Foxy: naliaaa lakini dhambi me staki kuvunja ndoa za watu ni dhaaambii alafu umenitoa usichana wangu mshenzi mkubwaaa wewe
Danga: inabidi sasa ukue mamangu, darsalaam hii hakuna mwanaume atakutengeneza kama nilivyokutengeneza utasubiri sana mama
Foxy: naliaaaaa
Danga: bora ukubali na kumshukuru Mungu kwa maisha nayokupa
Foxy: nikamwitikia tu basi aniachie lkn hakuniachia tukarudi round ingine, baada ya masaa 5 akaondoka kwenda kwa mke wake sikumwona tena, hakuna cha simu hakuna cha sms kimyaaaa mpaka miezi 3 mbelee

Baada ya miezi 3 akaja tena si anafunguoo me nimekaa zangu naangalia tv, akanikuta nimekaa naangalia tv, akanisalimia akaingia chumbani, akakaa ndani nusu saa hatoki wala haongei, nikaona nimfuate namkuta amejilaza kitandani
Nikamsalimie vipi mbona kimya miezi 3 alafu umekuja hauongei vipi tenaa?!
Danga: niache kwanza nipumzikee!
Foxy: nikamuacha apumzikee, baada ya masaa 3 nikampelekea msosi hakulaa, nikarudi kukaa kwenye kochi, saa 4 usiku nikamfuata chumbani akanikamatia, kamata na wewe nikapigwa cha moto hapo wee kuja kushtuka saa 6 usiku, nikaenda kula, nikamletea hataki, nikaingia kulala

Alfajiri nikaamsha mimi maana nilikuwa na upwiru balaaa horse riding all the way to the daylight, tukalala si weekend hamna kazi j2 kwangu
Asubuhi, akaamka kabka yangu kuja kushtuka namwona ananiletea breakfast in bed! Mmh sielewi kuna nini, me nikala zangu na yeye anakula kimya kimya hamna maongezi,
Baadae akaniambia niliporudi nyumbani tukakaa na mke wangu vizuri, tuna mtoto mdogo m1 wa mwisho ndio kitinda mimba, dada alikuwa amebeba maji ya moto kupeleka bafuni hakumwona mtoto, katoto kale kanatambaa kakaenda kumshika dada ghafla akashtuka ndo kumwaga maji yamemwagikia ntoto kwenye kichwa na usoooo, ah mtoto kufika hospital dokta anasema hamna kitu keshaenda
Ndio maana nimekuwa kimya sikuongea nilikuwa naugulia maumivu, mtoto wangu wa kiume ndo huyo huyo, mke nae akawa kama amechanganyikiwaa, simwelewi tumekaa miezi 3 hatuelewani anamlilia mtoto, nikaona isiwe shida nikaanzisha safarii, naenda kikazi basi tu akae mwenyewe, hapa nilipo nimebakisha watoto wakike 2, wote wapo chuo uingerezaa mwaka wa 2 wanafanya degree.
Foxy: nikamhurumiaaa, mwanaume kukosa mtoto wa kiume ni mbayaaa inauma saanaaa, ila ndio mapenzi ya Mungu nikaanza kumpa pole na nini tukazama tena bondeni

Ah we Sexy me nimechoka kuongea nitaendelea baadae ngoja tule kwanza nikae sawa

Wakaelekea jikoni kupika chakula


Basi bwana, nikakaa na yule Danga miezi 3 mpaka namshangaa hampigii mkewe nikiwa nae labda kama nimetokaa. Mwezi wa 4 nikamwambia Baba ee, rudi kwa mkeo, nimekuchoookaaa, choookest! Niache nipumue nenda kamjulie hali mkeooo hapo saa 3 usiku, akaniangaliaaaaa nikajua napigwaaa akainuka akapaki nguo zote aondokeeeeee, akachukua wallet akatoa laki 5 akaondoka hajaongea
Sikumwona mwaka mzima. Nikajua keshakufa or something, rent ikaisha nikawa na saving zangu nikamalizia nusu mwaka mwengine
Nikaona hapa ntakufa na tai shingoni, nikaanza kuhangaika hapi english inapandaaaa, ofisi imenipa bonus mwisho wa mwaka nyie mnaiita 13th cheque, nikapewa milioni 1 ya best hard workinh na best presentable staff!
Mungu si athumani nikaenda kudumbukiza kwenye rent miezi 6 ya mwaka mwingine tenaaa, unajua mimi bora nilale na njaa kuliko kukaa nje ya nyumba ndo nilivyoo!
Siku nimekaa reception akaingia Mchina, nikaenda kumpikea vzuri english inapandaaa kazi kazi akanipenda bwana, si unajua na shape yangu ya kirangi slim body, usiku akaniita nikiwa shift, nimpelekee sijui taulo taulo likawa taulo, mchina kajazia kwanza ukimwona mwenyewe una blow!
Kupeleka taulo shoga mchina kanidandia, mh nikaona hapa shida nikatoa condom, mchina akafanya yake yani shida tupu, kidudu chembambaaa kama sosej, me nshazoea mdushelele shelele shele shelelee!
Naona kama ananichosha, usiku huo huo nikanyata kukimbia akashtika, nikamwambia natafutwa reception akaniambia subiri, kazama kwenye wallet akanipa dola 200, nikaondoka. Asbh akapita kama hanijui, me natiks zangu night shift!
Kurudi home namkuta Danga kajaaa, appologies kibaooo, oh unajua mimi kimepanda kimerudi, maneno kibao nikamwambia hamna neno, akauliza rent ushalipa nikamwambia ndio,
Danga: hela umepata wapi
Foxy: zawadi za mwisho wa mwaka ofisini
Danga: umelipa bei gani embu ngoja akapiga simu akaambiwa akachukua cheque akaniandikia hela mil 2,
Me namwangalia tu, akaanza kunikamatia nikamwambia baba, baba weee, niacheeee! Anashangaa shangaa pale nikamwambia mwaka umekula na nani uje uniletee mawaya twense hospital tukapime la sivyo lala mwenyewe ndani me nalala nje
Akadhania utani me nikatoka, nikaenda kulala kwa Monicaaa saa 12 jioni nakumbuka ilikuwa ijumaaa, nikaingia kazini namkuta reception ananisubiria,
Foxy: baba vepee
Danga: nimeshaongea na meneja twende, nikavutwaaa mpaka kwenye VX V8 yake haooo Hindumandar
Tukapima wote tupo mwakeee sijui anajuana na dokta nani nani maana sio kwa ile foleni, dokta alishapangwaaaa majibu yakaletwa ndani ya nusu saa, kila mtu yupo vzuri tukaondoka ananipapasa na nini nikamwambia hapana
Danga: hapana nini tena mpenz
Foxy: huyo dokta wewe ambianeni weeee muandikiane majibu ya uongo me siyakubali
Danga: sasa unataka nini sherii mbona wanitesa sana, mke anitese wewe unitese vepeee?
Foxy: bwana nishushe kazini tuongee kesho
Akanishusha kazini lakini hakuondoka akaomba chumba, akalala pale pale, basi kila saa napigiwa simu nenda room flan, unahitajika, yani kila saa naaitwa mie ukifika anakwambia ah mpenz wangu we mzuri, mara nakupenda mara we mrembo, mara we mtamu, yani sheedah, nikamwambia acha kunisumbua bwana me nipi kazini mbona ivo,
Danga: afu kazi yenyewe kama ndo hii mama naomba nikuhamishe ngoja niwaze nikuweke wapi au ukasome kwanza shule ya qt form 4 upate cheti uende diploma uende mpaka chuo
Foxy: iyo kazi sifanyi
Danga: mama elimu ni ufunguo wa maisha soma kwanza matusi yapo tu, niskilize basi, hii kazi wanakulipaje labda?!
Foxy: sa hivi laki 5
Danga: acha kazi nakulipa mimi hio hela kila mwezi usime kwanza we umia kwa miaka 7 upate ka degree kako afu utaniambia
Foxy: haya ngoja nifikirie, kwa sasa niache nifanye kazi zangu plz usiniite nikaondoka akalala
Nikaaa reception baridi a/c kali nawazaaa mtoto wa kirangi nawazuaaaa, napiga mahesabu naona ni kweli, huenda hizi ni baraka za wazazi wananiombea, dah nikaona kweli ila kuacha kazi staki, nafanyaje?! Nikapanga pangua nikaona bora niongee na Danga, saa 11 namaliza shift nikampandia chumbani, tukapigana dyu dyu weeee dyu dyu na wewe, alfajiri nikamwambia me kazi siachi ila QT nasoma, nitaftie mwl private awe ananifundisha siku nazoingia job usiku anakuja ananifundisha, siku nayoingia job mchana anakuja usiku saa 2 mpaka saa 4 tunapiga buku na weekends, ila kazi siachiii nikakomaaaa akakubali sawa mpenzi, j3 nikaanza darasa kudadeki, pugwa pindi maana nilikuwa naingia mchana mwl saa 2 yupo mlangonj na mie nishafika nishajiandaa nipo mezani nafunzwaaa, mambo yakakolea miezi 6, mwaka, akanipa mtihani wa form 2 nifanye nikafaulu
Nikapigwa tena pindi weeee mwaka mwingine wa 2 ukaisha nikapewa pepa za next naenda mdogo mdogo mpaka nawezaaa
Siku ya mock nikaenda kupiga nikapata alama C, Danga sasa akawa hatokei saaana ananicheki kwa simu, anakuja j2 ananitoa out baada ya darasa asee yule Baba alinisaidia sana namshukuru mno
ikaja national nikapiga pepa, siku ya majibu yakatoka Danga kaends kunichukulia kitu ndani ya box nina div 2 ya mwishooo! Skuaminiii,

