Rwaz
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,957
- 3,300
Mada yangu iko wazi wazi.
Naomba wajuvi wa mambo ya haki na umiliki, bila mahaba ya kisiasa waniweke sawa. Hivi mali zilizopatikana kwakuwakata tozo na kodi na ushuru, raia wote wakat wa chama kimoja cha CCM leo hii kwa nini wazimiliki raia wa chama kimoja?
Hapa namaanisha majumba, viwanja, maeneo ya wazi, hisa n.k. Au ni bomu linalosubiri chama kingine kikichukua nchi ndo ifanyike marekebisho!
Enzi hizo wananchi wote tulikatwa katika mauzo mbali mbali na huduma kama mazao, uvuvi, madini kupitia vyama vya msingi na beria mbali mbali.
Kuukataa ukweli ni sawa na kujificha mbuni style.
Naomba wajuvi wa mambo ya haki na umiliki, bila mahaba ya kisiasa waniweke sawa. Hivi mali zilizopatikana kwakuwakata tozo na kodi na ushuru, raia wote wakat wa chama kimoja cha CCM leo hii kwa nini wazimiliki raia wa chama kimoja?
Hapa namaanisha majumba, viwanja, maeneo ya wazi, hisa n.k. Au ni bomu linalosubiri chama kingine kikichukua nchi ndo ifanyike marekebisho!
Enzi hizo wananchi wote tulikatwa katika mauzo mbali mbali na huduma kama mazao, uvuvi, madini kupitia vyama vya msingi na beria mbali mbali.
Kuukataa ukweli ni sawa na kujificha mbuni style.