Money Laundering "utakatishaji pesa" hauna dhamanaAfrika kweli ni bara la giza, simtetei hata mmojawapo hapo, ila hayo makosa hayakuonekana wakati mwingine wowote isipokuwa sasa kwenye mchakato wa uchaguzi! Na ndo kusema wala hayadhaminiki kwamba hawawezi kuwa nje kwa dhamana! Kwamba wamekosa wadhamini au kujidhamini wenyewe!! Kweli 'dirty politics belongs in Africa!
Shitaka la kutakatisha pesa halina dhamana Mkuu.Afrika kweli ni bara la giza, simtetei hata mmojawapo hapo, ila hayo makosa hayakuonekana wakati mwingine wowote isipokuwa sasa kwenye mchakato wa uchaguzi! Na ndo kusema wala hayadhaminiki kwamba hawawezi kuwa nje kwa dhamana! Kwamba wamekosa wadhamini au kujidhamini wenyewe!! Kweli 'dirty politics belongs in Africa!
Kumbe na huku upo mkuu.Ali Mayai the road now is clear.
Nikweli mkuu umenena vyema sana,,..Afrika kweli ni bara la giza, simtetei hata mmojawapo hapo, ila hayo makosa hayakuonekana wakati mwingine wowote isipokuwa sasa kwenye mchakato wa uchaguzi! Na ndo kusema wala hayadhaminiki kwamba hawawezi kuwa nje kwa dhamana! Kwamba wamekosa wadhamini au kujidhamini wenyewe!! Kweli 'dirty politics belongs in Africa!
Huu ni utawala mwingine kiongozi... Fisadi Malinzi nae ana kadi ya ccm mfukoni....Sijawahi kuamini maccm katika kuongoza mahali popote.
Hata huyo Ali mayai kwa ambao hawamjui n ccm mkubwa toka kipindi icho anasoma CBE.
Walikuwa wana mlia tyming, wasingeweza kukurupuka hawa wezi Malinzi&co walikuwa wanajificha nyuma ya FIFA, TAKUKURU ni chombo cha serikali wasingeweza kuingilia kati bila kumlia tyming tungepigwa ban na FIFA....Hili shtaka hili la kuhushi ni sawa na lile alofanya lipumba na msajili wa vyams vya siasa. Ni wizi wa wazi kabisa wakajichotea 350m
Jee takukuru hamkuona hilo ?
Au huu ni wizi ruhsa kwa awamu hiii sababu ni mtaji wa kisiasa
Walikuwa wana mlia tyming, wasingeweza kukurupuka hawa wezi Malinzi&co walikuwa wanajificha nyuma ya FIFA, TAKUKURU ni chombo cha serikali wasingeweza kuingilia kati bila kumlia tyming tungepigwa ban na FIFA....Hili shtaka hili la kuhushi ni sawa na lile alofanya lipumba na msajili wa vyams vya siasa. Ni wizi wa wazi kabisa wakajichotea 350m
Jee takukuru hamkuona hilo ?
Au huu ni wizi ruhsa kwa awamu hiii sababu ni mtaji wa kisiasa