Nikaona pale nimechagua fungu jema nikamwambia Danga nataka kwenda form 5-6 akanikatazaaa
Nikamwambia ntafaulu usijali akakataaaa nikamwambia me najilipia akasema inabidi ukae darasani so inabidi uache kazi, nikaona eh basi sawa, nikaenda diploma hapo TIA, nikapiga BA miaka 2 nasoma jioni tu nikamaliza uzuri shift walinipangia kwa madarasa nayosoma, kwahiyo shift ya usiku ndani ya miaka miwili sijaingia. Nikapata diploma yangu nikamwambia mzee nina 2nd class akafurahi akaniambia sass nakupeleka degree nje
Nikamkatalia
Danga kakomaaa, twende ukasome nje wewe shauriyako me naujinga nakataaaa
Nikamwambia unajua sijaona wazee wangu nina zaidi ya miaka7 nataka kwenda kuwasalimia afu tuje tuongee mambo ya nje
Nikaondoka Kondoa mojaaa kuwacheki wazee wapooo wanadaiii wananguvuuu mama kanikumbatia juu juuu maangu bwana huwa ni mnenee! Akafurahi nikapikiwa pale mzee kachoma mbuzi majirani wakajaaa, malkia wa nguvu nimeingia
Sherehe ikaisha nikawaweka wazee mezani nikawapa A-Z tangu naondoka Kondoa mpaka narudi
Wakafurahi tulikuombea sana mwanetu tunakulove sana sana sana wakaniombea nikasome chuo nikawaambia nimepata chuo ulaya
Wakauliza wapi nikawaambia malaysia eh hata hawajui basi nikawaelekeza na ramani wakaelewa mama analia kwa furaha mwanetu huyooo anasepa uraya uuuwi nikaenda mjini kondoa nikawanunulia tochi kila mtu na yake wakafurahi, nikakaa wiki nikaagwaaa nasindikizwa mpaka kituonii, napungiwa mkono sasa hivi wana amani kuwa wana namba yangu napungiwa mkono mpaka bus linaondoka bado wanapunga tu du!
Kufika Dar, Danga akatokea na V8 yake nikadondoka ilala mojaaa!
Nikaambiwa fomu hizi jaza mama kesho tunaanza application za viza, nikaapply vuo sehemu 2, UK na Malaysia
Nikaaply Visa nikapata ya malaysia fastaaa, ya UK mpaka kuja kutokea me nishaanza chuo zangu Malaysia mwaka wa kwanza nasoma Kuala Lumpur mojaaa nasomea Human Resoure Management Degree, nikapiga kitabu mwaka wa kwanza Danga akapanda ndege akajaaa, nikapigwa game weeee shule na game, kajaa wiki nzima me naogopaaa huyu baba kazidiii, wiki nzima nimefunga chuoo kama nipo honeymoon wenzangu wanashangaa huyu libaba unalipeleka wapi tambi kuuubwaaa, tunasafiri mpaka singapore, nikirudi Tz napokelewaaa kha nikajiambia kwakweli kama bwana huyu asingeoa me ningeolewa nae muda sana.
Maisha yakaenda mwaka wa 2, mwaka wa 3 shule nikauaaa mtoto nina 1st class utadhani nilizaliwa na English, danga likaja kunitunuku Graduu watu wanashangaa huyu na kupenda wazee bwana papuchi ishazeeka
Tukaondoka na Danga lango Singapore mojaaaa wiki nzima tuna spend tukadondoka Malaysia tukaangulia penang, tukarudi Kuala Lumpur tukadondoka Tz,

