ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,850
Mbona huulizii mahakama ya mafisadi? 50M kila kijiji etc. Kama kweli unabweteka na maneno ya wanasiasa ulizia na hayo basi. Li-Pumba mwengineTunafahamu hajastaafu siasa hapa ni kauli za wanasiasa wanazozitoa baadae wanabadili gia badala na kuondoa wanachokisimamia
Sent using Jamii Forums mobile app