utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,830
- 2,417
- Thread starter
- #41
ww unaona bado kuna kitu pale ndo imepenya haiwez tena kurud chadema ile. .NeverMbona Chadema haijafa?
Sent using Jamii Forums mobile app
ww unaona bado kuna kitu pale ndo imepenya haiwez tena kurud chadema ile. .NeverMbona Chadema haijafa?
Rudi kwenye mada. ...mtaendelea kuitana wakili msomi mwafulani fulani wakat mchezo mdogo tu mlichemsha?Lililo wazi ni kuwa nguvu ya CCM ni mabavu ya vyombo vya dola mbeleko ya NEC, CCM kimebaki kuwa genge la kigaidi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja niwambie kitu hapa, kama Chadema wangemuacha Lowassa aende zake kwa Zitto Kabwe ilikuwa ni balaa zaidi. CCM wangeshinda kwa kirahisi mno. Mtego wa Chadema ulikuwa hapo, maana walishaandaliwa bomu kupitia ACT WAZALENDO kupunguza nguvu ya Chadema.
Strategist master wa Chadema alicheza vizuri sana baada ya kuusoma mchezo. Siasa zetu ni rafu sana, hata ningekuwa ni mimi Lowassa pamoja na makandokando yake kwa hali ambayo Chadema walikuwa nayo ni lazima atumike tu.
Baada ya Lowassa kuingia UKAWA, sote hapa nimashahidi, zito alipwaya na vijana wake kama Masterwile Fahami kule Bukoba mnajua walivyopata tabu na walipata tabu sana. Zitto peke yake ndiye akashinda ubunge.
Nimalizie Kwa kusema, Siasa zinategemea na rafu na upepo utakavyovuma. Kama Dr.Slaa( au babu kama alivyokuwa anaitwa na NAPE ) angeruhusiwa kupeperusha bendera ya ukawa na Lowassa akajiunga kwa Zitto Dr. Slaa povu lingemtoka sana kujibu hoja za Dr.Magufuli na kujibu hoja za Zitto wakiwa na Lowassa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baba yake amekujaje kwenye maoni yake?
CCM ni sawa na BokoharamRudi kwenye mada. ...mtaendelea kuitana wakili msomi mwafulani fulani wakat mchezo mdogo tu mlichemsha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pointless tupuLabda niwafungue kitu vijana na wanachama wa CHADEMA maana mmekuwa mkijinadi mna vijana wenye uelewa mkubwa sijui akili kubwa sijui mnaitana hata majina ambayo dunia yenyewe inashangaa eti Wakili msomi mwandetetele. Nani kawadanganya kwamba kuna Wakili ambaye hajasoma?
Je, CCM ingeamua kutamka hilo wakili msomi kwa watu wake si mngekimbia nyie mapema kabla ya mechi!
Lakini niwaambie hamna chama kina vijana na wanachama weupe kama CDM, hata chama kidogo cha Rasta mgombea wa urais Malawi hamuwezi kukifikia kama mchezo mdogo tu wa 2015 mlishindwa kuugundua mapema na mkaukwepa lakini mkauvaa mkenge huku mkiacha Lumumba team ikishangilia vibaya mno.
Masterminder Rais Mstaafu Jakaya Kikwete aliamua kumtuma Waziri Mkuu mstaafu Lowassa kuja kuwavuruga nanyi mlivyo na akili fupi mkauvaa mkenge na kumtosa mtu muhimu kwenu ambae mpaka leo mngekuwa mnajivunia vibaya mno sasa hamjui mnachokisimamia mmekosa dira na hiyo ndo imetoka.
Naona sasa hivi mnakuja na Sera mbadala hizo slogan zenu tushazizoea mana hamtimizi mnachokisimamia.
Hongereni Mnyika na Malisa kwa kuusoma mchezo mapema na kuamua muda mwingi kukaa mbali na Mabadiliko ambayo yalikuwa maigizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona haikufa na vijana wa tallying wa Chadema mkawafunga mpaka mlipotangaza "ushindi wa kubumba"?MBOWE ALITHAMINI MKWANJA KULIKO USTAWI WA CHAMA.
LOWASA alikuwa fimbo ya kuua chadema
Kawadanganye kenge wenzio yaan unataka kuniambia vijana ugoro wa polepole wako smart upstair?Acha utan bhana....haya maon yako ni ramli zilizofanikiwa!!!anyway....Labda niwafungue kitu vijana na wanachama wa CHADEMA maana mmekuwa mkijinadi mna vijana wenye uelewa mkubwa sijui akili kubwa sijui mnaitana hata majina ambayo dunia yenyewe inashangaa eti Wakili msomi mwandetetele. Nani kawadanganya kwamba kuna Wakili ambaye hajasoma?
