jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Nadhani CCM ikija kuondolewa madarakani kutakuwa na mgogoro kwenye hili suala.Kama kuna wenye insight si vibaya wakatuelemisha kuhusu hili.Kwasababu kuna wakati nasikia "hiki ni cha serikali",halafu hapo hapo unaambiwa ni cha ccm.Kwa mfano TBC,CCM ikiondolewa madarakani,serikali mpya itamiliki chombo hicho ama kitabaki kwa magamba?Mifano ni mingi tu,je utofauti wa mali za chama tawala vs mali za serikali(ambazo wakiondoka madarakani wataziacha kwa serikali mpya) ni upi?@Ritz ndiye alisema TBC ni mali ya ccm,is that true?if so,what else?and what isn't?
By jmushi1
Kwani ccm ina gazeti, radio na tv?
Kwani ccm ina gazeti, radio na tv?
Ritz said:Magazeti wanayo Uhuru na Mzalendo na radio wanayo radio Uhuru.