nikakaa tu nyumbani miezi 2, Danga yupo kwa mkewe, nikapigiwa simi lete CV yako sehemu flan, au tuache lete CV kwa email yangu nikaforward baada ya wiki 2 nikaitwa interview!
Nikapiga interview fresh nikaondoka, sikuulizwa hata salary, baada ya wiki 1 nikaambiwa umepata kazi kwenye shirika letu njoo usaini mkataba. Nikadondoka mpaka kwenye kampuni, nikaenda kusaini mshahara mil 1.5 take home. Mh nikachokaaa! Pesa nyingi sikujilaumu wala sikustahili, nikaona huenda ile kazi ya receptionist ilini boost kupata kazi
Kuanza kazi mambo yakaanza kubana kila boss anataka kula na mimi, nikabana miguu na mikono na midomo, weeee chamoto nilikiona wenzangu wanapanda madaraja me nipo pale pale, mwaka ukakatika sisemi kwa Danga mwaka wa 2 nikaona upuuzi nikaamua nijiongezage tu kwani Tsh ngapi, nikanunua diary inakaa tu home, nikaanza kufuatilia kila boss na kitu anachopenda na mkewe yupoje na weakness za mkewe na watu wanachopenda nikaanza kukaa na wanaume ofsini nakuwa marafiki nao pale tunaongeaaa nakamata siri najua boss gan nikitembea nae napata nini, boss gani harudii msosi, boss gani akikukamata hakuachi, boss gan anajuana na Danga, nikaweka mission possible nikaanza kujitembeza kwa directors sasa, annual meetings me ndo kisura wa kuhudumiaaaa, weeeee Si unajua Directors wanakuja kwa kampuni mara 2 kwa mwaka, wakiondoka hapo hamuwaoni tena na wakikupenda unapandishwa cheo, basi nikamkamatia Director m1 huyo, nikafungiwa Hyatt Regency, mdundo mdundo sasa hivi nimekuwa fundi sio kitoto, kuamka asbh director anashangaa we mtoto umetoka wapi ila hakunipa kitu nikajua nimetupwa chini, j3 nadondoka job naitwa na meneja nimeku assign pamoja na board directors wa kampuni kuwa wewe utakuwa chief Human Resouce wa kampuni hii!
Nnikasema Yesu nashukuru ingawa njia nimepitia ya shetani haina neno, wenzangu wakawakaaa lazima katembea na director sio bure me nipo kimyaaa, si unajua ukiwa unakula na kipofu usimshike mkono, marafki zangu wakawa wanaume tuu wakiniuliza nasema hamna bwana me nimeomba Mungu kanisaidia
Kwa upande wa wazazi wangu nikaanza kubadilisha maisha ya home, toka nyumba ya udongo kwensa nyumba ya vigae, nikaweka na aluminium madirisha, nikafunga na a/c za kibishi si unajua tena mtoto wa uraya!
Kila mwisho wa mwezi natuma laki 5 home kwa wazee mshahara ukapanda mpaka kulipwa mil 4 gross income,

Ofisini nikawa nachapa kazi kama kawa
Nisimwangushe director alienipandisha daraja,

Danga tukawa tunawasiliana kama kawa anakuja home analala, siku niliolala na Director alikuwa anesafiri kikazi kwenda Nairobi by the time anarudi me kibibi kimeshatulia mahali pake

I learned the hard way maisha yangu hayawahi kuwa marahisi nime sacrifice sana

Kwasasa nipo na Director mmoja, ila yule nae ni mshenzi sana, sitakutajia maana usije ukaenda kumwambia mkewake, anapeeenda kunifuata fuata nahisi nitajafumwa na Danga, huyo director namwita BOOM, maana anamwaga hela kama yupo strip club, sio kwa mihela ile imagine Danga ana supply, Director ana Supply! Sasa nina miezi 6 sijachungulia akaunt yangu benk sa sijui nitakuwa na bei gan Mungu anajua

Sexy akasema fu mbona hii kali
Kwahiyo anae furnish hii nyumba ni nani?!
Foxy: anae furnish kwakweli ni mjinga m1 ila hawajahi kuja, yule Hotel Manager ndio ananipa hela na decor nyumba yangu kwa interior designer!

Well that was me sijui wewe Sexy maisha yako, maana sio kwa uzuri huu, hawajakukwanyua ofisini kwenu, umem screw nani kufika hapo ulipofika?!

Sexy: kha! Kweli wewe ndio foxy mwengine photocopy





MALKIA WA NGUVU - PART 4

DARAJA

SEXY:
Honey mini kuwa sexy haikuwa easy, sio kuwa sexy kimwili, mpaka kiroho, ilibidi ni raise some bars in my life kuwa hapa nasogea hapa sisogei hapa naenda hapa siendi, hiki nafanya hiki sifanyi, hiki navaa hiki sivai, nilitakiwa ni meet standard ya code yangu ya maisha na kui maintain
Kuanzia kichwani mpaka kwenye unyayo!
Me sitaenda into details saaana kifupi tu,
Kupata kazi bandarini haikuwa rahisi kama unavyodhani, kwanza me form 4 leaver, tena form 4 yenyewe nilifeli div 0 kabisaaa yani me darasani nilikuwa buzy nasoma reproduction tu! Tena practical!
Practical ikabeba mimba ikazaa div 0
Foxy: ulikuwa unamfanyia nani practical?! Mwl wa biology au wanafunzi wenzako
Sexy: both!
Foxy:: tobaaaa ni sheedah!
Sexy: majibu alienda kucheki mzee kurudi akawaaaaaka we mtoto nitakupeleka wapi inabidi u reseat, me kimyaaa
Akawakaaaa me kimya bi mkubwa alishatangulia mbele za haki, mzee akaoa mke mdogo kwani ana sauti sasa?! Anaanzaje kunigombeza, basi me nikawa nakaa tu ndani mke mdogo analeta zengwe siku nikambwatukiaaa nikakimbiaaa katika kimbia kimbia sikuona gari bwana likaja kunifungia breki kiunoni, nilijua namfollow maza kwa sir God
Akashuka handsome huyo sijawahi ona, kijana whiiite, kapanda, mzuuuri ananibembeleza na nini, akanishika mkono watu wameshaanza kujaa wanataka kumpiga, nikawaambia mwacheni bwana me nipo poa yule bwana akaniokota, akaniingiza kwenye gari tuondoke tu pale me nimelala seat ya nyuma nalia tu

