Kuna habari zinazo wasumbua wazee wastaafu wa iliyokuwa jumuiya ya afrika mashariki iliyovunjika mwaka 1977 kwamba serikali ya awamu ya tano imeridhia kutekeleza hukumu ya mahakama kuu kuwalipa mafao yao mwezi huu wa December 2016 .Kama yupo mtu mwenye taarifa sahihi atujuze.