Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mke wangu anadai hela nyingi tu hakulipwa mishahara miezi kadhaa, anadai huu mwaka wa sita. ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali. hivi ninyi serikali mtawapa lini malimbikizo yao au hamtawalipa kabisa?
Mwambie aandike barua gazetini... huko atashughurikiwamke wangu anadai hela nyingi tu hakulipwa mishahara miezi kadhaa, anadai huu mwaka wa sita. ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali. hivi ninyi serikali mtawapa lini malimbikizo yao au hamtawalipa kabisa?
Sana, na wana jambo la kufanya.Daah kiukweli watumishi wa umma wanateseka sana ,kipindi hiki.
Mwambie aandike barua gazetini... huko atashughurikiwa