Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,489
- 1,814
Mimi nimepita mara nyingi eneo hilo na simulizi ni nyingi mno, kuwa ni la malkia ingawa limeendelezwa sana. Kuna mashamba ya chai pamoja na miwati na miti mingine kwa kweli ni eneo zuri sana, natokea ktk mkoa ulio na ukijani mwaka mzima lakini pale ni pazuri mno n a ukijani wake ni mzuri sana, kila kitu karibu wanatumia mashine na wanazalisha umeme wao wenyewe. Kuwa haturuhusiwi kuingia siyo kweli wafanyakazi wengi ni watanzania wenzetu na ni wakarimu sana ukifika watakutembeza na unaweza ambulia majani ya chai pia.