desertfox
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 347
- 243
@nyani ngabuHivi unamaana jiwe hayupo kwenye orodha ya wanna cc m wanaoweza kufanya mahojiano n vyombo ya habari vya kimataifa?? Na yy ndo dereva mkuu? Hyo n provocative kabisa au dharau
Sent using Jamii Forums mobile app
Majibu kwa wazir wa CCM mtandaoni?
Swali : katika orodha yako jiwe halipo ndo kusema hana uwezo Na hard talk?
Sent using Jamii Forums mobile app