Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 424
- 1,044
Maana ya "Malipo hewa" inamaanisha malipo hayo hayakufanyika ila Pesa imepigwa hewani. Sasa kuna watu hawafikirii kwamba malipo hewa manaake nini ila wanaruka ruka tu, ni aibu kama vijana wa nguvu kazi ya kesho ndio hawa! Tunayo safari ndefu sana kufika.
Taifa hili wapumbafu, Wajinga na mataahira ni wengi kuliko inavyodhaniwa.
Taifa hili wapumbafu, Wajinga na mataahira ni wengi kuliko inavyodhaniwa.