Malimbikizo ya mshahara 2015-2019 kwa aliyeacha kazi

HAZOLE

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
1,551
708
Umofia Kwenu!

Wakuu mimi niliacha kazi (resign) serikalini mwaka 2019. Nimesikia malimbikizo ya nyongeza ya mshahara yatatolewa kwa 2015 kuja 2021.

Je, mimi nahusika hapo kujaza na kufuatilia pale zoezi litakapoanza?

Naombeni ufafanuzi kwa wajuzi
 
Aliyeacha kienyeji bila ya barua vipi ? Kuna waalimu miaka ya 90 waliingia mitini na kujikita katika kilimo .
 
Umofia Kwenu!

Wakuu mimi niliacha kazi (resign) serikalini mwaka 2019. Nimesikia malimbikizo ya nyongeza ya mshahara yatatolewa kwa 2015 kuja 2021.

Je, mimi nahusika hapo kujaza na kufuatilia pale zoezi litakapoanza?

Naombeni ufafanuzi kwa wajuzi
Mkuu kama unaenda mbele usiangalie nyuma, unakwama wapi!
 
Back
Top Bottom