Je, CCM ingeamua kutamka hilo wakili msomi kwa watu wake si mngekimbia nyie mapema kabla ya mechi!
Lakini niwaambie hamna chama kina vijana na wanachama weupe kama CDM, hata chama kidogo cha Rasta mgombea wa urais Malawi hamuwezi kukifikia kama mchezo mdogo tu wa 2015 mlishindwa kuugundua mapema na mkaukwepa lakini mkauvaa mkenge huku mkiacha Lumumba team ikishangilia vibaya mno.
Masterminder Rais Mstaafu Jakaya Kikwete aliamua kumtuma Waziri Mkuu mstaafu Lowassa kuja kuwavuruga nanyi mlivyo na akili fupi mkauvaa mkenge na kumtosa mtu muhimu kwenu ambae mpaka leo mngekuwa mnajivunia vibaya mno sasa hamjui mnachokisimamia mmekosa dira na hiyo ndo imetoka.
Naona sasa hivi mnakuja na Sera mbadala hizo slogan zenu tushazizoea mana hamtimizi mnachokisimamia.
Hongereni Mnyika na Malisa kwa kuusoma mchezo mapema na kuamua muda mwingi kukaa mbali na Mabadiliko ambayo yalikuwa maigizo
Sent using Jamii Forums mobile app
majuzi tu mmechezeshwa tena tumba na kuja kujua badae sana ndo mtajilaumu....muda utaongeaKawadanganye kenge wenzio yaan unataka kuniambia vijana ugoro wa polepole wako smart upstair?Acha utan bhana....haya maon yako ni ramli zilizofanikiwa!!!anyway....
ko mawazo yako mliibiwa kura 2015Mbona haikufa na vijana wa tallying wa Chadema mkawafunga mpaka mlipotangaza "ushindi wa kubumba"?
kuandika hivi kawaida yenu ila hamnaga kitu kichwan hapo ni weupe sijawah kuona
Mbowe alipigia pesa ndefu ujio wa Lowassa, hivyo tunaoumia ni sisi wapambanaji halisi
Sent using Jamii Forums mobile app
athibitishe vip wakat hilo ww mwenyew unalijua sema kumuogopa mwenyekitiThibitisha
Upo honest sana mkuu katika comments zakoMbowe alipigia pesa ndefu ujio wa Lowassa, hivyo tunaoumia ni sisi wapambanaji halisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia kwanza, acha kulia. Ukiongea huku unalia kwikwi zinakandamiza hoja.Labda niwafungue kitu vijana na wanachama wa CHADEMA maana mmekuwa mkijinadi mna vijana wenye uelewa mkubwa sijui akili kubwa sijui mnaitana hata majina ambayo dunia yenyewe inashangaa eti Wakili msomi mwandetetele. Nani kawadanganya kwamba kuna Wakili ambaye hajasoma?
Je, CCM ingeamua kutamka hilo wakili msomi kwa watu wake si mngekimbia nyie mapema kabla ya mechi!
Lakini niwaambie hamna chama kina vijana na wanachama weupe kama CDM, hata chama kidogo cha Rasta mgombea wa urais Malawi hamuwezi kukifikia kama mchezo mdogo tu wa 2015 mlishindwa kuugundua mapema na mkaukwepa lakini mkauvaa mkenge huku mkiacha Lumumba team ikishangilia vibaya mno.
Masterminder Rais Mstaafu Jakaya Kikwete aliamua kumtuma Waziri Mkuu mstaafu Lowassa kuja kuwavuruga nanyi mlivyo na akili fupi mkauvaa mkenge na kumtosa mtu muhimu kwenu ambae mpaka leo mngekuwa mnajivunia vibaya mno sasa hamjui mnachokisimamia mmekosa dira na hiyo ndo imetoka.
Naona sasa hivi mnakuja na Sera mbadala hizo slogan zenu tushazizoea mana hamtimizi mnachokisimamia.
Hongereni Mnyika na Malisa kwa kuusoma mchezo mapema na kuamua muda mwingi kukaa mbali na Mabadiliko ambayo yalikuwa maigizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole hufanani na wapambanaji.Mbowe alipigia pesa ndefu ujio wa Lowassa, hivyo tunaoumia ni sisi wapambanaji halisi
Sent using Jamii Forums mobile app