bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Wahenga hawakukosea waliposema malipo ni hapa hapa duniani.
Mwanzoni kabisa wakati Russia ya Putin inafanya mashambulizi dhidi ya nchi ya kidemokrasia iliyokua imetulia kabisa Ukraine alishambulia ndege ya kawaida kabisa ya kubeba mizigo iliyohusika kutoa misaada ya kibinadamu Antonov 225 ndege kubwa kabisa duniani mfano kusafirisha chanjo za Covid 19 kwenye mataifa mbalimbali kama vile Canada hapa ilikua inafanya kazi ya kuokoa maisha ya watu na sio kutoa uhai.
Ila kwa vitendo vyake vya kiharamia majeshi ya Urusi yaliidondoshea makombora ndege ya Antonov iliyokua imepaki uwanja wa Hostomel Ukraine hakupiga kelele kabisa bali alishukuru kwa yote mpaka leo ukiniuliza kwanini Urusi alishambulia hiyo ndege ntakujibu ni ubabe wake tu Ukraine na Wivu.
Ila hapa juzi meli ya kivita ya kirusi imeshambulia na makombora ya Neptune ya Ukraine Urusi ameanza vitisho vyake mara Ntatumia Nyuklia, Mara Kyiv yote itakua flat, mara mataifa yote yanayoisaidia Ukraine watapata tabu...nk
Hivi Urusi ndiye mwenye mamlaka ya Kuishambulia Ukraine tu?
Mwanzoni kabisa wakati Russia ya Putin inafanya mashambulizi dhidi ya nchi ya kidemokrasia iliyokua imetulia kabisa Ukraine alishambulia ndege ya kawaida kabisa ya kubeba mizigo iliyohusika kutoa misaada ya kibinadamu Antonov 225 ndege kubwa kabisa duniani mfano kusafirisha chanjo za Covid 19 kwenye mataifa mbalimbali kama vile Canada hapa ilikua inafanya kazi ya kuokoa maisha ya watu na sio kutoa uhai.
Ila kwa vitendo vyake vya kiharamia majeshi ya Urusi yaliidondoshea makombora ndege ya Antonov iliyokua imepaki uwanja wa Hostomel Ukraine hakupiga kelele kabisa bali alishukuru kwa yote mpaka leo ukiniuliza kwanini Urusi alishambulia hiyo ndege ntakujibu ni ubabe wake tu Ukraine na Wivu.
Ila hapa juzi meli ya kivita ya kirusi imeshambulia na makombora ya Neptune ya Ukraine Urusi ameanza vitisho vyake mara Ntatumia Nyuklia, Mara Kyiv yote itakua flat, mara mataifa yote yanayoisaidia Ukraine watapata tabu...nk
Hivi Urusi ndiye mwenye mamlaka ya Kuishambulia Ukraine tu?