YeshuaHaMelech
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 2,597
- 37
- Thread starter
- #21
Nipige PM na hizo information au nitumie kwa akaunti yangu Bofya hapa!Nipe email adress yako ofisin kwetu leo wametangaza nafasi ya kazi ya It na Data base coordinator
Nipige PM na hizo information au nitumie kwa akaunti yangu Bofya hapa!Nipe email adress yako ofisin kwetu leo wametangaza nafasi ya kazi ya It na Data base coordinator
Pale NBC kuana kampuni maalumu imepewa tenda ya kazi zote za IT (IT help desk)
hiyo kampuni inaitwa Infosys.
so kama unataka uajiriwe na NBC ktk kitengo cha IT haiwezekani mpaka uajiriwe na hao Infosys tena inategemea hao infosys watakupangia wapi kwani sio lazma wakupangie NBC.
NBC - no bargain no cash!