Vyeti feki 2017Uliacha kazi kweli au vyeti fake?
Mkuu Jibu ikiwa ni vyeti feki au uliacha kwa uamuzi wako,mbona unakwepa kwepa,kuwa muwazi usaidiweyes,
nilitoka nikaenda taasisi bnafsi.
NILIACHA KWA UAMUZI WANGU MKUU.Mkuu Jibu ikiwa ni vyeti feki au uliacha kwa uamuzi wako,mbona unakwepa kwepa,kuwa muwazi usaidiwe
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mkuu kama unaenda mbele usiangalie nyuma, unakwama wapi!Umofia Kwenu!
Wakuu mimi niliacha kazi (resign) serikalini mwaka 2019. Nimesikia malimbikizo ya nyongeza ya mshahara yatatolewa kwa 2015 kuja 2021.
Je, mimi nahusika hapo kujaza na kufuatilia pale zoezi litakapoanza?
Naombeni ufafanuzi kwa wajuzi
Ulikuwa na kaz gan?NIPATE HATA YA BUNDLE MKUU. KAMA NAWEZA PEWA MKUU NITAJAZA FORM.