Tukafika kwenye jumba nashangaa naambiwa karibu, ghorofa kuuubwaa, nikashuka nikaingia ndani, taa kibaooo, nikaambiwa utalala hapa, master room, nikakaa naangalia nyumba nzuuuri nikapanda kitandani nimejifunika nimejikuuunja nalia mpaka usingizi ukanichukua
Usiku namwota mama yangu marehemu, tunaongea tunacheka baadae naskia mtu anasema dada dada dada amkaaa, kushtuka yule kaka nikashtukaaa nafanya nini huku hata sielewi!
We nani
Mundo: tulia dads me nimekuokota jana barabarani pole sana nimekushtua
Sexy: barabarani, we mwizi mwiziii nikaanza kupiga kelele mwiziii niacheeee ananibakaaaa
Mundo: eh we dada me nakubakaje kwangu labda acha fujo nenda kajiandae nikurudishe kwenu
Foxy: nikatulia, nikaingia kuoga mlango nimeubaaaanaaa, nilipomaliza kujiandaa nikatoka na nguo zangu za jana namkuta amekaa ananisubiri tunywe chai
Mundo: karibu chai, fanya fasta tuondoke
Sexy: nikajinywea chai, keki, matunda nafakamia dadeki, mayai kha! Yule kaka ananicheka
Mundo: naona una appetite ee! Kunywa Pole pole me nakusubiria
Sexy: nikabwia majuisi makeki machapati mayai matundaa fakamia,
Baadae akaja house girl na mfuko akaniwekeea, Mundo akaniambia hivi vyakula vya kwako utakula kwenu twende haraka nawahi kikaoni
Tukaondoka njiani ananiuliza maswali me kimya, akachukua business card yake akanipa ukihitaji msaada nimtafute nikashushwa kimara baruti nikaingia home namkuta mzee wa kinyiramba amekaa ananisubiria, akaanza kufokaaaa akawaakaaaa akaimbaaaa me kimyaaaa, we mtoto umenichosha na kwangu uhame mama wa kambo amekaa pembeni anacheka. Kwa upande wa marehemu mama nilizaliwa mwenyewe kwa mama wa kambo wapi vijana 3 wa kiume
Basi nikaambiwa kama sita reseat nihame kwa mzee
Manyanyaso na mateso yakaaanza, mama wa kambo akaninyanyasaaa chakula sipewi, nakula akiwepo baba, mzee akisafiri nafanyishwa makazi kama Cinderela vile, nikaona isiwe noma nisepe tu hapa home
Nikampigia yule Mundo kaka ee me nina shidaaa naomba msaada natafuta ajira yeyote ulionayo nikatumia simu ya jirani maana me sina hela za kuwa na simu
Akaniambia tukutane sinza kona bar saa fulani
Nikaandika barua ndeefu kwa mzee nikamwelezea jinsi mama wa kambo anavyonitesa nimeamua kuondoka nashindwa kusomaaa, nimeshindwa mateso na chuki za mama nitakutafuta very soon maisha yakitiki, nikaenda posta nikaituma ile barua maana najua posta anaendaga baba.
Nikaiba hela kwenye pochi ya mama wa kambo laki 2, nikasema akome mshenzi mtupu, nikaenda sinza kona baa muda ule ule namkuta Mundo ametulia, akaninunulia msosi nikakataaa nataka unisaidie ajira we kaka me sina mama alishakufa baba kaoa mke mdogo ananitesa nimeamua kukimbia nikamwaga ubuyu wote kwa yule Mundo
Akanihurumia sijui wala sielewi nikaambiwa ingia kwenye gari, nikaingia, vuuum vuuuum mpaka kwake akaniambia utakaa hapa sina kitu zaidi ya sanduku langu na ile laki 2.
Nikasettle ye akasepa mchana akaja house girl akaleta chakula chumbani, me nalia chumbani huku naangalua tv, dstv full premium steshen zote nikaona nipo uraya uraya
Jioni akaja akanikuta nimejilaza kitandani akaingia akakaa kwenye kiti, ulisema una elimu ya form 4 sio?!
Sexy: ndio ila nimepata zero
Mundo: hamna neno ila kuna kozi unatakiwa ukasome kwanza ili uweze kupata kazi
Sexy: kwani iyo kazi siwezi kupata mpaka nisome au?!
Mundo: ukisoma mami inakusaidia upate hela nzuri
Sexy: me nataka kazi kwanza nitasoma nikiwa nafanya kazi maana hauwezi jua siku ukaamka vbaya ukanitimua ntaenda wapi?!
Mundo: hamna kitu kama hicho me sipo hivyo we kaa hapa hata ukilipwa mil 10 we kaa tu

Sexy: mmh! Asante kaka nataka uwe huru na nyumba yako asije mkeo au beibe akaja akanikuta huku nikakuletea shida
Mundo: me sijaoa wala sina mchumba wala demu nipo mwenyewe tu
Sexy: kazi plz
Mundo: kesho tunaondoka saa 1 asbh uwahi kuamka, tunaenda sehemu ukaanze kazi
Sexy: sawa asante sana
Asbh tukaamsha popo saa 12 nanusu tupo barabarani mpaka posta saa 1 nipo ofisi za bandari!
Nikatambulishwa pale ndii huyu ndo huyo ndio wenyewe wanaongea me nipo kimyaaa, boss mwenyewe ananiangalia macho 6 nikajua hapa nitaisoma namba
Mundo akaondoka akaniambia ukitoka nipigie, nikamwambia sina hata simu. Boss akadakia nitampa simu akupigie usijali
Mundo akasepa nikaonyeshwa kazi
Boss ananiuliza huyu kakako kweli au kaka wa kugongea?!
Sexy: kaka angu kabisaa wa kwanza kuzaliwa
Boss: yah ndo maana mmefanana wote weupee, haya karibu sana hapa ndo bandarini kazi yako ni kupeleka ma file ofisi hii mpaka ile kwa mwezi moja kwanza wiki ijayo nakuonyesha kwenye kazi za clearing and forward
Nikakubali kazi ikaanza. Jioni boss akampigia Mundo aje anichukue saa 12 nikafuatwa mpaka home. Kwenye gari nikamwambia sasa kakangu wa kugongea, utakuwa unanifuata mpaka lini labda?! Unatakiwa unionyeshe niwe napanda daladala narudi na daladala
Mundo: utaweza fujo na foleni za asbh?!
Sexy: ndio naweza kwani me nani?!
Mundo: akaniambia poa, kufika home nikapewa na simu nokia tochi, na namba ya simu nikasave, nikapewa na hela za nauli na matumizi, laki 3, basi kila siku saa 12 nipo kituoni saa 1 nanusu nipo job, boss anafurahi, mwisho wa mwezi nikalipwa laki 2
Mwezi ukakata, nikaanza kujifanyia shopping, shopping na wewe, nikaanza kunawiri, naonekana na vizitoo, mtoto wa singida nipo mwake na chura yangu, nimegawanyika Beyonce atasubiri miaka 1000, labda Nicki Minaj ndo na level nae!
Maboss wakaanza kupagawa nashangaa siku nimekaa naletewa bahasha ina laki 5, na kinoti nimekupenda bure
Skunyingine naletewa zawad nikifungua chupi za thong na bra, kinoti kinasema meet me office no flan daa flan, nikienda nakutana na baba limekaa na suit kubwa linakula kiyoyozi agenda ile ile oh me nakupenda nataka uwe mpenz wangu, nikakataa
Hakuna mwezi haujapita bila me kuhongwaaa, mshahara laki 3 lakini naweza ondoka na mil 1-3 misho wa mwezi
Valentines ndo usisemee maua yamejaa mezani kama me mwuuza maua wa hapo Mbuyuni. Naletewa chocolates, cakes, nguo, juices, gift vouchers, smart phone zikaingia za nokia nikaletewa zawadi na secret admirer
Nika upgrade, basi Mundo akawa anaona nazidi kupendeza akaniambia nakuona nakuona, shilawadu nakuonaaa! Unazidi tu kupendeza kwa laki 3 mpaka simu mpya hongera sana nikacheka tu
Ofisini nikahamisha idara kwenda kwenye mambo ya clearing and forward huko sasa ndio balaaa pesa nje nje dadake!
Mtu ku clear gari tu unaweza ukaondoka na mil 2, nikaelewa kwanini Mundo aliniambia mama somaaa, nika sign up kwa kozi ya clearing and forward nikaisomaaa somaaa nguuuumuuu kuliko somo la biology! Ngumuuu nikakoomaaa mpaka nikafauuluu nikapata cheti nikapeleka kwa bosss nikapata kitengo kipya daraja limepandaaa na deal na big cats tuu, mshahara ukaja mpaka laki 5 ila marupurupu mjomba kwa mwezi naweza ondoka hata na mil 5,

