idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Wapambanaji wakoje mkuu, ni wale wanaounga mkono kila upuuzi wa Mbowe.?
Wapambanaji wakoje mkuu, ni wale wanaounga mkono kila upuuzi wa Mbowe.?
Nan asiyekujua kuwa wew vuvuzera akili matakonmajuzi tu mmechezeshwa tena tumba na kuja kujua badae sana ndo mtajilaumu....muda utaongea
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa wana uwezo wa kujenga hoja, tofauti na nyie mnaokimbizana na bk7Wapambanaji wakoje mkuu, ni wale wanaounga mkono kila upuuzi wa Mbowe.?
mimi nawaonea huruma nyinyi vichwa majiTulia kwanza, acha kulia. Ukiongea huku unalia kwikwi zinakandamiza hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
matusi si ndo silaha yenu hoja na michezo mmeshindwa ndo tuwape nchi nyinyi aisee mjitafakaliNan asiyekujua kuwa wew vuvuzera akili matakon
kwa akili yako mpaka leo unaamini mliibiwa kura...pole sana mkuu sisi kwetu raha mana tukachezesha nanyi mkacheza View attachment 1044831
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo,unampamba mtu aliyejidhihirisha ni puppet,he has proved to be a very weak and useless politician, sometimes it takes time to know politicians' true colours coz majority of them(if not all) are chameleons.Humu ndani wanajinadi wana akili mno, sana
wanajua kila kitu
CCM is there to stay for next 30 yrs
Slaa angegombea, 2020 na 2025 upinzani ungekuwa bado una nguvu na ungebeba nchi
We jamaa huwa siwaelewi kabisa, CDM itawaua kwa kihoroTulia new member. ..!sie huku tunashangalia ngumi alizokula mtu 2015
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu swali nililouliza?
maswali yangu yamebeba kile ambacho ukiuliza, kama una akil jambo kidogo tu!