Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Yaaaani inachosha kabisa .Unashindwa kutofautisha haya mashirika yenye FFF na Taaasisi kama TRA. they dont do nything really social kuwasadia wanachi wa kawaida. Kwenye kundi hili pia kuna Bima ya afya.
Hizi performance criteria wanazotumia kuchota hayo mafedha ni zipi?
Hizi performance criteria wanazotumia kuchota hayo mafedha ni zipi?