Nimekaa bandarini mwaka m1 sijawasiliana na baba yangu nikaona niondoke niende kuwasalimia, kufika nakuta mzee alishahama pale amehamia mbezi ya kimara, katika uliza uliza namwona dogo mtoto wa mama wa kambo akanikumbatia sista bora tumekuona asee home maisha magumu sana mzee alipunguzwa kazi tangu umeondoka hana raha wanagombana na maza jamani embu twende baba anaumwaaa anataka kukuonaaaa
Nikaondoka mazima mazima mpaka mbezi kimara kwa Taxi, kufika baba kusikia sauti yangu akatoka kitandani, akaja anaumwa ananikumbatia analia mwanangu umerudi mwanangu nakupenda mwanangu rudi nyumbani
Hapo nimependezaa nanukiaaa ma perfume ya designers, nikashinda siku nzima naongea tu na baba, nikamwelezea kwanzia nimeondoka mpaka hapa leo mambo nilioyapitia nikamwambia baba twende ukaone napoishii, tukaondoka na Taxi kuanzia mbezi ya kimara mpaka mbezi beach Africana. Kufika mzee roho inamuuma jumba nimetoa wapi nikamwambia huyu kaka amenifadhili sana nataka umshukuru ili nihame nataka kuhama kwangu nimepata nyumba kijitonyamaaa, akamsalimia akamshukuru akambariki akamwambia mwanangu amepata nyumba naomba twende nae akatuonyeshe tukaondoka usiku usiku mpaka knyama na mazigo yangu na masanduku mzee akapaona akapaombea, me nashangaa mzee kaokokaa?! Mundo anacheka tu nakuona sista wa kugongea, tisha sana furniture kubwa nene! Nyumba nzuri hongera sana
Sexy: ah hongera wewe bwana umenisaidia asante sana, mzee ikabidi alale pale Mundo akarudi kwake, nikaishi na mzee mwezi mzima hataki kurudi kwa bimdogooo, kuulizia anasema bi mdogo anachimba dawa za kiganga pale, yule mhehe shidaaa, najuuutaaaaa, nahisi yeye ndo alimuua mama yako me pale siruudiii hata unifukuze vepee!
Sexy: baba kaa tu hapa ndo kwako, baada ya miezi 6 nikapata magari 2, moja nilihongwa na boss bandarini aina ya noah, lingine xtrail nilinunua kwa mkopo wa bank,
Mzee akawa anaendesha xtrail me nagonga noah, akawa anaishi pale watoto wakimtafuta anawaambia wakutane nae sinza kona bar, wanaenda wanapewa hela ya matumizia kama ni ada analipa anarudi kwangu hataki wajue anapoishi asije mama yao akaja
Tukaishi na mzee mwaka mwengine ukakatika, me huki ofa zinazidi kuja na favors nikaona sasa hapa umri unaenda miaka 27 sina mtoto sina bwana lazima nichakarike saa inapiga piga bado miaka 3 niangukie 30, nikawa natoka out ndio nakutana na wewe Foxy pale Moven Pic, tangu tulipoachana shule ya msingi mpaka siku tunaonana nilifurahi sana

Foxy: hata mimi nilifurahi kwahiyo your love life ikoje labda naomba niulize

Sexy: kwakweli kusema ukweli Mungu ananiona tangu niishi na Mundo sikuwahi kulala nae ila sasa... hehe

Foxy: ila nini labda

Sexy: siku nilizidiwa bwana, nikamtafuta akaniambia nipo home, kufika nikamwambia twende chumbani kwako, kufika nikaanza kumvua mwenyewe, Mundo akawa anashangaa, huyu leo vepee?! Nikajaribu kujisexisha anacheka nikamsukuma kitandani, tukapigana miti weee siku hiyo sikulala nyumbani, niliaga kwa mzee nimesafiri, nikawa nikitoka job naenda kwa Mundo wiki nzima mpaka nikaona nimekaa sawa!
Nikaanza ku deal na wale watoa zawadi sasa, ili nipande cheo, nakamapa big cats big money big timer, matusi yooote yanafanywa bagamoyo, nikaanza kusikika kuwa me ni mkali bandari nzima hamna kama mimi, wakawa wanatupiana mpira, nikawa nafanya kuchagua tu, nikanasa kwa Secret Admirer huyo ndo aliona akomae na mimi tuuu mpaka kielewekee, ili abadilishe ile kauli mbiu ya bandarini kuwa mimi ni mkali, akawa ananing'ang'ania anatuma hela za matumizi anataka kunipangia nyumba nikamwambia me naishi na mzee hawezi ruhusu, Secret admirer haelewi akanitoa Kijitonyama akanileta mikocheni, ikabidi nimdanganye mzee tunahamia mikocheni akakubali, secret admirer anataka kuja namzuia, akawa anakuja mzee akienda singida anashindaaaa wiki 2 au 3 anaondoka. Alikuwa na mke na watoto wanasoma boarding,

