AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,536
- 4,513
Umeolewa kweli? Wewe ndio aina ya kina mama zetu waliobaki wachache dunian...njoo tukiendeleze kizazi bora......isije unaweza kwa watoto wa wenzio tu...wa kwako huwezi...?Hahahaha hahahahahahahah kwenye kukafinya sasa jamani wewe...... Ila mtoto mwenye matusi jamani hapendezi lol..... Mtoto anamwambia mamake "pumbavu" mama mtu anakenua meno tu aiseeee... Yaani hapo namzibua domo lake na kofi moja hilo lazima aumwe homa...... Mimi huwa hawaniachii watoto kabisaaaaaaa sababu ni mwendo wa makofi tu hakuna kipya
Mimi nmekaanza haka katoto kangu kadogo hivi hivi kakiwa na miez nane..naona kamezidi mazoea kudeka na kulia lia kwingi...sipendi ujinga...