Unaongea kinadharia zaidi na si kiuchumi. Kama huamini kuwa mtu akipokwa billion 16 kuwa hatateteleka kiuchumi basi wewe ni mchumi wa upper class.Bil 16 ndo zimfilisi mtu mwenye private jet , ?? Mtu anayeendesha kampuni zake kwa zaidi ya bil 1 kwa mwezi umfilisi kwa bil 16?? .. Tuache siasa kuna kitu zaidi ya hicho
Duuh, huyu naye eti akiondoa mtaji wake na na biashara zake mambo yatasimama, hawa sio type ya watu wakuwaonea huruma kabisa, akichuma hapa anawekeza nje , hiyo TZ kwake ni kama shamba tuu.naliona taifa likididimia, wafanyabiashara wakubwa kama hawa wakiondoa mitaji yao, au kusimamisha biashara zao, na ndio hivyo hela inavyozidi kuadimika mitaani, au mzungukoni
Umeandika kifupi sana mkuu. ..... only for free/great thinkers,Unapofunga mikataba ya kibiashara na uwekezaji mkubwa LUMUMBA haya ndio matokeo yake
ameandamwa sana sijui ni kambi ya el?
N zikipelea itabd wakamatwe mashabiki maan n wao wamechangia kumfilic mzee w watu, kwend taifa bureeeeUnaongea kinadharia zaidi na si kiuchumi. Kama huamini kuwa mtu akipokwa billion 16 kuwa hatateteleka kiuchumi basi wewe ni mchumi wa upper class.
Punguza Uyanga, mali za Yusuph wewe hazikuhusu.
Kweli hawa wazee wana akili sana, alisema wazi YANGA SI YA KUKODISHA KAMA MASUFURIA YA SHUGHULIDah!! bora "MZEE AKILIMALI" aliona mbali kukataa timu yetu isikodishwe na yenyewe si ingeenda?
Sasa hivi Watanzania wanafurahia
Habari za uzushi kuliko ukweli
Sifurahii yeye kukamatiwa mali zake bali najiuliza kwanini ile misaada anayojidia kuwapa Yanga asilipe madeni yake? Ina maaana kutoa misaada ilhali hujajitosheleza ni kutafuta misifa ama kuna kitu anawinda huko nako?? wacha waisome namba vyema si diwani huyu naam!Acheni porojo
Mali za diwani na mwanachama Wa chama cha maccm ziko hatarini kukamatwa na kuuzwa. ikumbukwe kuwa huyu no miongoni mwa matajiri na wafanyabiashara wakubwa hapa nchini. vipi kwa wafanyabiashara wadogo hali itakuwaje?
Uchumi Wa nchi unaimarika, na unakuwa kwa kasi. hapa kazi tu!
======
Siku moja baada ya mfanyabiashara Yusuf Manji kuhama kwenye jengo la Quality Plaza, uongozi wa kampuni ya udalali ya Yono umesema kinachosubiriwa ni mfanyabiashara huyo kulipa deni au kukamatwa kwa mali zake.
Akizungumza jana, Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni hiyo, Stanley Kevela alisema Manji alipewa siku 14 zilizoanza kuhesabiwa tangu Jumamosi ili kulipa deni.
Alisema endapo siku hizo zitamalizika bila kulipwa, mali za mfanyabiashara huyo zitakamatwa ili kufidia deni la Dola 6.1 milioni za Marekani (zaidi ya Sh13 bilioni) anazodaiwa.
Kevela alisema fedha hizo ni gharama ya kupanga kwenye jengo hilo ambalo ni mali ya Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Umma (PSPF).
Alisema baada ya kukamilika kwa mchakato huo, kampuni italikabidhi jengo hilo kwa PSPF kwa ajili ya shughuli nyingine.
Mfanyabiashara huyo alipotafutwa jana ili kuzungumzia suala hilo, simu yake ya mkononi haikupatikana.
Mkurugenzi wa kampuni ya Yono, Skolastika Kevela alisema kazi ya kuondoa mali za mpangaji kwenye jengo hilo ilikamilika juzi.
“Kampuni zote zimeshaondoa vifaa na milango ya jengo hilo imefungwa kwa kufuli za kampuni yetu. Tutalisimamia jengo hadi tutakapowakabidhi PSPF,” alisema.
Uamuzi wa Manji kuhamishwa kwenye jengo hilo ulitolewa na Mahakama kutokana na kushindwa kulipa kodi ya pango ambapo alipewa masaa 24 ya kuondoa vitu vyake
Chanzo: Mpekuzi
Kwa hiyo unaamini jamaa atafilisika kisa kodi ya jengo ? Mtu aliyeajiri wafanyakazi zaidi ya elfu moja , Manji keshapata utajiri mkubwa mno hizo ni hela za kawaida kwake. Ana kampuni nyingi sana imezi diversify mno , ogopa mtu mwenye exclusive right ya kuuza Honda kwa tanzania , kuanzia kuuza mchele ,nenda dakawa Moro wakupe story zake , mwanza ana kiwanda cha samaki (tanperch) vifaa vya kilimo mpaka caterpillars .. jamaa ana biashara kubwa mno sema hazijulikani maana kila kampuni ina jina lake ,,Kwa Hesabu ya kawaida unahisi yanga kaidhamini kwa hela ngapi ? Na mpaka sasa quality group ndo inalipa wachezaji na makocha wa yanga.. Ndo maana mpaka sasa naamini issue siyo kodi tuUnaongea kinadharia zaidi na si kiuchumi. Kama huamini kuwa mtu akipokwa billion 16 kuwa hatateteleka kiuchumi basi wewe ni mchumi wa upper class.
Punguza Uyanga, mali za Yusuph wewe hazikuhusu.
Si unajua Bw. Benard naye anataka kujitia kuvimbishiana kifua na rahisi. Na hyu bwana ni kambi ya bwana Benadi.ameandamwa sana sijui ni kambi ya el?
Billion 16 ni pesa nyingi kwa kushtukizwa tena sana na ujue Manji alianza kupoteza kuanzia kwenye ofukwe wa Coco beach na huko bandarini kufutwa kwa Hati za Kigamboni viwanja alivyonunua kwa bei chee na kutegemea kuja kuipiga serikali kwa mabillioni ya shilingi kutolewa nje na serikali.Kwa hiyo unaamini jamaa atafilisika kisa kodi ya jengo ? Mtu aliyeajiri wafanyakazi zaidi ya elfu moja , Manji keshapata utajiri mkubwa mno hizo ni hela za kawaida kwake. Ana kampuni nyingi sana imezi diversify mno , ogopa mtu mwenye exclusive right ya kuuza Honda kwa tanzania , kuanzia kuuza mchele ,nenda dakawa Moro wakupe story zake , mwanza ana kiwanda cha samaki (tanperch) vifaa vya kilimo mpaka caterpillars .. jamaa ana biashara kubwa mno sema hazijulikani maana kila kampuni ina jina lake ,,Kwa Hesabu ya kawaida unahisi yanga kaidhamini kwa hela ngapi ? Na mpaka sasa quality group ndo inalipa wachezaji na makocha wa yanga.. Ndo maana mpaka sasa naamini issue siyo kodi tu