Siku nikaalikwa party za wakubwaaa, nikaenda na secret admirer, kufika nimekaa zangu nachokonoa simu yeye yupo na vizito, akaja Ambassador, akaanza kunisalimia, anajiongelesha me namwangalia tu, akachukua business card akaniwekea mkononi, ukihitaji mechi za nchi ya jirani na mimi nipigie nikamsonyaaa
Siku nimezidiwa hamna cha secret admirer hamna cha Mundo, nikampigia akaniambia njoo kunduchi beach hotel, nikatua bwana bwanaa, hapo ndo nilijua mechi ya nchi za jirani inafaaa uicheze nchini kwako
Sijawahi kupewa mautamu kama yale, yani wanaume wooote wananilamba tu ila yule bwana ni nyokooo matusi matupuu!
Kukuandaa tu ni dk 45
Foxy: ahahahahaha, sasa unenielewa ee nikikwambia me naandaliwaga hata dk 30-50 unashangaa
Sexy: naelewa! Akawa ananipa hela nyingi nyingi sana dola pounds, nyingi tu, akaniambia me naelewa wewe una mtu wako na mimi nina familia lakini, nimekupenda tu, tuendelee kuwa marafiki, nikakubali! Nikalipa mkopo wa bank, nikaanza kujiunga na QT za form 4, nikapiga tena reseat nikapata div 2, nikaanza kujisomesha certificates, nikapataaa, nikapanda diploma CBE, nikapataaa, nikaingia degree mlimani ya BA nikapata, kimya kimya hakuna anaejua zaidi ya mzee maana nasoma jioni, nikapiga MBA hapo Esami nikapata nimevificha vyeti vyangu mpaka nione maisha yanaanza kudorora ndio napeleka kwa boss wasije wakaniloga bureee nikafa najionaa. Ila
mpaka leo tupo wote na Ambassador, na wote 3 hawajuaniii
Wote wamechizika na mimi
Mundo hataki kuoa anataka kunioa mimi, me nimemwambia sipo tayari kuolewa ndio akapata hako kadada ka bank, kashambaaa, ila nikizidiwa mbaya nampigia simu tunakutana hotelini namalizana na shida zangu kila mtu na njia yake, kwa condom!

Foxy: now we are talking the same language
Sasa hawa wazee bado unapigana nao condom
Secret admirer hapana, ila Ambassador na Mundo ndio condom lazima. Lazima uangalie yule alie sacrifice zaidi kwenye maisha yako, Mundo ningempa kavu ila huyo bibie wa bank mshamba lkn naskia anapigwaaa na mabosi me staki ukimwi na wala sijamwambia
Foxy: ndio iyo case ya nyani unataka kumpelekea ngedele utaiweza?!
Wakacheka!



MALKIA WA NGUVU - PART 5

"CONFESSION OF A SINFUL WOMAN"

GORGEOUS

Padri: bless you ny daughter
Gorgeous: father forgive me for i have sin
Padri: yes my daughter, karibu uungame dhambi zako, nakuskiliza
Gorgeous: father nimeharibu, nimeharibu Mungu anajua nina uchungu moyoni
Nilipata mpenz wangu, tukawa tunaenda vizuri tu miaka 2 kwenye mahusiano mini sio saint nimezini maana dudu tamu father
Sasa nikapelekwa kwa wazazi wake kwa ajili ya utambulisho
Ila
Kabla sijapelekwa kwa wazazi wake, huko nyuma kabisa kabla sijafahamiana na huyu kijana, katika pilika pilika zangu za biashara, mimi ni mfanya biashara, nina biashara nyingi nyingi tu moja wapo ni nguo za kiume, nashona suti za kiume, kaunda suit, suit za kike, uniform na nini.
Sasa sikumoja akaja mtu mzima mmoja nikamhudumia, akaanza kunipeti peti amenipenda na nini, akanipa business card yake.
Sikampotezea aliporudi kuchukua nguo zake akanikumbusha nikamkataaa, sasa ilikuwa giza sana, nimechelewa kutoka nilikuwa pekeyangu, lile zee likafunga mlango likaanza kunikamatia kwa nguvu, me napiga kelele hakuna msaada wowote, piga piga na wewe chenga nikaona hapa haitawezekana bora nimkubalie, tukazini.. usiku huo huo nikataka niende polisi nikaogopa maana polisi wetu hawa balaa! Bora nitulie nikarudi nyumbani nalia kwa uchunguuu
Nikakaa miezi 3 na uchungu nachukia wanaume yule baba hakutokea miwzi 3

