Tetere Enjiwa
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 217
- 65
Hivi baada ya utawala wa Libya chini ya Khadaffi kuondolewa, walio muondao ambao ni NTC watalazimika kuridhi madeni ya mikata feki ya utawala ulioangushwa na kulipa au inakuaje katika mazingira kama hayo.