Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,367
Pamoja na masimango ya muda mrefu kwa Jeshi la Polisi angalau leo hii Wafuasi wa CHADEMA wanatambua umuhimu wa jeshi hilo. Kama hayajakukuta, huwezi kuona umuhimu wa Polisi. Ila kwa yaliyomkuta kama ilivyotokea kwa Malisa, ana kila sababu ya kutoa shukrani.
Nampongeza na kumuomba Mwenyezi Mungu awajaalie Makamanda wote wa CHADEMA nyoyo za shukrani.
Shukrani hizi zinahitimisha kelele za wapayukaji kutoka mtaa wa Ufipa waliokuwa wanapiga kelele eti Polisi wamevamia na kuzingira nyumba ya Malisa tangu usiku wa manane.
Nampongeza na kumuomba Mwenyezi Mungu awajaalie Makamanda wote wa CHADEMA nyoyo za shukrani.
Shukrani hizi zinahitimisha kelele za wapayukaji kutoka mtaa wa Ufipa waliokuwa wanapiga kelele eti Polisi wamevamia na kuzingira nyumba ya Malisa tangu usiku wa manane.