Baada ya miezi 6 akaja tena mchana kweupe akaniambia njoo kwenye gari nikajua hawezi nibaka, nikaenda akaniambia mama mimi nimekupenda bure tangu show ya skuile me kesho nikasafir kikazi, sasa nimerudi mazima mazima nataka niwe waki
Nikamwambia mzazi si umeoa weye?
Akajibu ndio na mke wangu na watoto wakubwa kukuzidi wewe lakini basi tu nimekupenda nataka niwe mpenz wako nitakupa kila kitu unachotaka kasoro ndoa ila watoto nakupa sana tu
Me nikamkatalia, akanilazimisha, nikakataa nikaondoka basi akawa anani time anakuja muda wa kufunga ananiambia twende wote nakataa naenda kupanda daladala
Analeta wateja anawaagizia akaja akapata no yangu akawa ananisumbua sana sana sana. Nikaona nimkubalie
Siku nimemkubalia tukadondoka home kwangu mechi ikapigwa
Padri: du, enhe!
Gorgeous: tukaanza kuzoeana anaweza akalala kwangu wiki nzima, mwezi miezi 2 anaaga kwa mkewe yupo kikazi kumbe yupo mtaa wa 15.
Basi Mungu sio Kimaro siku mkewe akamkamata anakuja kwangu akahakikisha anajua anaenda kwa nani, njiani yule baba akapokea simu ya mwanae wa kiume so akaahirisha mkewe hakunijua
Basi siku nimekaa zangu job naona kijana anaingia mzuri mtanashati kaka vizuri sana
Akanipenda kaaanza kunisumbua tukawa tunawasiliana, tumewasiliana weeee yule mzee akawa haji tena mkewe ameshamuwakia akaniambia kimenuka nipe muda nikamwambia sawa ila tunawasiliana bado ananiletea wateja bado ananitumia matumizi
Nikaendelea na yule kijana lakini simwonyeshi kwangu, tukawa tunaonana hotelini tuna du! Tunasepa kila mtu na njia yake
Kijana akakomaa anataka kujua kwetu nikamdanganya naishi na shangazi na ni mkali, akanielewa kwa shingo upande
Yule baba akawa anachopoka job anakuja mchana tunapigana mechi weee anaondoka zake akawa halali tena nikawa sasa na wapenzi wawili wasiojuana
Siku yule kujana akanifanyia surprise nakupeleka kwetu ukasalimie, nimeshaongea na maza anataka kukufahamu
Nikaenda kufika baba yake na kijana ndio yule mzee, nilipata gamzi ya miguu fastaaa! Sikujua kama wale ni mtu na babake, kijana akanitambulisha me nacheka lkn roho inadundaje sasa?!
Baada ya msosi baba mkwe akawa anaongea na mimi, mama mkwe alienda chumbani na mwanae chumbani, akaniambia sasa wewe umefanya nini, nikamwambia me sikujua bwana so niache niolewe zangu tutawasiliana mzee akakomaaa me nakupenda hamna kuolewa me nakutaka mwenyewe staki kushare
Nikamwambia baba wee niache nipate maisha basi acha kuninyanyasa plz plz niache mara mwanae akaja buana
Ikabidi tuage tuondoke tukaenda kwa yule kijana tukabondanaa weee kumbe lile zee limedondoka home kwangu, asbh narudi namkuta kajaa anataka mrejesho, nikamwambia baba sina nguvu mwanao kamaliza zote
Akaniambia me sijui hayo mambo me nataka mafao yangu ndio kugawa mechi kibishi, katika raha za hapa na pale, mara naskia mmama anaongea mume wangu we ndo wakunifanyia hivi unatembea na mkweo, kugauka mama mkweee tobaaaaaa nilitamani ardhi ipasuke niingie
Yule baba akaenda kumtuliza mkewe wapiii, akaona avae fasta atoke nae kabla hapaja jaaa watu pale wakaondoka haooo, usiku akanipigia simu mama njoo sehemu flan
Nikaenda sinza akaniambia hii nyumba utakuwa unaishi hapa, kaa hapaaa hamna kutoka, natuma watu wakahamishe vitu vyako mke wangu anakutafuta atakuua, ile anamaliza kuongea mwanae anapiga simu, we umefanya mambo gani sasa nikamkatia,
Tukalala siku 3 sijakanyaga ofsini, yule baba akarudi kwake akanipigia nimeshakutaftia fremu mikocheni ya biashara utahamia pale, kwa zamani hama mkewangu atakumaliza nikatiii
Wateja wote nikawatumia sms na namba mpya kuwa lile eneo nimehamaaa wakawa wanakuja pale papya!
Sikuwasiliana tena na yule kijana kwa muda wa miezi 6 kwasababu hakuwa

Na no yangu ya simu
Siku nipo zangu kkoo nagongana nae paaaa kumbe ni wewe kila mtu anamwambia mwenzake
Akaniimba msamaha ananipenda turudiane nikamwambia hata tukirudiana me kuolewa kwenu ni ngumuuu maana mamako anataka kuniua atakubali kweli nimlee akizeeka?!
Kijana akaguna hamna mama hana shida nikamkatalia katu katu
Nikaondoka na majonzi moyoni kuwa bahati ya kuolewa imenipita kandoo
Lakini Father kusema kweli mimi nampenda sana yule kijana lakini nikiwaza kuolewa pale si balaaa?! Sijui nafanyaje nimechanganyikiwa vbaya mnooo
Baba ya kijana ndio tunawasiliana nae kila siku na makao mapya anatinga lakini me nataka ndoa hata sijui nafanyaje mimi Gorgeous
Father: pole sana binti, basi nikuongoze sala ya kitubio, ukimaliza nikupe maombi ya kufanya iwe unafanya pamoja na sala ya mama maria, kwa muda wa wiki 2 usionane na mwanaume yeyotr alafu urudi nitakushauri cha kufanya

Gorgeous akafanya kama alivyoambiwa, akaenda kukaa hotelini akaaga kwa mzee anaenda kijijini kusalimia wazee, kumbe yupo hotelini bagamoyo anaombaaa, katika maombi yale ya mfungo huko huko bagamoyo akakutana na mtu, kijana mtu mzima
Wakawa wanaonana kila siku wanapishana ikabidi wasalimiane, wakaanza kuongea wanakula pamoja wakawa marafiki wa haraka, siku zikawa zimesogea yule kijana wa makamo alikuwa anaitwa Dudric akaomba mawasiliano ya Gorgeous akampaaa, muda ukawa umeisha sasa Gorgeous anatakiwa arudi kesho asbh, usiku wake Dudric akafanya yake akajiongeza akamfuata room kwake akaanza kumwomba mechi Gorgeous anakataa, akalazimisha mpaka akafanikiwa, uzuri walitumia kinga, kesho asbh Gorgeous akaondoka na Dudric kwa usafiri wa Dudric mpaka mlangoni kwa Gorgeous,
Gorgeous akarudi kwa Padri akamwelezea kuwa amevunja utaratibu siku 1 kabla ya kumaliza maombi, akaomba aongezewe muda
Father: hapana sikuongezei muda je unadhani unaweza endelea na Dudric ukaachana na yule mzee
Gorgeous: akakaa kimya mpole hajui aseme nini, mzee anamtaka sana tu, Dudric nae handsome sana akamwambia padri nawapenda wote sikufichi
Father akamwombea akamwambia tuonane siku nyingine ukiwa uneamua cha kufanya
Goergeous akawa anaendelea na Dudric na Mzee, akawa anawabalance balaa, sasa akili imeongezeka akamdanganya Dudric kuwa pale ni kwa mjomba wake asiwe anakuja anaogopaaa Dudric akamwelewa wakawa wanakutana kwa Dudric,
Anapashangaa palipo pazuri anapasifia mwenyewe, mahusiano yakakoleaaa! Dudric kachanganyikiwa na penzi la Gorgeous
Huku mzee nae anapata mrejesho siku ambazo Gorgeous halali kwa Dudric, kimya kimya yeye anataka ndoaaa,

Dudric akaamua kumuhamisha sinza akamleta Mikocheni, Gorgeous akashukuruu, yule mzee wakawa wanaonana kwa nadra sana hataki apafahamu Mikocheni kwasababu sio yeye alie invest kwenye nyumba ya mikocheni,
Gorgeous akaamua aende kusoma master Esami ndio kukutana na Sexy wakawa marafiki maana madhambi wanajua wenyewe kuyabalance wakawa wanapeana kichongo na ufahamu Gorgeous akafunguka kiakili akawa mtoto mtukutuuu, maujanja anapata kwa Sexy basi Dudric na Mzee wanachoka tuu!

