Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 947
- 1,676
Kijana Malisa Golisten au maarufu mitandaoni Kama Malisa GJ amepunguza Kukinadi Chama Chake cha Demokrasia Na Maendeleo Chadema kama Alivyokuwa hapo mwanzoni mpaka Kufikia Hatua Ya Kuwania Ubunge Jimbo la Moshi Vijijini. Lakini siku hizi ni kama Malisa Amekisusia chama hicho kilicho mtambulisha mitandaoni.
Malisa haonekani tena akitangaza sera za chama hicho wala kudai Katiba Mpya ambayo ni moja ya agenda ya Chadema
Na badala yake Malisa amejikita Kusadia Jamii kwa wenye mahitaji maalum kupitia ushawishi wake kwenye Ma group ya wtsp yeye na washirika wake!
Binafsi naona Malisa amechagua njia nzuri kisiasa kama bado ana NIA kuwatumikia wananchi wa Taifa hili.
Malisa haonekani tena akitangaza sera za chama hicho wala kudai Katiba Mpya ambayo ni moja ya agenda ya Chadema
Na badala yake Malisa amejikita Kusadia Jamii kwa wenye mahitaji maalum kupitia ushawishi wake kwenye Ma group ya wtsp yeye na washirika wake!
Binafsi naona Malisa amechagua njia nzuri kisiasa kama bado ana NIA kuwatumikia wananchi wa Taifa hili.