Ni mali nyingi sana Chama hiki kimejimilikisha kama tunavyoona kila CCM anaepata uongozi serikalini nae hukwapua mali na hata kugonga milango ya BoT na kufanya mazabe mpaka hufanikiwa kumega, tumesikia kutoka kwa mkaguzi ya kuwa kuna hela haioni.
Na ndio tukaona hakuna MCCM anaeendelea, mwisho wao wengi huumbuka na kuadhirika mchana kweupe, tunawaona wanavyoshikana mashati na kukwidana eti wanapelekana mahakamani, nchi hii ina maajabu sana, naukumbuka msemo usemao mwenye nguvu mpishe.
Aibu kila uongozi unaoingia unasonyesha dalili za uongozi uliopita walikuwa na vibaka wakabaji wauawaji.
Na ndio tukaona hakuna MCCM anaeendelea, mwisho wao wengi huumbuka na kuadhirika mchana kweupe, tunawaona wanavyoshikana mashati na kukwidana eti wanapelekana mahakamani, nchi hii ina maajabu sana, naukumbuka msemo usemao mwenye nguvu mpishe.
Aibu kila uongozi unaoingia unasonyesha dalili za uongozi uliopita walikuwa na vibaka wakabaji wauawaji.