Miaka ikapita kama mi 3 mzee akaamua aachane na mkewee kwa talakaaa yupo radhii maana Gorgeous kamchanganya vbaya mnoo mke ka mind hatari ila ndo afanye nini

Dudric nae kapagawa na huba la Gorgeous, akaensa jewerly kununua pete apropose

Siku Gorgeous anatoka zake kwenye mihangaiko mzee huyooo, anataka kumpeleka out Gorgeous wakaenda, kufika hotelini washakula mzee akamweleza kuwa me na mke baaaas nishampa talakaaa, Gorgeous anashangaaa
Mzee: nataka kukuoa wewe hapo gorgeous akachokaaaa
Mzee akainama chini ana propose tobaaaaaa Gorgeous kauli hanaaa mdomo mzitoooo ni sheeedaaaaa, watu wanaangalia ikabidi akubaliii

Wakaondoka wakalala hotelini, asbh anawasha simu sms kibao za Dudric uko wapi nimekuja hapa kwako haupo umelala wapi ikabidi azime simu

Walipoachana na Mzee akavua pete akarudi kwake akamkuta dudric anamsubiri, pete kafichaa akwenye pochi, akamdanganya nimelala msibani simu iliisha chaji tanesco si unajua wanasumbua basi shida tupu me ndo napika nasaidia ndugu zake na mzee wangu si unajua lazima uzame mazima mazima!
Dudric akajua kweli wakawa wanakunywa chai Dudric akafunguka, funguka na wewe akaomba proposal, nataka kukuona, Gorgeous choookest! Pete muzuri, Dudric anashuka mistari ya jinsi gani anavyompenda Gorgeous, Gorgeous kichwa kinaumaaa, ikabidi akubali ivo ivo! Wakarudi mechini kama kawa baadae Dudric akasepa kwenda kwake ilikuwa jumamosi

Akampigia Sexy mama nimekwaaamaaa, sexy akadondoka kwa Gorgeous, akampa ubuyuuu wakaona akili zao zimevurugikaaa wakampigia Foxy emergency case akajaaa akatoa maoni yake ndio gorgeous akatuliaaaaa

Foxy: muoe Dudric ila kambla hajakuoa akutaftie kazi, biashara zipo tu lakini kazo hamnaga, pia akununulie gari, na hiki na kile
Yule mzee usiolewe nae mwambie tu tutaishi wote baada ya kupata kazi ndio umwambie me nilishapata kijana tunapendana, lazima atarudi kwa mke wake, bwans gani analupangia nyumba bado unapanda bas

Gorgeous akatoa macho hajui kama atabakia salama au atauawa


MALKIA WA NGUVU - PART 6

BOW DOWN BITCHES:


FOXY: ivi kwanza me nikuulize una biashara ngapi labda?!
Gorgeous: mbili tu
Foxy: kwa miaka mingap unasifanya
Gorgeous: mi 5
Foxy: zinakuingizia bei gan
Gorgeous: jumla zote nikitoa mishahara na matumizi madogomadogo yote na kodi za nyumba na Tra zinanipa mil 5 faida
Foxy: du mama bora ufunge tu izo biashara
Me nina mil 50 kwenye bank akaunt na bado nakitembeza. Wewe biashara ya miaka 5 una gaida ya mil 5 kila mwezi ina maana una mil72 kwa mwaka. Me kwa mwaka nina mil 200 mwaka juzi nilikuwa na mil 150, mwaka jana mil 200 sijui mwaka huu
Gorgeous: we sexy rafkiako anasemaje labda
Foxy: nachosema kwa muda wa miaka 5 kwenye biashara ulitakiwa uwe na zaidi ta mil 800 sio unashangaa shangaa hela ndogo sana na ulitakiwa uwe na biashara zaidi ya 3. We mnyakyusa vepee. Haujui kila baada ya miaka 10 kuna biashara zinakufa ndio trend ya biashara. Shule umeishia darasa la ngapi
Sexy: ana MBA
Foxy: hio MBA ya chupi au darasani, mbona mnaaibisha taasisi nyie, me nina HRM degree nawashinda!
Goergeous: eh Sexy umeniletea Jezebel gani hili, kha!
Foxy: call me Jezebel all you want utanishkuru baadae
Sasa ushauri wangu mimi ambae nimekaa kwenye game miaka mingi
Kwanza imarisha biashara zako, ongeza biashara, weka maeneo ambayo yapo hotcake na pana traffic kubwa ya watu
Biashara kama msosi, biashara kama kilimo, biashara kama hio unayofanya, weka hata steshenari pale mwenge nunua fremu wekaaa inalipaaa, angalia demand ya vitu mjini ni nini fanya. Nunua numba pangishaaa nyau weee umekaa na vizito unawaangalia kama Tv we ngese tu!
Minyakyusa imezubaa jaman me mnaniudhi kweli
Weka hata bucha mwenge basi watu waje kununua nyama, fuga basi hata kuku supply mahotelini upate hela

Uwe unasafiri kwenda ulaya unajipeleka likizo mama, we unakaa tu Tz tz utafinyuka akili itadumaaa toka ukashangae utuletee vitu adimu tupagawe
Pika basi hata keki au fungua bakery ufanye mambo tuje kula

Gorgeous na Sexy wanaangaliana tu wanashangaa
Foxy: me nakwambia na wewe sexy sio umekalia tu chura unategemea papuchi ikubust kimaisha amkeni papuchi inamwisho mtazeeka huko chini
Nadhani hapo nimemaliza. Ngoja niingie sekta yangu
Huyo Dudric anafanya kazi wapi
Gorgeous akataja
Foxy: tobaaa yupo kitengo ivooo alafu unashangaa we kweli shida me nikimkamata dudric utanilaani mpaka nakufa
Gorgeous: ah mchukue tu
Foxy: acha uboya unaongea kama mtu ambaye yupo defeated! Mshindwaji,
Na huyu Mzee ana nini
Gorgeous: ana fanya serikalini
Foxy: kweli we kilaza
Ngoja nianze na Dudric, tangu amekuja kwenye maisha yako amekupa nini
Gorgeous: hii nyumba kanipangishia
Foxy: enhe kingine
Gorgeous: hamna
Foxy: sasa unazeesha papuchi kwa nyumba ya kupanga mama?! Hafai embu tuone pete
Gorgeous akatoa hii ya dudric hii ya mzee
Foxy: yani mzee ana taste kuliko kijana ama kweli unatakiwa utoke nje ya hilo yai ulilofungiwa au umelogwa mwana kweti?! Kwanza una miaka mingapi?
Gorgeous: 27
Foxy: na saaa ina tic toc kwa ajili yako unatakiwa uzae kabla ya miaka 30 otherwise utapata fibroid wewe utalia wewe hayaaa
Sasa unataka nini mama, watoto, ndoa, mume au maisha uishi mpaka uombe poo
Gorgeous: vyote
Foxy: you have to sacrifice hauwezi pata vyoteee


 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom