Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja kwanza, wamejenga waMali wenyewe kwa kutumia rasilimali zao (wahandisi, kampuni, hela, vifaa, teknolojia nk) au wamepewa msaada na wafadhili? Maana msije mkaanza kuwasifia kumbe project nzima imefanywa na Wafaransa..
Hawa ni MALI: GDP(nominal)2008 estimate - Total$8.774 billion - Per capita $656
Na sisi Tanzania: GDP(nominal)2008 estimate - Total$20.668 billion - per capita $520
Sasa kufikiri eti Mali ni masikini ni upuuzi wa hali ya juu.
Mali siyo maskini? Ok unaweza kuwa mhamiaji huko?
chini ya daraja hilo inaweza pita meli? au linapitisha vidau vya wavuvi tu
chini ya daraja hilo inaweza pita meli? au linapitisha vidau vya wavuvi tu
Hawa jamaa wako wengi sana Ufaransa. Wengi wakichuma basi wanarudi kwao. Wengi wao wameishi Ufaransa/Western Europe na hivyo ufahamu wao wa mambo ni MKUBWA sana zaidi yetu sisi.
Hawa jamaa wako wengi sana Ufaransa. Wengi wakichuma basi wanarudi kwao. Wengi wao wameishi Ufaransa/Western Europe na hivyo ufahamu wao wa mambo ni MKUBWA sana zaidi yetu sisi. Ila kumbuka hadi mwaka 1991, hawa jamaa walikuwa masikini sana chini ya Dikteta huyo nimeandika huko nyuma. Labda ni ajabu kuwa wametupita wapi sisi ambao tangu mwaka 1964 tuko huru? Imekuwaje kipato chao kimekuwa juu kwa haraka sana kutuzidi sisi?
Angalia hata kwenye mpira wa miguu, wana wachezaji wanne mashuhuri sana duniani yaani yaani Keita, Diarra, Kanoute na Sissoko. Wengine waangalie mwenye kwenye Wikipedia.
Pia wana matajiri wakubwa sana kulinganisha na wetu na wanarudi kwao kuwekeza. Mfano ni huyu hapa mwenye kampuni ya AIRNESS.
Airness is a footwear trademark founded in 1999 in Saint-Denis (France) by Malamine Koné (December 21, 1971 in Niena, Mali) who is a Malian and French entrepreneur
Hawa jamaa wana suply jezi za timu ya Mali, Guinea, Gabon, DR Congo na Bennin. Pia wanasuply AJ Auxerre, Havre Athletic na Toulouse na pia wanam-suply Nikolay Davydenko (Tennis).
Say what? Unahusisha kuishi Ulaya na ufahamu mkubwa? Kwa hiyo huwezi kuishi Afrika na kuwa na ufahamu mkubwa? Na kwa nini ukiishi Ulaya unakuwa na ufahamu mkubwa? Waulaya wameutoa wapi huo ufahamu mkubwa?
Tatizo ni uchaguzi wa vipaumbele. Kama Maghufuli angekuwa miundo mbinu hadi leo huenda wimbo ya kujenga daraja ingekuwa hadithi zau zilipendwa.
Leka
Say what? Unahusisha kuishi Ulaya na ufahamu mkubwa? Kwa hiyo huwezi kuishi Afrika na kuwa na ufahamu mkubwa? Na kwa nini ukiishi Ulaya unakuwa na ufahamu mkubwa? Waulaya wameutoa wapi huo ufahamu mkubwa?
Sikonge unayosema ni kweli kabisa, I have been to Mali kwenye migodi yao ya dhahabu sometimes in 2000/ 2001. The country is so poor by whateva standards na kiujumla nadhani ilikuwa zaidi hata ya Tanzania by then. One thing they are the happiest pple I have ever met.
Can you imagine hawa jamaa wanafaidika mno kwa dhahabu yao kuliko sisi? And the same co. AnglogoldAshanti ambayo ipo hata Tz inaoperate tofauti kabisa in Mali.
1. Serikali ni shareholder mkubwa tu wa migodi yote ya dhahabu (I think it is around 25% kama kumbukumbu zangu ziko vizuri.
2. Wananchi wa Mali ni waadilifu sana na ni watu wa dini sana and therefore naamini kabisa hakuna ufisadi au kama upo ni kidogo sana.
3. Migodi yao ni kati ya best producing with highest gold grade in the world.
4. Wananchi wanaoishi maeneo ilipo migodi ni wadau wakubwa na wanafaidika moja kwa moja kwa kupewa fursa za supplies kwenye migodi.
5. As we speak migodi mingi sasa hivi inendeshwa na wazawa, some mines hata General managers, CEO's ni wazawa (Hizo hizo Barrick zenu, Anglo etc.). Tofauti kabisa na Tz. And mind you we almost started serious mining with them around 2000.