Mali za Urithi ni tiketi ya kifo kwa baadhi ya vijana

Kamnyomo

Senior Member
Apr 4, 2020
120
174
Natumaini mpo wazima Jf!

Jamani vijana tupambane kutafuta pesa kwa nguvu zote ili tuepuke fedheha ndogondogo, na Pia Mungu humpa kila mmoja ridhiki kwa muda wake.

Nimeshuhudia vifo zaidi ya vitatu vya kutatanisha kutokana na ugomvi wa mali za urithi kwa ndugu wa ukoo au familia moja.Inasikitisha sana kuona baada ya kifo cha mzazi either mama au baba,ndugu wa jirani ambao ni wajomba/mama wadogo/baba wadogo wanakuwa na ugomvi juu ya mali(mashamba,nyumba,magari) ambazo zilichumwa na wazazi kwa ajili ya urithi wa watoto na kufikia hatua ya kutoa uhai wa watoto wa Marehemu ili tu kuchukua miliki ya mali za marehemu.

Inauma na inasikitisha sana,Elimu ni muhimu kutolewa kwa jamii juu ya madhara ya husda na kijicho na pia binadamu tuwe na hofu ya Mungu.

Haya mambo ya huniwezi kiuchawi,kiserikali na kifedha tuache kando,tuweke utu mbele na upendo pia.

Mnisamehe kwa uandishi mbovu,mie siyo story teller mzuri.

"UMASKINI NI MBAYA SANA,TUPAMBANE"
 

tupe kisa kimoja kati ya visa vitatu ulivyoshuhudia ili tupate funzo.
Kuna nyumba moja ya family ilikuwa inauzwa,
Tajiri alifika bei ,halafu kuna mwana family mmoja akawa hataki iuzwe.

Kilichofata ni jamaa aliyegoma nyumba isiuzwe kutangulizwa paradizo.

Baada ya msiba, biashara ikafanyika vzr tu..

Mali za urithi ni sumu Kali Sana,
cheza nazo kwa step.
 
Kuna nyumba moja ya family ilikuwa inauzwa,
Tajiri alifika bei ,halafu kuna mwana family mmoja akawa hataki iuzwe.

Kilichofata ni jamaa kutangulizwa paradizo.

Baadae biashara ikafanyika vzr tu.

Ni kwl Mali za urithi ni sumu Kali Sana,
Ucheze nazo kwa step.
kwa kawaida mali huwa zinaenda na aliyezichuma kama wasiohusika wakilazimisha ziwe zao wakati muhusika hakuzichuma kwa ajili yao!!
 
Kuna nyumba moja ya family ilikuwa inauzwa,
Tajiri alifika bei ,halafu kuna mwana family mmoja akawa hataki iuzwe.

Kilichofata ni jamaa kutangulizwa paradizo.

Baadae biashara ikafanyika vzr tu.

Ni kwl Mali za urithi ni sumu Kali Sana,
Ucheze nazo kwa step.
Njia gani iliyo tumika kumwondoa
 
Kuna nyumba moja ya family ilikuwa inauzwa,
Tajiri alifika bei ,halafu kuna mwana family mmoja akawa hataki iuzwe.

Kilichofata ni jamaa aliyegoma nyumba isiuzwe kutangulizwa paradizo.

Baada ya msiba, biashara ikafanyika vzr tu..

Mali za urithi ni sumu Kali Sana,
cheza nazo kwa step.
kazi kweli kweli! maisha yana unyama wa hali ya juu
 
Mo karithi kampuni ya baba yake na sasa ana pasua angaaa mpaka ma forbes wanasandaaa
 
Mi mbona nipo pekee angu katika familia na nimeachiwa nyumba za urithi 4 hapa dar es salaam, Tabata, Mbezi, Kigamboni na Manzese na mbona wana familia hawana tatizo lolote na mimi?
 
Nchi hii yote na barabara zake ni mali ya urithi, je kuna siku umewahi kuwaza hilo?
 
Back
Top Bottom