johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,832
Wananchi wana haki na wajibu wa kujua ukwasi walionao viongozi wao wa kisiasa iwe wa chama tawala au upinzani.
Hivyo ni vema ungewekwa utaratibu wa mali za mbunge kwa mfano zikatangazwa kwenye ubao wa matangazo wa Jimbo.
Nawatakia Christmas yenye baraka!
Hivyo ni vema ungewekwa utaratibu wa mali za mbunge kwa mfano zikatangazwa kwenye ubao wa matangazo wa Jimbo.
Nawatakia Christmas yenye baraka!