kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Naona MSD wanahamasisha tununue barakoa za ndani lakini kimwonekano zinafanana na zile za majuu kuanzia size,rangi na kila kitu.
Najiuliza hizi barakoa zinazalishwa kwa malighafi za ndani au tunaagiza? Kama zinazalishwa ndani wamiliki wa kiwanda ni wazalendo wenzetu au ni ndugu zetu wa magaharibi?
Lakini kwa hizi nyingine za vitenge, je barakoa hizi zinaviwango? Nani anapima ubora wakati zinazalishwa kila penye cherehani? Je, malighafi zinatoka wapi?
Kwanin barakoa za ndani zilizothibitishwa na TBS zisiwe nembo maalumu konyesha ni Mali yetu?
Tuwalinde Watanzania kwa elimu na bidhaa zifaazo Kama ALIVYOELEKEZA baba
Najiuliza hizi barakoa zinazalishwa kwa malighafi za ndani au tunaagiza? Kama zinazalishwa ndani wamiliki wa kiwanda ni wazalendo wenzetu au ni ndugu zetu wa magaharibi?
Lakini kwa hizi nyingine za vitenge, je barakoa hizi zinaviwango? Nani anapima ubora wakati zinazalishwa kila penye cherehani? Je, malighafi zinatoka wapi?
Kwanin barakoa za ndani zilizothibitishwa na TBS zisiwe nembo maalumu konyesha ni Mali yetu?
Tuwalinde Watanzania kwa elimu na bidhaa zifaazo Kama ALIVYOELEKEZA baba